Elections 2010 Watanzania kwa nini tunakuwa wepesi kuamini uongo wa CCM?

Elections 2010 Watanzania kwa nini tunakuwa wepesi kuamini uongo wa CCM?

Hivi Kiranga,
Huwa unafanya makusudi au ni kutojua?
Mwanzisha mada anaongelea elimu ya msingi na upili, Pell grants etc ni kwa elimu ya chuo kikuu (ambayo mwandishi hajaomba iwe bure). Sasa wewe unavyosema hayo hapo juu unakwepa swala linaloongelea au ndiyo yale ya kawaida ya kubadili topic?



Nasubiri uoneshe how ... weka maanani jinsi ambavyo masikini zaidi ya milioni mbili wameingia shule nchini kenya baada ya serikali kuanzisha elimu ya bure.

Je matajiri walifaidika vipi na masikini kuadhibiwa vipi?

In utilitarian terms, these chances are more utilitarian to the poor than to the rich, the rich have options the poor do not have. So giving these limited chances equally to the rich and the poor is essentially allowing those with options to grab the limited chances from the same pool as those without options, potentially leaving some of the poor without options still holding bags.

Let us top assuming that we have limitless resources.
 
In utilitarian terms, these chances are more utilitarian to the poor than to the rich, the rich have options the poor do not have. So giving these limited chances equally to the rich and the poor is essentially allowing those with options to grab the limited chances from the same pool as those without options, potentially leaving some of the poor without options still holding bags.

Let us top assuming that we have limitless resources.

Examples?

Ha ha ha ha, you've completely ignored the pell grant issue (I dont blame you)
 
kwa vipi?

It is one thing to know the basic principles of economics. It is another to apply them to the problems of the real world. Unaweza kufikiri kwamba ili kusaidia maskini wawe na nyumba nzuri inabidi uweke rent control, kumbe ukiweka rent control una dis-incentivize investors, wanaacha kuwekeza katika kujenga nyumba, mwishowe nyumba zinakosekana kabisa.

This actually happenned in Egypt. Serikali kwa nia nzuri kabisa 9or was it political populism ?) iliweka rent control, ikaishia kupata hiyo unintended consequence.
 
It is one thing to know the basic principles of economics. It is another to apply them to the problems of the real world. Unaweza kufikiri kwamba ili kusaidia maskini wawe na nyumba nzuri inabidi uweke rent control, kumbe ukiweka rent control una dis-incentivize investors, wanaacha kuwekeza katika kujenga nyumba, mwishowe nyumba zinakosekana kabisa.

This actually happenned in Egypt. Serikali kwa nia nzuri kabisa 9or was it political populism ?) iliweka rent control, ikaishia kupata hiyo unintended consequence.

Kiranga,

Usikimbie kuwa all over the map.
Tunaongelea issue ya elimu hapa.

Nakupa mifano ya mafanikio ya elimu bure kwa wote - Marekani, Ulaya, Kanada, Kenya (watu milioni 2 ambao hawakuwa shule waliingia shule) etc.

Wewe toa mfano ambao nchi ilitoa elimu ya bure na yakatokea hayo ya Egypt.
 
Huko upande wa pili wa shilingi kwa mabepari ndio hawataki kabisa kusikia habari za welfare state, sasa huu mfumo unatoka wapi ?

Unapoongelea mabepari - unamaanisha marekani, canada, japan, nchi za ulaya magharibi etc?
 
Examples?

Ha ha ha ha, you've completely ignored the pell grant issue (I dont blame you)

Pell Grant ni mfano tu, unaweza kunionyesha a non-need / merit based Federal Aid programme kwa High Schools on the lines of "elimu kwa wote" ? Nimejaribu kutafuta sijaziona ukiipata hiyo uta invalidate mfano wangu.
 
Pell Grant ni mfano tu, unaweza kunionyesha a non-need / merit based Federal Aid programme kwa High Schools on the lines of "elimu kwa wote" ? Nimejaribu kutafuta sijaziona ukiipata hiyo uta invalidate mfano wangu.

Kwa sababu hakuna kitu kama grant and like kwenye elementary or high school education... so far kuna school districts wanatumia voucher system na inahusishwa na vitu kama charter schools (or some private schools) etc. Jaribu ku-google voucher system or voucher+school na utapata.

So far kinachofanyika marekani, kwa states ambazo niliishi/nimeishi ni kuwa, ukitaka kwenda shule ya msingi au upili, unachofanya ni kwenda shule tu na kuanza kusoma bila kulipa chochote. Zamani hata lunch ilikuwa free kwenye some districts ila siku hizi ukata umefanya lunch zitolewe kwa masikini tu.

Hakuna cha income wala application process ya kusubiri miezi kibao. Hii so far, ni only public service ambayo hata illegal immigrants wanaipata for free.
 
nchi za kibepari za Asia elimu inalipiwa, na kwa wale wasiokuwa na uwezo wanapata grants kutoka kwa local authorities.

Licha ya kuwepo kwa ufanisi mkubwa mno wa ukusanyaji kodi ambapo hata vibarua wana file tax mwisho wa mwaka, huduma za afya pia zinatozwa kwa mujibu wa mapato yako ( unalipia bima ya afya kwa mujibu wa mapato yako)
 
nchi za kibepari za Asia elimu inalipiwa, na kwa wale wasiokuwa na uwezo wanapata grants kutoka kwa local authorities.

Licha ya kuwepo kwa ufanisi mkubwa mno wa ukusanyaji kodi ambapo hata vibarua wana file tax mwisho wa mwaka, huduma za afya pia zinatozwa kwa mujibu wa mapato yako ( unalipia bima ya afya kwa mujibu wa mapato yako)

Gaijin,

Unaongelea elimu ya msingi+upili (kama mada inayoongea) au unaongelea elimu ya juu?
Kama ni elimu ya msingi+upili, nchi za kibepari ni pamoja na marekani?
 
Kwa sababu hakuna kitu kama grant and like kwenye elementary or high school education... so far kuna school districts wanatumia voucher system na inahusishwa na vitu kama charter schools (or some private schools) etc. Jaribu ku-google voucher system or voucher+school na utapata.

So far kinachofanyika marekani, kwa states ambazo niliishi/nimeishi ni kuwa, ukitaka kwenda shule ya msingi au upili, unachofanya ni kwenda shule tu na kuanza kusoma bila kulipa chochote. Zamani hata lunch ilikuwa free kwenye some districts ila siku hizi ukata umefanya lunch zitolewe kwa masikini tu.

Hakuna cha income wala application process ya kusubiri miezi kibao. Hii so far, ni only public service ambayo hata illegal immigrants wanaipata for free.

Sasa ushaongelea habari za school districts na states huko, haya mambo si ya federal. Na hata hao wamarekani wenyewe ambao hatuwezi kuwaiga kwa sababu hatuna maendeleo ya kiuchumi kama yao, wanaondoka katika mfumo huu sasa kama unavyosema.

Mimi pointi yangu ni rahisi tu, kukiwa na mfumo unaoruhusu wasio na uwezo kusomeshwa bure mpaka form six kwa mfano, hakuna ubaya. Lakini kuruhusu wenye uwezo wasome bure hakuleti mantiki kiuchumi, hasa kwa sababu kila shilingi yetu ina kazi nyingi sana na hatuwezi kumudu kuwasomesha watu wenye uwezo wakati tuna watu kibao wasio na uwezo wanasubiri shilingi hiyo hiyo iwasomeshe. Hili ni jambo la msingi kabisa.
 
Wakuu,

Katika kuichambua hoja hii ya Elimu bure darasa la kwanza hadi Formsix nimejaribu kutoa mchanganuo ufuatao. Analysis based on matokeo ya kidato cha nne 2009 yaliyotangazwa Feb.2010

Elimu ya O-Level

1.Wanafunzi waliomaliza kidato cha nne na kufanya mtihani (Shule za serikali + shule za binafsi) =351,152

2.Tu assume wale wa shule binafsi ni 20% ya wanafunzi wote:
Kwa hiyo wale wa shule za serikali = [351,152-(351,152 x 0.2)] = 280922

3.Tumepata wanafunzi wa shule za umma waliomaliza kidato cha nne mwaka jana ni 280922

4.Tu assume tena kuwa katika intake hii ya hawa waliofika kidato cha nne wako ambao waliishia njiani, tuseme 15% hawakufika hapo, kwa hiyo hao 280922 ni 85% ya wanafunzi wote. Ukipiga mahesabu utapata kuwa wanafunzi wote walipaswa kuwa 330496, hawa ni wanafunzi wa kidato kimoja tuseme cha nne.

5.Kwa hiyo kupata wastani wa wanafunzi wote wa kidato cha I-IV, tunazidisha hiyo figure kwa nne. 330496 x 4 =1,321,984.

6. Tuassume tena kuwa kati ya hao wanafunzi wote, 30% ni wa boarding na 70% ni wa shule za kutwa. Wale wa shule za kutwa ada ni sh.20,000/= na wale wa boarding ada ni sh.70,000/=

7. 30% ambayo ni wanafunzi wa bweni ni sawa na (0.3 x 1,321,984= 396,595) kwa hiyo wale wa kutwa ambao ni 70% watakuwa (1,321,984 – 396595 =925,389)

Gharama za kuwalipia wanafunzi wote kwa mwaka:

Wale wa shule za kutwa = 925389 x sh.20,000/- = 18,507,780,000 (Billion 18.6)
Wale wa shule za bweni =396595 x sh.70,000/- =27,761,650,000 (Billioni 27.6)



PART B: Wanafunzi wa A Level
1. Kwa matokeo hayo ya 2009 waliofaulu kwa division I-III walikuwa 42,672 . Tuassume wote watachaguliwa kwenda Alevel shule za boarding za serikali. Hivyo tungekuwa na wanafunzi wa kidato cha Tano 42,672 na kidato cha sita watakuwa idadi hiyo hiyo. Kwa hiyo jumla ya wanafunzi wote wa kidato cha Tano na sita watakuwa (42,672 x 2 = 85344)

2. Gharama ya kuwalipia hawa wote itakuwa Tsh.70,000/- x 85344 = 5,974,080,000 (Billion 6)


My take:
Jumla ya gharama zote zitatakiwa Billion 52.2 kwa mwaka kugharamia ada za wanafunzi kutoka kidato cha kwanza hadi cha sita. Sijaweka za primary kwani elimu hiyo ni ya bure kwa sasa. Tukiongeza ukusanyaji wa kodi na kubana mianya ya ukwepaji wa kodi hili linawezekana, Elimu bure darasa la kwanza hadi Form SIX

NB: Pitia analysis hii then correct me if I’m wrong
 
Gaijin,

Unaongelea elimu ya msingi+upili (kama mada inayoongea) au unaongelea elimu ya juu?
Kama ni elimu ya msingi+upili, nchi za kibepari ni pamoja na marekani?

naongelea elimu ya msingi na upili kwa nchi za Asia......kuwa inalipiwa. (na hapo kuna sare pia ambayo inajumuisha hadi viatu na school bags)

nilitaka tu kuonyesha kuwa sio nchi zote za kibepari au zilizoendelea zinatoa elimu bure.
 
Sasa ushaongelea habari za school districts na states huko, haya mambo si ya federal. Na hata hao wamarekani wenyewe ambao hatuwezi kuwaiga kwa sababu hatuna maendeleo ya kiuchumi kama yao, wanaondoka katika mfumo huu sasa kama unavyosema.

Kiranga,
Nilikuambia kuwa unachimba shimo ambalo itakuwa kazi kutoka.
School zinaendeshwa na school districts (county and local governments) lakini overall funding huwa inalazimika kutoka Fed na State governments. Unakumbuka no child left behind ya Bush?

Mimi pointi yangu ni rahisi tu, kukiwa na mfumo unaoruhusu wasio na uwezo kusomeshwa bure mpaka form six kwa mfano, hakuna ubaya. Lakini kuruhusu wenye uwezo wasome bure hakuleti mantiki kiuchumi, hasa kwa sababu kila shilingi yetu ina kazi nyingi sana na hatuwezi kumudu kuwasomesha watu wenye uwezo wakati tuna watu kibao wasio na uwezo wanasubiri shilingi hiyo hiyo iwasomeshe. Hili ni jambo la msingi kabisa.

Angalau sasa umebadili mwelekeo. Wenye uwezo hawalazimishwi kusoma public school. Hata marekani kwenyewe watoto wa Obama hawasomi public school za DC - wanasoma private school.

Kinachojali hapa ni kuwapa watu wasio na nafasi ya kusoma a chance in life. Kumbuka kenya na watoto milioni mbili wa masikini waliojiunga shule immediately baada ya free education kuanza.

Haya ni matumizi bora ya pesa kuliko mashangingi karibu 1000 ya serikali.
 
naongelea elimu ya msingi na upili kwa nchi za Asia......kuwa inalipiwa. (na hapo kuna sare pia ambayo inajumuisha hadi viatu na school bags)

nilitaka tu kuonyesha kuwa sio nchi zote za kibepari au zilizoendelea zinatoa elimu bure.

Ha ha haha ...lakini nchi za kibepari kama marekani, canada na uropa elimu ni bure.
Nimekuuliza utoe mifano, bado nasubiria -- halafu tutafanya comparative analysis ya mafanikio ya sera hizi mbili.
 
Msikilize Nyerere around 4:40 anavyosema kuhusu hili jambo, na huyu ndiye alikuwa champion wa hii cause.

 
Last edited by a moderator:
Msikilize Nyerere around 4:50 anavyosema kuhusu hili jambo



Unataka kuniambia kuwa leo unakubaliana na mwalimu.

Turudi kwenye mada kabla hujaanza kubadili muelekeo. Bado unapinga kuwa na elimu bure kwa wote?
 
Last edited by a moderator:
Unapoongelea mabepari - unamaanisha marekani, canada, japan, nchi za ulaya magharibi etc?

Gaijin,

Unaongelea elimu ya msingi+upili (kama mada inayoongea) au unaongelea elimu ya juu?
Kama ni elimu ya msingi+upili, nchi za kibepari ni pamoja na marekani?

Ha ha haha ...lakini nchi za kibepari kama marekani, canada na uropa elimu ni bure.
Nimekuuliza utoe mifano, bado nasubiria -- halafu tutafanya comparative analysis ya mafanikio ya sera hizi mbili.


nilikuwa nakuonyesha tu usiweke nchi zote za mabepari kwenye kundi moja.......nchi za kibepari za Asia, elimu inalipiwa.

Umeniuliza mie nitoe mfano wapi?
 
[/COLOR]
nilikuwa nakuonyesha tu usiweke nchi zote za mabepari kwenye kundi moja.......nchi za kibepari za Asia, elimu inalipiwa.

Umeniuliza mie nitoe mfano wapi?
oooopsss, ninakuuliza sio nimekuuliza.
 
Unataka kuniambia kuwa leo unakubaliana na mwalimu.

Turudi kwenye mada kabla hujaanza kubadili muelekeo. Bado unapinga kuwa na elimu bure kwa wote?

Mimi kamwe sikubaliani au kupingana na mtu, nakubaliana au kupingana na jambo, dhana, kwa kuangalia mantiki.

Ndiyo maana mambo mengine nakubaliana na CHADEMA, mengine napingana nao. Na Mwalimu naye ni hivyo hivyo, kuna mengine nakubaliana naye, mengine sikubaliani naye. Wasioelewa hili hawawezi kunielewa.

Ukiona watu wanakubaliana kila kitu ujue kuna wengine wanaburuzwa hapo.
 
Kiranga,
Mkuu wangu hata sielewi unazungumza vitu gani! samahani lakini.
Hapa Canada tuna mfumo huo na unafanya kazi vizuri sana kiasi kwamba tupo ranked juu ktk Elimu duniani, In fact nchi zenye kutoa elimu bure ndizo ziko ranked juu ya nchi nyinginezo ktk Elimu na hata Human development (tazama index)
Wewe bado huoni kama mfumo huu ndio tutauhitaji kwa sasa kwa sababu umeweza kufanya kazi na matunda yake yanaonekana!
 
Back
Top Bottom