Watanzania hawachukii ufisadi bali humuonea wivu anayekula

Watanzania hawachukii ufisadi bali humuonea wivu anayekula

Kama ni kula lazima tule wote bob...
 
Ili ni kweli kabisa.
Hili ni tatizo kabisa.
Mtza kwa pesa za upigaji afai kabisa.
Unakamatwa na rushwa unatoa rushwa kesi inatupwa.
Ni nadra kukuta akufatiliaye eti umekwapua nae ukamp mgao wake akaendelea kukufatilia.
Naona kama umechangia nje ya mada, au?
 
Back
Top Bottom