Zanzibar-Nyamwezi
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,244
- 766
Waislama mkisikia sauti ya Mwalabu tu mnavimba nyuma mwataka kifirooWalokole wanataka Bandari auziwe Mwizrael ili kelele zao ziishe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislama mkisikia sauti ya Mwalabu tu mnavimba nyuma mwataka kifirooWalokole wanataka Bandari auziwe Mwizrael ili kelele zao ziishe.
Israel wanajulikana Kwa akili kubwa tofauti nahawa nduguzo wavaa vilemba wanaotegemea mafuta tuu!! Wamewahi gundua Nini na vilemba vyao zaidi ya elimu ya kuwafundisha kuwa kuna majini mema na mabaya? Jini liwe jema kweliiii??? Sasa hatuyataki hayo bandarini kwetu Bora tuitengeneze taratibu!!!Walokole wanataka Bandari auziwe Mwizrael ili kelele zao ziishe.
Kawapime DNA wote ni ndugu moja. ni kama sisi Wabantu wa Mashariki na Wabantu wa Kusini.Israel wanajulikana Kwa akili kubwa tofauti nahawa nduguzo wavaa vilemba wanaotegemea mafuta tuu!! Wamewahi gundua Nini na vilemba vyao zaidi ya elimu ya kuwafundisha kuwa kuna majini mema na mabaya? Jini liwe jema kweliiii??? Sasa hatuyataki hayo bandarini kwetu Bora tuitengeneze taratibu!!!
HakikaIsrael wanajulikana Kwa akili kubwa tofauti nahawa nduguzo wavaa vilemba wanaotegemea mafuta tuu!! Wamewahi gundua Nini na vilemba vyao zaidi ya elimu ya kuwafundisha kuwa kuna majini mema na mabaya? Jini liwe jema kweliiii??? Sasa hatuyataki hayo bandarini kwetu Bora tuitengeneze taratibu!!!
Kwani CCM ni kipi washawahi ku archive? Washawahi ku manage kipi wakafaulu?
HakikaWamefaulu kukimbiza Mwenge kila wilaya, kila kitongoji mkuu
Habari JF,
Hivi Watanzania tunashindwa kuendesha kitu ambacho hakituhitaji tuweke mtaji tutengeneze au tuuze vitu kisha tufanye hesabu ya faida tuliyopata, tutaweza kufanya kipi?
Unahitaji nguvu, tunayo ya kutosha. Unahitaji Vifaa na mitambo/mashine, uwezo wa kununua tunao. Unahitaji uweke utaaribu wa kusafirisha na kupokea mizigo, uwezo huo tunao, wateja wapo wa kutosha, tunashindwa wapi kuendesha hii Bandari ya Dar es Salaam?
Je, tutaweza endesha biashara ya ndege, treni, viwanda na nchi kwa ujumla?
Wamekwambia?Walokole wanataka Bandari auziwe Mwizrael ili kelele zao ziishe.
Ni bora titawaliwe ijulikanePengine tunaweza fitna, umbea na majungu. Pengine tunaweza kula kulala tu.
Pengine tunaweza uongo uliopitiliza. Ila cha kushangaza ni pale tunapodanganya nafsi zetu wenyewe. It is a sin and crime
Uko sahihiPengine tunaweza fitna, umbea na majungu. Pengine tunaweza kula kulala tu.
Pengine tunaweza uongo uliopitiliza. Ila cha kushangaza ni pale tunapodanganya nafsi zetu wenyewe. It is a sin and crime
😡Wamekwambia?
Kwa nini Tano huwa zinawajaza mashetwani?