Watanzania kama hatuwezi kuendesha Bandari ni kipi tunaweza? Huko CCM kuna shida gani?

Watanzania kama hatuwezi kuendesha Bandari ni kipi tunaweza? Huko CCM kuna shida gani?

Mnaumiza vichwa wkt wenzenu wanatafuta hela za uchaguzi 2024/2025 pigeni kelele lkn sioni wakuzuia hii..huko bungeni nikufanya kiini macho tu ilimwisho waseme tumefuata taratibu,muarabu anachukua bandari tutate tusitake next ni airport
 
Walokole wanataka Bandari auziwe Mwizrael ili kelele zao ziishe.
Israel wanajulikana Kwa akili kubwa tofauti nahawa nduguzo wavaa vilemba wanaotegemea mafuta tuu!! Wamewahi gundua Nini na vilemba vyao zaidi ya elimu ya kuwafundisha kuwa kuna majini mema na mabaya? Jini liwe jema kweliiii??? Sasa hatuyataki hayo bandarini kwetu Bora tuitengeneze taratibu!!!
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Israel wanajulikana Kwa akili kubwa tofauti nahawa nduguzo wavaa vilemba wanaotegemea mafuta tuu!! Wamewahi gundua Nini na vilemba vyao zaidi ya elimu ya kuwafundisha kuwa kuna majini mema na mabaya? Jini liwe jema kweliiii??? Sasa hatuyataki hayo bandarini kwetu Bora tuitengeneze taratibu!!!
Kawapime DNA wote ni ndugu moja. ni kama sisi Wabantu wa Mashariki na Wabantu wa Kusini.
 
Israel wanajulikana Kwa akili kubwa tofauti nahawa nduguzo wavaa vilemba wanaotegemea mafuta tuu!! Wamewahi gundua Nini na vilemba vyao zaidi ya elimu ya kuwafundisha kuwa kuna majini mema na mabaya? Jini liwe jema kweliiii??? Sasa hatuyataki hayo bandarini kwetu Bora tuitengeneze taratibu!!!
Hakika
 
Habari JF,

Hivi Watanzania tunashindwa kuendesha kitu ambacho hakituhitaji tuweke mtaji tutengeneze au tuuze vitu kisha tufanye hesabu ya faida tuliyopata, tutaweza kufanya kipi?

Unahitaji nguvu, tunayo ya kutosha. Unahitaji Vifaa na mitambo/mashine, uwezo wa kununua tunao. Unahitaji uweke utaaribu wa kusafirisha na kupokea mizigo, uwezo huo tunao, wateja wapo wa kutosha, tunashindwa wapi kuendesha hii Bandari ya Dar es Salaam?

Je, tutaweza endesha biashara ya ndege, treni, viwanda na nchi kwa ujumla?​

Pengine tunaweza fitna, umbea na majungu. Pengine tunaweza kula kulala tu.
Pengine tunaweza uongo uliopitiliza. Ila cha kushangaza ni pale tunapodanganya nafsi zetu wenyewe. It is a sin and crime
 
Mtanzania hawezi kuendesha chochote,anachojuwa ni kuiba tu
Mwendokasi tu wana mbwelembwela

Ova
 
Pengine tunaweza fitna, umbea na majungu. Pengine tunaweza kula kulala tu.
Pengine tunaweza uongo uliopitiliza. Ila cha kushangaza ni pale tunapodanganya nafsi zetu wenyewe. It is a sin and crime
Ni bora titawaliwe ijulikane
 
Pengine tunaweza fitna, umbea na majungu. Pengine tunaweza kula kulala tu.
Pengine tunaweza uongo uliopitiliza. Ila cha kushangaza ni pale tunapodanganya nafsi zetu wenyewe. It is a sin and crime
Uko sahihi
 
Back
Top Bottom