Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Ukatafakari haya utajua uipeleke wapi. ?Mpaka sasa sijajua Kura yangu nipeleke wapi kwa kweli......ni suala la muda tu kuhamua.
Wamefukuzwa wenye vyeti feki hawajalipwa Ela na ajira hazijatoka kureplace , je fedha zote zimeenda wapi ? na mafao hawajalipwa.
Nyongeza ya mishahara hola.
......
Twende na Ni yeye Lissu 2020