Watanzania huyu Msanii Madebe 'Nabii Mswahili' amewakosea nini? Kwanini mmempuuza sana? Ana kosea wapi? Kwanini asogei?

Yaani huyu jamaa anaweza kuongea vi2 mpk ukajiona umepotea kabisa[emoji3] ukimfuata unaweza ukatembea uchi kwa sababu tu umezaliwa ukiwa uchi
 
Kweli maana jamaa Kila movie ni misemo tu abadilike
 
Kwakweli mi sijawai muelewa hata cd yake iwe bure sibebi najua hana cha kunielimisha haniburudishi bora akina mpoki,mau,tiny white na ringo
 
Mimi naona kadri siku zinavyosonga mbele ndivyo Madebe Lidai anavyozidi kusonga mbele kwa sasa katika wasanii waliopo nyota yake inazidi kung'aa
 
Tatizo hajapata platform,kama ni tv sikuhizi watu hawaangalii sana,,aweke kazi zake utube
 
Yaani huyo jamaa mnampendeaga ninj
Yaani filam anafyatua hovyo hovyo halafu hayaeleweki
 
Kwani ina tofauti gani na za wengine? Kwani ya Steve nyerere ikoje?
Ni mswahili saaana, so waswahili wako Dar tu.

Siyo Kila mtu ni mfuasi wa misemo na maneno meeengi isiyo na maana kama ya Mpoki
 
Ukiwa humuelewi madebe basi utakuwa una ugonjwa wa akili sababu wenye akili timamu hufaidika na fasihi zake mie namfatilia sana hasa movie yake inaitwa matusi iko vyema sana

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo hajapata platform,kama ni tv sikuhizi watu hawaangalii sana,,aweke kazi zake utube

Anaweka na anakimbiza
Zaidi ya 100k subscribers
 

Attachments

  • IMG_20200919_100356.png
    33 KB · Views: 2
Bongo kutoboa kupitia Tasnia ya uchekeshaji ni ngumu mno kama kuwa mwana hip hop vile. Mbaya zaidi ukiwa huna "kismati/Charisma" utasota mnoo 😢. Mchizi aangalie hizo mbinu zake za uchekeshaji je zinavutia kwa wote au zinalenga kundi moja la watu.
 
sijaelewa vizur, yaan leo hii vicent kigosi wakulinganishwa na Madebe?
Duuu..hata kama humpendi Ray sio kwa GUBU hilo mzaz..
Ray tumeanza kumuona tangu kaole miaka ya 2001 huko then unakuja mfananisha na huyu muigizaji wa mipasho..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…