Uchaguzi 2020 Watanzania, kwanini mnajipanga barabarani kumsubiri Tundu Lissu?

Uchaguzi 2020 Watanzania, kwanini mnajipanga barabarani kumsubiri Tundu Lissu?

Tundu lissu ni mgombea hajawa Rais bado,Lakini watu wanakaa barabarani na kumsubiri huku wakiimba Rais Rais Raisi

Haya yamejitokeza sana kanda ya ziwa mikoa ya Geita na Mwanza ,Vunja kazi ni Musoma watu wamejipanga mistari huku wakiimba na kusifu

Mwanza walimsindikiza mpaka hotelini?

Nimetafakari sana na kufikiria sana ,Hii imepelekea kuamini duniani kuna sumaku ya asili ukiachana ile ya kawaida tuliyozoea ya North pole and South pole

Achana na hii sumaku ya sciance inayosema like poles repel ,and Different poles attract

Sumaku ya asili ya Tundu lissu ni kamzizi fulani ambako watu wanaoteshwa na kupumbazwa usiku hivyo asubuhi maelfu hujikuta barabarani kumsubiri na kujaa uwanjani

Hii sumaku ya asili ya Tundu lissu sasa imewavuta hata waliojificha kuanza kujibu hoja ,

Tulitoa tahadhari hapa kama wana ccm kuwa mtu huyo Tundu lissu asijibiwe ,kumjibu kunazidi kuharibu mambo

Tulionya hapa ni bora kuonyesha habari za huyu mtu Tbc lakini zikapuuzwa mwanzoni na kuanza kutekelezwa mwishoni,Kuficha habari zake watu wanazitafuta zaidi ili kujua kaongea kitu gani

Napendekeza yafuatayo kwa chama changu cha mapinduzi

Propaganda za kuwatumia akina Musiba na Polepole kujibu hoja kutatoa siri zaidi ambazo watu hawazijui na kumfanya lissu atoe yale ya sirini,Akianza huyu mtu kutoa ya chumbani ccm tutaabika,Tujikite kwenye sera zetu,Lissu ameongea machache mengine wananchi hawajamkumbusha

Pili,Serikali ipunguze kodi ya mishahara Pay as you earn hii itasaidia sekta zote hata mapolisi anaowaongelea Tundu lissu watafurahi kuwa mishahara yao imepunguzwa kodi

Tatu,Ni muda wa ccm kuanza kuhubiri maendeleo ya watu na si maendeleo ya vitu,ccm iongelee maisha ya mfukoni mwa watu na kutoa ahadi za 2021 kuwa maisha na mzunguko wa pesa utakaa sawa

Haya mambo ya reli,barabara na ndege watu hawayapendi kwa sasa na hii ni hulka ya mwanadamu akishiba hataki tena kusikia au kula

Tutaendelea kutoa maoni na mwaelekeo wa siasa ya chama chetu cha mapinduzi

Muhimu,Ni muda wa chama kuhubiri maendeleo ya watu yaani maisha na uchumi wao wa mifukoni (Micro economics)

Hayo mambo ya uchumi mkubwa (Micro economics) na Multiplier effect ya miradi naona kama tumefeli sehemu haijawalizisha watu na kuwapatia pesa toka kwenye hii miradi
Mtu akishakuwa na upako wa Mungu aliye Hai, achana naye ni kiumbe tofauti.
 
Eti watu wakishiba, ni akina nani hao wameshiba? Hebu nitaje miradi wowote mkubwa uliofika hata robo ili tujiridhishe na hiyo miradi mikubwa.
Chato International Airport
 
Mpaka sasa sijajua Kura yangu nipeleke wapi kwa kweli......ni suala la muda tu kuhamua.
 
Kwanza atoe ile 50 million kila kijiji maana aliahidi. Matokeo imepigwa changa la macho. Je hayo unayosema atatekeleza baada ya kuyatamka?[emoji41]
 
Pole kwa kujitoa ufahamu, Mungu husimama na Magufuli . SAA hii Mungu wetu anasema nasi , anatuonyesha wasaliti wa nchi mchana kweupe wakijadiliana na wazungu wauaji na wezi.
Asante Mungu kwa kutufunulia , jina lako litukuzwe.
Walioko na wanaogombea CCM ni wasaka tonge tu wala hawana uchungu na WANANCHI na ndio maana wametuletea Sheria za ajabu sana za MAFAO wakati wenyewe washachukua chao ni UBINAFSI WA HALI YA JUU SANA. WOTE MBWA TUU.
 
Mimi nashauri hivi:
1:JPM kiuhalisia amefanya mengi mazuri ila anatakiwa kubalance maendeleo ya kitaifa kama miundo mbinu na maendeleo ya watu kama mishahara,pembejeo za Kuliko,nk.
2:Aache kutaka kumaliza kero au matatizo ya nchi kwa siku moja.mfano,ukisema habari za flyover kwa mwananchi wa kule chunya au ulanga,au newala haelewi chochote flyover ni kitu gani.Huyu anaelewa zaidi daraja au mbolea za shambani kwake
3.Siyo Jambo jema kutumia lugha za kejeli pale raia wa kawaida wanapopata majanga.mfano Mimi sikuleta tetemeko.nikweli hakuleta lakini watu wako katika makundi
4:Watu yaani wapinzani waruhusiwe kufanya siasa muda wote ili kujua maono na Mtazamo wa watu juu ya see yao.
5:Kuwe nauvumilivu wa kusiasa badala ya kuona kama audio
6:Majadiliano na vyama upinzani ni muhimu
Amechelewa..
 
Watu wamekuwa waoga sana kisa utawala huu, saizi kila mtu anasema ni Siri ya moyo , wote Hawa wanao sema Siri ya moyo Wanaenda na Lissu hapo tarehe 28/10/2020.
Hawa wakurugenzi pamoja na wao kuwa wachumia tumbo lakini Kuna watu au ndugu zao wameumizwa na utawala huu na kuzalilishwa Hawa wote Wanaenda na Ni yeye, Lissu 2020. Ila Ni silent.
 
IMG_20200926_233803.jpg
 
Pole kwa kujitoa ufahamu, Mungu husimama na Magufuli . SAA hii Mungu wetu anasema nasi , anatuonyesha wasaliti wa nchi mchana kweupe wakijadiliana na wazungu wauaji na wezi.
Asante Mungu kwa kutufunulia , jina lako litukuzwe.
kijani na Mungu wapi na wapi? Wakati mambo mabaya mengi yametokea kipindi hiki.
 
Tundu lissu ni mgombea hajawa Rais bado,Lakini watu wanakaa barabarani na kumsubiri huku wakiimba Rais Rais Raisi

Haya yamejitokeza sana kanda ya ziwa mikoa ya Geita na Mwanza ,Vunja kazi ni Musoma watu wamejipanga mistari huku wakiimba na kusifu

Mwanza walimsindikiza mpaka hotelini?

Nimetafakari sana na kufikiria sana ,Hii imepelekea kuamini duniani kuna sumaku ya asili ukiachana ile ya kawaida tuliyozoea ya North pole and South pole

Achana na hii sumaku ya sciance inayosema like poles repel ,and Different poles attract

Sumaku ya asili ya Tundu lissu ni kamzizi fulani ambako watu wanaoteshwa na kupumbazwa usiku hivyo asubuhi maelfu hujikuta barabarani kumsubiri na kujaa uwanjani

Hii sumaku ya asili ya Tundu lissu sasa imewavuta hata waliojificha kuanza kujibu hoja ,

Tulitoa tahadhari hapa kama wana ccm kuwa mtu huyo Tundu lissu asijibiwe ,kumjibu kunazidi kuharibu mambo

Tulionya hapa ni bora kuonyesha habari za huyu mtu Tbc lakini zikapuuzwa mwanzoni na kuanza kutekelezwa mwishoni,Kuficha habari zake watu wanazitafuta zaidi ili kujua kaongea kitu gani

Napendekeza yafuatayo kwa chama changu cha mapinduzi

Propaganda za kuwatumia akina Musiba na Polepole kujibu hoja kutatoa siri zaidi ambazo watu hawazijui na kumfanya lissu atoe yale ya sirini,Akianza huyu mtu kutoa ya chumbani ccm tutaabika,Tujikite kwenye sera zetu,Lissu ameongea machache mengine wananchi hawajamkumbusha

Pili,Serikali ipunguze kodi ya mishahara Pay as you earn hii itasaidia sekta zote hata mapolisi anaowaongelea Tundu lissu watafurahi kuwa mishahara yao imepunguzwa kodi

Tatu,Ni muda wa ccm kuanza kuhubiri maendeleo ya watu na si maendeleo ya vitu,ccm iongelee maisha ya mfukoni mwa watu na kutoa ahadi za 2021 kuwa maisha na mzunguko wa pesa utakaa sawa

Haya mambo ya reli,barabara na ndege watu hawayapendi kwa sasa na hii ni hulka ya mwanadamu akishiba hataki tena kusikia au kula

Tutaendelea kutoa maoni na mwaelekeo wa siasa ya chama chetu cha mapinduzi

Muhimu,Ni muda wa chama kuhubiri maendeleo ya watu yaani maisha na uchumi wao wa mifukoni (Micro economics)

Hayo mambo ya uchumi mkubwa (Micro economics) na Multiplier effect ya miradi naona kama tumefeli sehemu haijawalizisha watu na kuwapatia pesa toka kwenye hii miradi
Umesahau ya Lowasa huko mwanza watu walilala na kusubili hata asubuhi wapo hotelini wamsindikize viwanjani?
Msoma wakadeki na barabara?
Hizi kanda mara nyingine ni wapuuzi kweli ingawa ndo huwa zinaonekana na watu jasiri na wasiopenda dharau lakini kwenye hili huwa wanatepeta kama uji.
 
Back
Top Bottom