Sijui utatumia njia gani kuwakataa, hawa hutufananisha na mbuzi kwa kutuambia tule nyasi! Wanatuambia tuwaachie nchi yao tuhamie Burundi! Wanajua wametudhibiti kisawasawa hatuwezi kufurukuta.
Sijui utatumia njia gani kuwakataa, hawa hutufananisha na mbuzi kwa kutuambia tule nyasi! Wanatuambia tuwaachie nchi yao tuhamie Burundi! Wanajua wametudhibiti kisawasawa hatuwezi kufurukuta.