Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wasalaam wanajamvi!
Kuna wasanii kwenye sanaa yetu wanayo bahati na wengine hawana bahati kabisa!
Kuna wasanii hawajui kuigiza kabisa lakini wanapendwa sana utafikiri wanajua sana lakini sio kweli!
Mfano wasanii Kama Ray Kigosi na Steve Nyerere huwa sielewi wanaigiza nini lakini kusema ukweli wana mashabiki wengi sana pamoja na utumbo wanao igiza bado wanapata attention ya watu na kupewa nafasi ya kusikilizwa!
Leo nataka niwaulize watanzania kwanini mmempuuza msanii Mabede a.k.a Nabii Mswahili?
-Madebe amewakosea nini?
-Madebe anashida gani na watanzania?
-Madebe anakosea wapi?
-Kwanini mmempuuza?
Msanii huyu ana jitahidi sana ana hangaika sana kutafuta attention ya watanzani lakini kusema kweli watanzania wamekataa kabisa kabisa!
Huyu kijana ana jaribu kila mbinu lakini hasogei kabisa bado najiuliza afanye nini hili asogee? Kwanini mmepokea Ray na Steve Nyerere lakini mnashindwa kumpokea Madebe a.k.a Nabii mswahili?
Wana Jf hebu twambieni huyu kijana ana shida gani? Amewakosea nini watanzania? Kwanini ananyimwa nafasi ya kusikilizwa kuangaliwa? Kwanini asigezwi wala kusogea?
Watanzania huyu kijana amewakosea nini?
Kuna wasanii kwenye sanaa yetu wanayo bahati na wengine hawana bahati kabisa!
Kuna wasanii hawajui kuigiza kabisa lakini wanapendwa sana utafikiri wanajua sana lakini sio kweli!
Mfano wasanii Kama Ray Kigosi na Steve Nyerere huwa sielewi wanaigiza nini lakini kusema ukweli wana mashabiki wengi sana pamoja na utumbo wanao igiza bado wanapata attention ya watu na kupewa nafasi ya kusikilizwa!
Leo nataka niwaulize watanzania kwanini mmempuuza msanii Mabede a.k.a Nabii Mswahili?
-Madebe amewakosea nini?
-Madebe anashida gani na watanzania?
-Madebe anakosea wapi?
-Kwanini mmempuuza?
Msanii huyu ana jitahidi sana ana hangaika sana kutafuta attention ya watanzani lakini kusema kweli watanzania wamekataa kabisa kabisa!
Huyu kijana ana jaribu kila mbinu lakini hasogei kabisa bado najiuliza afanye nini hili asogee? Kwanini mmepokea Ray na Steve Nyerere lakini mnashindwa kumpokea Madebe a.k.a Nabii mswahili?
Wana Jf hebu twambieni huyu kijana ana shida gani? Amewakosea nini watanzania? Kwanini ananyimwa nafasi ya kusikilizwa kuangaliwa? Kwanini asigezwi wala kusogea?
Watanzania huyu kijana amewakosea nini?