Watanzania kushangilia kuangushwa kwa Makonda katika kura za maoni Jimbo la Kigamboni kunaashiria nini?

Anaweza kubebwa huyo ,msikilizeni Mkuu wakaya
 

Attachments

  • Nafasi ya Makonda.mp4
    3.3 MB
Anaweza kubebwa huyo ,msikilizeni Mkuu wakaya
Bado haitabadilisha kuwa wanaccm wa Kigamboni walifanya maamuzi ya kumkataa Makonda, katika kikao chao cha mapendekezo
 

Mlikuwa mnasema ni mabeberu wanamchukia sasa mtasema nini??
 
Utakuwaje akirejeshwa na vikao vya juu?
 
Nitajie kazi tatu tu alizofanya huyo basha wako zaidi ya kuua watu
Dark imekua chafu
Kila alichopanga kafeli
Amebebwa kwakua msukuma tuuu
 
Nitajie kazi tatu tu alizofanya huyo basha wako zaidi ya kuua watu
Dark imekua chafu
Kila alichopanga kafeli
Amebebwa kwakua msukuma tuuu
Dada uwe na adabu basi huku huwa tunabishana kwa hoja sasa lugha chafu za nini huk sio fb.
 
mimi naamini Makonda ndio mkuu wa mkoa bora kabisa kuwahi kutokea, ni kiongozi mwenye uthubutu na mwenye maono na anayependa kujaribu.
Mkuu wa mkoa bora kuwahi kutokea ? Dogo ulishawahi kumsikia Nsa Kaisi ? Au ulishawahi kumsikia Lawrence Gama ?
Acha kutuandikia upuuzi apa eti Makonda ndiyo mkuu wa mkoa bora . . ni bora kwako ila kwa kipimo cha hao wazee niliowataja hapo juu hajakanyaga kabisa. Ungetutajia RC Mtaka angalau ningekuelewa kidogo.
Hivi unajua mkuu wa mkoa bora anafananaje ? Shenzi kabisa. Kama hujui nyamaza
 
Kigezo kinachotumika kwenye serikali hii ya awamu ya tano, unaonekana bora pale tu unapowakomoa wapinzani, kwa kuwabambikia kesi, kuwateka raia wasio na hatia na kuwanyima raia wako haki yao ya kuishi.

Sijui kama huyo Bashite ana sifa nyingine zaidi ya hizo
 
Kunaashiria hawakubaliani na aliyemteua
 
UTABIRI: Makonda anaandaliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma ili kuongeza kasi ya ujenzi wa mji huo. Hii yote ni kutokana na uwezo wake wa kusimamia mambo kwa kasi kwa kuwa Magufuli ana hamu ya kuona kwamba kabla hajondoka madarakani Dodoma inakuwa na sura halisi ya makao makuu ya nchi. Jambo ambalo litamjengea historia kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…