The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mkuu,hoja imeeleweka ila kwanza hatutaki lugha ya kiswahili ipotee,ndio maana tumeanza kwa kurekebisha uandishi wake kwanza.Una hoja ya msingi ijapokuwa wadau wameamua kutoiongelea. Wengi wamejikita kukosoa usahihi wa 'kisarufi' hali yakuwa uliweka wazi kwamba ni suala la 'kihariri'.
Msingi wa hoja upo katika muundo, na ushahidi wa kitafiti ili kupata mtiririko wenye mantiki katika jumuiya ya wanataaluma.
Ulichoelezea ndio msingi wa hoja yangu.Una hoja ya msingi ijapokuwa wadau wameamua kutoiongelea. Wengi wamejikita kukosoa usahihi wa 'kisarufi' hali yakuwa uliweka wazi kwamba ni suala la 'kihariri'.
Msingi wa hoja upo katika muundo, na ushahidi wa kitafiti ili kupata mtiririko wenye mantiki katika jumuiya ya wanataaluma.
Hilo sio la kuuliza mkuuKwa hiyo school fees zilienda bure?😂😂😂
Hupendi kukosolewaSiwezi kupoteza muda wangu kumjibu kila mtu.
Cha msingi ni kwamba watanzania awawezi kuandika kwa kusoma topić za stories of change.
Uwezi kuamka tu na kuandika report za upuuzi uliopo kichwani kwako, not bothering theoretical viewpoints. Such writing is just nonsense.
Wenye kununa wanune, wenye kutaka kunielewa wakasome sababu za malalamiko yangu baada ya kupitia nyuzi kadhaa kwenye jukwaa (stories of change) watu wengi mule awawezi kuandika.
To hell with your, As and H’s kama ndio kigezo cha uwezo kuandika mradi duku duku langu nimelitoa; mniseme mnavyotaka I don’t care.
👋
Talk to my hand
Tofauti kabisa, kwa sababu sijui kila kitu. Kwa mtazamo wangu uwezi nikosoa isipokuwa unanifunza kitu kipya.Hupendi kukosolewa
Nadhani mngelifanya hivyo pamoja na kujadili kiini cha hoja yake.Mkuu,hoja imeeleweka ila kwanza hatutaki lugha ya kiswahili ipotee,ndio maana tumeanza kwa kurekebisha uandishi wake kwanza.
Tunamrekebisha hapa hapa hakuna haja ya kwenda mbali,Nadhani mngelifanya hivyo pamoja na kujadili kiini cha hoja yake.
Kwanini ujikite katika hoja ambayo sio kiini cha mada yake?
Hujaona katika kujenga hoja yake ameweka wazi kwamba sarufi sio kiini cha hoja yake kwasasa?
Kwanini usianzishe mada yenye hoja itakayojikita kuboresha sarufi katika machapisho ya 'Stories of Change 2024' ili kuongeza ufanisi wa programu hii?
Nakubaliana na hitimisho lako. Una shabaha njema.Ulichoelezea ndio msingi wa hoja yangu.
Uwezo wa kukosoa unaishia kwenye serufi tu.
Lakini kwa kutumia jukwaa la ‘stories of change’ kama kipimo cha uwezo wa uandishi wa mantiki.
Watanzania atuwezi andika.
Uwezi kujiandikia tu mambo kutoka kichwani hayo mambo ayakubaliki academically.
Sidhani kama upo sahihi. Chuma cha paswa kuwa machapisho ya stories of change ili ya kidhi vigezo.Tunamrekebisha hapa hapa hakuna haja ya kwenda mbali,
Chuma kikipata moto ndio muda sahihi wa kupondwa,huwezi kukisubiri chuma mpaka kipoe.
Endelea tu kudhani.Sidhani kama upo sahihi. Chuma cha paswa kuwa machapisho ya stories of change ili ya kidhi vigezo.
Mwanzisha mada kafanya kutuamsha katika muundo wa uandishi.
Hahaha duh!Mkuu acha kujifichia kwenye vingereza. Wewe hujui kuandika. Asubuhi hii tukiwaita watu wasiojua kuandika Wewe pia usiache kuja
Tunamrekebisha hapa hapa hakuna haja ya kwenda mbali,
Chuma kikipata moto ndio muda sahihi wa kupondwa,huwezi kukisubiri chuma mpaka kipoe.
Kabisa na ndio hoja yangu.Nakubaliana na hitimisho lako. Una shabaha njema.
Nitoe rai! Mnaoshiriki 'stories of change',Machapisho yenu ni 'pendekezo la mradi', jitahidini kuzingatia usahihi wa kimantiki. Hivyo ni vyema mzingatie uandishi wa kitaalamu.
Wametukosea sana heshima
Mkuu Mayor,Tofauti kabisa, kwa sababu sijui kila kitu. Kwa mtazamo wangu uwezi nikosoa isipokuwa unanifunza kitu kipya.
Likewise sina muda wa kumu-encourage mtu mwenye mtazamo wa hovyo kwa ustaarabu anaotaka yeye.
Kama uwezi kuandika nitakwambia uwezi kuandika hakuna namna nyingine ni uwezi kuandika.
Kiła mtu ana standards zake lakini kwa mtazamo wangu with academic justification asilimia kubwa ya michango ya ‘stories of change’ wachangiaji hawana uwezo wa kuandika.
Hata sijaendelea kusoma upuuz wake.Awawezi, ata, awatambui, wanazoabdika.
Hayo nimakosa baadhi Kwenye uandishi wako wa maada uliyoleta hapo juu.
Ukiwa unafanya ukosoaji jitahidi angalau ukidhi usahihi angalau wa 95% yakile unachokosoa.
Wewe pamoja na sisi watanzania unaotuzungumza wote hatujui kuandika vizuri.
Punguza kukurupuka.