pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Nipe no ya hao chadema tuwatumie mchangoWapendwa watanzania wenzangu,
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kikiomba michango kutoka kwa watanzania katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokikabili chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.
Watanzania tuna utaratibu wa kuchangiana kwenye mambo mbalimbali hususani misiba na harusi. Hata CHADEMA wanaomba michango kutokana na utaratibu uleule wa kuchangiana, hivyo sio mbaya.
Hatahivyo, nina maswali ya kuhoji Kuhusu Michango hiyo:
Je, ruzuku inayopokelewa chamani, inafanya kazi gani?
Je, yale makato ya shilingi milioni moja kwa kila mbunge, yanatumikaje?
Chama hakina utaratibu wa kupata michango kutoka kwa wanachama wao badala ya kulifanya kuwa jambo la kitaifa?
Kuna uwazi gani katika mapato na matumizi ya michango hiyo?
Je, chama hakikujua kuwa kuna uchaguzi unakuja na kuwa una gharama?
Je, kuwaomba watanzania michango ilihali wamekuwa wakisemwa kuwa ni mafukara sana na kuwa wamepigika si ni unyonyaji kama ni kweli?
Je, mbona hatuoni nguvu kubwa ikitumika kuomba michango kwa ajili ya harambee za kujenga vyumba vya madarasa, zahanati na mambo mengine ya kusaidia maendeleo ya watu wao?
#Kuulizasiujinga
Amani Msumari
Tanga
Nimehoji kuhusu njia inayotumika. Imekaa kijanjajanjaMbona CCM mnachangisha fedha ila hujaesema hapa?Au hujui kama mnafanya hilo?Mnatembeza bakuli kwenye taasisi za serikali na wao wanawachangia kwa kulazimika!
Hukuona siku ya ufunguzi bashiru akitaja mamilioni yaliyochangwa?
Unajua gharama za uchaguzi ni kubwa kiasi gani?
Hebu hangaikeni na CCM yenu huko mtuachie CDM yetu pendwa!
Utaratibu wenu ni mbovuCcm hamchangishi kwani
Sawa. Chama kielekeze pia nguvu kwa wenye shidaSisi tunachanga tu mkuu ili kufanikisha tukio hili la kikatiba......
Tulichangia matibabu yake....
Tulichanga kuwatoa segerea viongozi na wabunge wetu.....
Tutaendeleza kuchangia kwa ajiri ya mabadiriko....
Huu uchafu unaoleta hatuwezi kubadili chochote..
Sio kosa lako, ingefaa umsikilize Polepole leoLengo la hiyo michango ni kuwafuta machozi watumishi wa umma waliotelekezwa na Meko kwa miaka mitano bila nyongeza ya mishahara wala kupandishwa vyeo.
JINYONGE USIYAONE HAYO: Mimi nitachangiaWapendwa watanzania wenzangu,
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kikiomba michango kutoka kwa watanzania katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokikabili chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.
Watanzania tuna utaratibu wa kuchangiana kwenye mambo mbalimbali hususani misiba na harusi. Hata CHADEMA wanaomba michango kutokana na utaratibu uleule wa kuchangiana, hivyo sio mbaya.
Hatahivyo, nina maswali ya kuhoji Kuhusu Michango hiyo:
Je, ruzuku inayopokelewa chamani, inafanya kazi gani?
Je, yale makato ya shilingi milioni moja kwa kila mbunge, yanatumikaje?
Chama hakina utaratibu wa kupata michango kutoka kwa wanachama wao badala ya kulifanya kuwa jambo la kitaifa?
Kuna uwazi gani katika mapato na matumizi ya michango hiyo?
Je, chama hakikujua kuwa kuna uchaguzi unakuja na kuwa una gharama?
Je, kuwaomba watanzania michango ilihali wamekuwa wakisemwa kuwa ni mafukara sana na kuwa wamepigika si ni unyonyaji kama ni kweli?
Je, mbona hatuoni nguvu kubwa ikitumika kuomba michango kwa ajili ya harambee za kujenga vyumba vya madarasa, zahanati na mambo mengine ya kusaidia maendeleo ya watu wao?
#Kuulizasiujinga
Amani Msumari
Tanga
Nyaoni haoni kundule,sivyo?Nimehoji kuhusu njia inayotumika. Imekaa kijanjajanja
Sio kosa lako, ingefaa umsikilize Polepole leo
Polepole tena! Acha dharau 🤣 🤣
Michango ya mwanzo waliyowahi changisha kupitia line za simu mbowe hakuwahi sema kiasi cha pesa. Ivi tena anataka kuzipiga. Mchaga na hela acha kabisaWapendwa watanzania wenzangu,
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kikiomba michango kutoka kwa watanzania katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokikabili chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.
Watanzania tuna utaratibu wa kuchangiana kwenye mambo mbalimbali hususani misiba na harusi. Hata CHADEMA wanaomba michango kutokana na utaratibu uleule wa kuchangiana, hivyo sio mbaya.
Hatahivyo, nina maswali ya kuhoji Kuhusu Michango hiyo:
Je, ruzuku inayopokelewa chamani, inafanya kazi gani?
Je, yale makato ya shilingi milioni moja kwa kila mbunge, yanatumikaje?
Chama hakina utaratibu wa kupata michango kutoka kwa wanachama wao badala ya kulifanya kuwa jambo la kitaifa?
Kuna uwazi gani katika mapato na matumizi ya michango hiyo?
Je, chama hakikujua kuwa kuna uchaguzi unakuja na kuwa una gharama?
Je, kuwaomba watanzania michango ilihali wamekuwa wakisemwa kuwa ni mafukara sana na kuwa wamepigika si ni unyonyaji kama ni kweli?
Je, mbona hatuoni nguvu kubwa ikitumika kuomba michango kwa ajili ya harambee za kujenga vyumba vya madarasa, zahanati na mambo mengine ya kusaidia maendeleo ya watu wao?
#Kuulizasiujinga
Amani Msumari
Tanga
Hayakuhusu, hujalazimishwa kuchangia....Hivi kwanza unajua gharama za kuendesha kampeni za urais kwa Tanzania nzima wewe kapuku......Uliza kwanza kwanini CCM wantumia Mali na pesa za walipa kodi kufanyia kampeni mgombea wao...Kapuku wewe
Dah afadhali kama umetokea wewe wa kuona hilo. Vijana wa upinzani hawawezi kujenga hoja, wamekalis ushabiki. Napata tabu sana humu.karibu wachangiaji wote wameleta mipasho so nachojiuliza wapinzani hawajui kujenga hoja? au mipasho ndo hoja zao? hebu tujitaidini kujadili mambo kwa kujenga hoja.
Maccm yenyewe yanatumiaSawa. Chama kielekeze pia nguvu kwa wenye shida