Kah jamaa π€π€Vip!
Ujue mimi nawashangaa sana watanzania ambao mna kazi ya kucheka watu kuwa wamezeeka mara maji ya jioni ivi kuna mtu ambaye hata zeeka atabaki ivyo ivyo?
Kuna baadhi yaa watu maarufu huwa wanachekekwa kuwa wamezeeka swali mlitaka wasizekee? Mtu unashinda tandika mpaka jua lina zama una kaa una mcheka kajala mara aunt mbona amcheki wakina jb ambao mvi zimeenda kwa namna fulani mnawazalilisha kwa mambo ya kijinga wwe unaye wacheka hawa huko kwenu wote hamna mvi? Hakuna walio zeeka huko?
Yani tukae jukwaa hili kumjadili Mama Paula kweli? Mbona umetudharau sana jombi?Vip!
Ujue mimi nawashangaa sana watanzania ambao mna kazi ya kucheka watu kuwa wamezeeka mara maji ya jioni ivi kuna mtu ambaye hata zeeka atabaki ivyo ivyo?
Kuna baadhi yaa watu maarufu huwa wanachekekwa kuwa wamezeeka swali mlitaka wasizekee? Mtu unashinda tandika mpaka jua lina zama una kaa una mcheka kajala mara aunt mbona amcheki wakina jb ambao mvi zimeenda kwa namna fulani mnawazalilisha kwa mambo ya kijinga wwe unaye wacheka hawa huko kwenu wote hamna mvi? Hakuna walio zeeka huko?
Itamsaidia sana!Kifunze kupuuzia baadhi ya mambo.
Una umri gani?Sio mama paula naongelea wazee wote ambao tunachekwa hapa hao nimetumia kama mifano?