Watanzania huyu Msanii Madebe 'Nabii Mswahili' amewakosea nini? Kwanini mmempuuza sana? Ana kosea wapi? Kwanini asogei?

Watanzania huyu Msanii Madebe 'Nabii Mswahili' amewakosea nini? Kwanini mmempuuza sana? Ana kosea wapi? Kwanini asogei?

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Wasalaam wanajamvi!

Kuna wasanii kwenye sanaa yetu wanayo bahati na wengine hawana bahati kabisa!

Kuna wasanii hawajui kuigiza kabisa lakini wanapendwa sana utafikiri wanajua sana lakini sio kweli!
Mfano wasanii Kama Ray Kigosi na Steve Nyerere huwa sielewi wanaigiza nini lakini kusema ukweli wana mashabiki wengi sana pamoja na utumbo wanao igiza bado wanapata attention ya watu na kupewa nafasi ya kusikilizwa!

Leo nataka niwaulize watanzania kwanini mmempuuza msanii Mabede a.k.a Nabii Mswahili?

-Madebe amewakosea nini?
-Madebe anashida gani na watanzania?
-Madebe anakosea wapi?
-Kwanini mmempuuza?

Msanii huyu ana jitahidi sana ana hangaika sana kutafuta attention ya watanzani lakini kusema kweli watanzania wamekataa kabisa kabisa!

Huyu kijana ana jaribu kila mbinu lakini hasogei kabisa bado najiuliza afanye nini hili asogee? Kwanini mmepokea Ray na Steve Nyerere lakini mnashindwa kumpokea Madebe a.k.a Nabii mswahili?

Wana Jf hebu twambieni huyu kijana ana shida gani? Amewakosea nini watanzania? Kwanini ananyimwa nafasi ya kusikilizwa kuangaliwa? Kwanini asigezwi wala kusogea?

Watanzania huyu kijana amewakosea nini?

IMG_0768.jpg

IMG_0767.jpg

IMG_0766.jpg

IMG_0765.jpg

IMG_0764.jpg
 
Kuna 'audio na visual' na huyu bwana nadhani fani yake ni ya kusikiliza zaidi kuliko kuigiza.

Anachotakiwa kufanya ni kukaa kwenye upande sahihi, yaani awalenge Wasikilizaji wa misemo yake na uigizaji awaachie Waigizaji.

Na sidhani kama umaarufu wa Mtu kama Steve unatokana na uigizaji, kati ya Watu 10,000 ukiwaambia wakutajie filamu moja ya Steve ukimpata mmoja ni bahati sana..umaarufu wa Steve unabebwa na mlolongo wa matukio nje na uigizaji.

Mtu kama Ray alishafahamika tangu enzi za 'Kanumba vs Ray', kwa hiyo hata kama hana jipya lakini bado walau kuna cha kujikumbusha.
 
Mbona naona ameshasogea tofauti na alivyoanza mwanzo.
Ila jamaa ana maneno huyu khaa!!..eti hata uzurure vipi huwezi kukutana na Mungu..😂
 
Mbona naona ameshasogea tofauti na alivyoanza mwanzo.
Ila jamaa ana maneno huyu khaa!!..eti hata uzurure vipi huwezi kukutana na Mungu..[emoji23]

Hahahahah
 
Alishaeleza hili #Madebe LIDAI kuwa watanzania wengi walizoea kuona FILAMU zenye Maigizo!! Zinazoigizwa na waigizaji!!
Akafafanua zaidi kuwa waigizaji wengi walipotoka mbele ya kamera!! Waliendelea kuigiza Hadi MAISHA Yao
Mtu anagiza kama KUWADI akitoka hapo anaenda #KUWADIA KWELI
 
Wasalaam wanajamvi!

Kuna wasanii kwenye sanaa yetu wanayo bahati na wengine hawana bahati kabisa!

Kuna wasanii hawajui kuigiza kabisa lakini wanapendwa sana utafikiri wanajua sana lakini sio kweli!
Mfano wasanii Kama Ray Kigosi na Steve Nyerere huwa sielewi wanaigiza nini lakini kusema ukweli wana mashabiki wengi sana pamoja na utumbo wanao igiza bado wanapata attention ya watu na kupewa nafasi ya kusikilizwa!

Leo nataka niwaulize watanzania kwanini mmempuuza msanii Mabede a.k.a Nabii Mswahili?

-Madebe amewakosea nini?
-Madebe anashida gani na watanzania?
-Madebe anakosea wapi?
-Kwanini mmempuuza?

Msanii huyu ana jitahidi sana ana hangaika sana kutafuta attention ya watanzani lakini kusema kweli watanzania wamekataa kabisa kabisa!

Huyu kijana ana jaribu kila mbinu lakini hasogei kabisa bado najiuliza afanye nini hili asogee? Kwanini mmepokea Ray na Steve Nyerere lakini mnashindwa kumpokea Madebe a.k.a Nabii mswahili?

Wana Jf hebu twambieni huyu kijana ana shida gani? Amewakosea nini watanzania? Kwanini ananyimwa nafasi ya kusikilizwa kuangaliwa? Kwanini asigezwi wala kusogea?

Watanzania huyu kijana amewakosea nini?

View attachment 1572362
View attachment 1572363
View attachment 1572364
View attachment 1572365
View attachment 1572366
Ili usogee ktk sanaa yako, unataikiwa ujisogeze mwenyewe. Namaanisha maisha yako nje ya record yawe ni mtu wa kujichanganya sana, uwe mtu wa watu, uwe mtu mwenye interview nyingi, uwe mtu wa misiba uwe mtu wa party sana. Uwe mtu wa michezo, pia. Ukifanya hivyo unakuwa mtu mwenye vi clip vingii mitandaoni hivyo unakuwa hukauki machoni na masikioni mwa watu. Lakini ukijifungia tu ndani na kutegemea record zako tu ndo zikaamue, utachelewa sana.
 
Back
Top Bottom