Watanzania kushangilia kuangushwa kwa Makonda katika kura za maoni Jimbo la Kigamboni kunaashiria nini?

Amina
 
cocastic
Duh...........

Inaelekea kukatwa kwa jina hilo la Makonda, kumekupa furaha isiyo kifani 😁 😆
Kwani makonda amekatwa? Mkutano mkuu wa jimbo au wilaya unapitisha majina matatu ambayo yanajadiliwa na kamati ya siasa ya wilaya, mkoa na Nec wanapitisha jina moja. Unafurahi kwani mchakato umeisha? Kufikiri kwa kutumia makamasi ni tatizo kubwa sana. Kwa nini usisubiri mchakato uishe? Sababu kuwa namba moja sio kupita.
 
Kwa hiyo makamanda wahuzunike kwa kua shxxroga katumbuliwa?!
Na apeleke maniniliu yake mabwaku huko.
Kibur mwisho wake ni fedheha.
Kwa hiyo clouds wahuzunike?
 
Siyo "ku-influence" bali nimetoa rai kwa vikao vya juu viheshimu maamuzi yaliyofanywa na kikao cha mapendekezo cha wanaccm wa jimbo la Kigamboni

Wewe CCM???😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
JPM aliwaambia kabisa kuwa wa kwanza sio kupitishwa

Unabaki unapagawa na maisha ya mwanaume mwenzako kufeli

Una akili kweli?

Kama hapendwi? Kwa nn hakupata zero????
 
chagu wa malunde
Mbona umepanick sana?

Wewe ndiyo ulikuwa Campaign Manager wa Bashite?

Kwa hiyo umesikitishwa kwa kuona "ulaji" ndiyo umefika mwisho!
 
chagu wa malunde
Mbona umepanick sana?

Wewe ndiyo ulikuwa Campaign Manager wa Bashite?

Kwa hiyo umesikitishwa kwa kuona "ulaji" ndiyo umefika mwisho!


Wewe ndio umechemka unajadili na kuongea kama mass

Wakati unajua kabisa hata mshindi wa tatu anaweza kusimamishwa


Wanasiasa wanapenda watu kama wewe,


Ndugulile ashaondoka kuwa chagua la mkuu, kumbuka hilo
 
Mkuu yani mpaka umepata akili za kujiunga na jamii forum, forum ya watu smart kichwani bado tu hujui msemo uitwao "Siku zote mti wenye Matunda ndo hupigwa mawe"
 
Jamani tuelewane

Makonda hata akipitishwa asubuhi hii na kamati bado haiondoi furaha yetu ya yeye kutokushinda kwenye kura za Jana.

Kuanzia Jana na kuendelea lolote litalotokea iwe jina lake kuteuliwa kuwania ubunge au kuja kuwa mbunge wa kuteuliwa ni sawa na ANABEBWA TU

Makonda achukue matokeo ya Jana Kama funzo, ajijue kwamba yeye si muhimu kiasi alichojifikiria wala Hana ushawishi mkubwa aliojiwekea kichwani kuwa anao.

Ajitafakari kwanini watu wengi wamefurahia anguko lake japo tunajua kwenye maisha binadamu huwezi kukosa maadui na wasiopenda mafanikio ya mtu, aangalie mbona kwake waliofurahi ni wengi zaidi.


Makonda ajifunze kuishi vizuri na watu na ubabe auweke kando

Ana mazuri mengi Sana kayafanya, Ila mabaya makubwa machache mno yaliyojaa kebehi, ubabe na majivuno ndio yamemfikisha hapo.

Amevuna alichopanda.
 
Huyo akikatwa CCM ataenda kugombea UDP [emoji125][emoji88][emoji88][emoji88][emoji88][emoji88]

Sent from my XT1097 using JamiiForums mobile app
 
chagu wa malunde
Mbona umepanick sana?

Wewe ndiyo ulikuwa Campaign Manager wa Bashite?

Kwa hiyo umesikitishwa kwa kuona "ulaji" ndiyo umefika mwisho!
Wala sio kampeni meneja wala sipendelei mtu. Ila nazungumzia utaratibu wa kupata jina moja bado unaendelea. Na haijulikaani nani atapitishwa huko mbele mbona nyie mnaanza kufurahia upuuzi na Makonda ameingia kwenye mchujo wa majina matatu.
 
Siyo "ku-influence" bali nimetoa rai kwa vikao vya juu viheshimu maamuzi yaliyofanywa na kikao cha mapendekezo cha wanaccm wa jimbo la Kigamboni
Hicho kikao hakina vitendea kazi muhimu. Kinaweza hata kupendekeza watu wasio na ufahamu kwani hakina vitendea kazi (taarifa muhimu za mgombea)
 
Hivi yawezekana rafiki yako wa karibu akachukiwa halafu wewe upendwe wakati matendo yenu yanafanana?
 
Hilo ndiyo somo kubwa analopaswa kujifunza Makonda

Kwamba katika maisha hakuhitajiki "kujimwambafai" kupita kiasi, kwa kuwa hao hao unaowfanyia hivyo, hujui kesho ndiyo utakaokuwa unahitaji msaada wao
 
Yule Rais wa Iran Mohamed Abdinajad alimtanguliza Mungu katika utawala wake. Sasa hivi u Rais umekwisha amerudia kazi yake ya Ualimu Chuo Kikuu na ana panda treni kwenda kazini. Anasalimiama na watu kama kawaida.
Yule jamaa nilikuwa nakubali kazi yake sana toka nikiwa primary school.
 
Kwa taarifa yako kila ajaye kwa jina la mkuu atapigwa chini, rejea kauli ya Lema watu wanaugulia moyoni. Ni adhabu kwa mkuu
 
Hivi yawezekana rafiki yako wa karibu akachukiwa halafu wewe upendwe wakati matendo yenu yanafanana?
Hilo haliwezekani kamwe.............

Kwa hiyo hilo ni somo zuri sana wanalopaswa kulichikua hao akina Jiwe na Bashite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…