Watanzania kuweni wakubwa akilini

Watanzania kuweni wakubwa akilini

Hold on

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2023
Posts
482
Reaction score
1,126
Vipi!

Ujue mimi nawashangaa sana watanzania ambao mna kazi ya kucheka watu kuwa wamezeeka mara maji ya jioni hivi kuna mtu ambaye hatazeeka atabaki hivyo hivyo?

Kuna baadhi yaa watu maarufu huwa wanachekekwa kuwa wamezeeka swali mlitaka wasizekee? Mtu unashinda Tandika mpaka jua lina zama unakaa una mcheka kajala mara aunt mbona amcheki wakina JB ambao mvi zimeenda kwa namna fulani mnawazalilisha kwa mambo ya kijinga wwe unaye wacheka hawa huko kwenu wote hamna mvi?

Hakuna walio zeeka huko?
 
Vip!

Ujue mimi nawashangaa sana watanzania ambao mna kazi ya kucheka watu kuwa wamezeeka mara maji ya jioni ivi kuna mtu ambaye hata zeeka atabaki ivyo ivyo?

Kuna baadhi yaa watu maarufu huwa wanachekekwa kuwa wamezeeka swali mlitaka wasizekee? Mtu unashinda tandika mpaka jua lina zama una kaa una mcheka kajala mara aunt mbona amcheki wakina jb ambao mvi zimeenda kwa namna fulani mnawazalilisha kwa mambo ya kijinga wwe unaye wacheka hawa huko kwenu wote hamna mvi? Hakuna walio zeeka huko?
Kah jamaa 🤔🤔
 
Vip!

Ujue mimi nawashangaa sana watanzania ambao mna kazi ya kucheka watu kuwa wamezeeka mara maji ya jioni ivi kuna mtu ambaye hata zeeka atabaki ivyo ivyo?

Kuna baadhi yaa watu maarufu huwa wanachekekwa kuwa wamezeeka swali mlitaka wasizekee? Mtu unashinda tandika mpaka jua lina zama una kaa una mcheka kajala mara aunt mbona amcheki wakina jb ambao mvi zimeenda kwa namna fulani mnawazalilisha kwa mambo ya kijinga wwe unaye wacheka hawa huko kwenu wote hamna mvi? Hakuna walio zeeka huko?
Yani tukae jukwaa hili kumjadili Mama Paula kweli? Mbona umetudharau sana jombi?

Halafu Moderator pls topic kama hizi zipelekeni kwenye majukwaa yake hapa siyo tuna mambo ya msingi ya kujadili.

Cc: Active BlackBold
 
Yani tukae jukwaa hili kumjadili Mama Paula kweli? Mbona umetudharau sana jombi?

Halafu Moderator pls topic kama hizi zipelekeni kwenye majukwaa yake hapa siyo tuna mambo ya msingi ya kujadili.
Sio mama paula naongelea wazee wote ambao tunachekwa hapa hao nimetumia kama mifano?
 
Back
Top Bottom