Uchaguzi 2020 Watanzania, kwanini mnajipanga barabarani kumsubiri Tundu Lissu?

Mpaka sasa sijajua Kura yangu nipeleke wapi kwa kweli......ni suala la muda tu kuhamua.
Ukatafakari haya utajua uipeleke wapi. ?
Wamefukuzwa wenye vyeti feki hawajalipwa Ela na ajira hazijatoka kureplace , je fedha zote zimeenda wapi ? na mafao hawajalipwa.
Nyongeza ya mishahara hola.
......
Twende na Ni yeye Lissu 2020
 
Mmezoea eeh?
Tutawashangaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…