Watanzania kwa umoja wetu tuhamie huduma za kibenki

Watanzania kwa umoja wetu tuhamie huduma za kibenki

Tukisharundikana benki lazima nako watakuja,hao ni kama nyuki akikufukuza hata ujizamishe kwenye maji anabaki juu anakusubiri uishiwe pumzi uibuke akupe unachostahili kupewa.
Mkuu nitamwambia mtu ampatie afu mtu akienda anaenda nayo.tutarudi huko hakuna shida.
 
Back
Top Bottom