Uchaguzi 2020 Watanzania lazima tuhoji kuhusu michango hii inayochangishwa na CHADEMA

Uchaguzi 2020 Watanzania lazima tuhoji kuhusu michango hii inayochangishwa na CHADEMA

Wapendwa watanzania wenzangu,

Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kikiomba michango kutoka kwa watanzania katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokikabili chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.

Watanzania tuna utaratibu wa kuchangiana kwenye mambo mbalimbali hususani misiba na harusi. Hata CHADEMA wanaomba michango kutokana na utaratibu uleule wa kuchangiana, hivyo sio mbaya.

Hatahivyo, nina maswali ya kuhoji Kuhusu Michango hiyo:

Je, ruzuku inayopokelewa chamani, inafanya kazi gani?

Je, yale makato ya shilingi milioni moja kwa kila mbunge, yanatumikaje?

Chama hakina utaratibu wa kupata michango kutoka kwa wanachama wao badala ya kulifanya kuwa jambo la kitaifa?

Kuna uwazi gani katika mapato na matumizi ya michango hiyo?

Je, chama hakikujua kuwa kuna uchaguzi unakuja na kuwa una gharama?

Je, kuwaomba watanzania michango ilihali wamekuwa wakisemwa kuwa ni mafukara sana na kuwa wamepigika si ni unyonyaji kama ni kweli?

Je, mbona hatuoni nguvu kubwa ikitumika kuomba michango kwa ajili ya harambee za kujenga vyumba vya madarasa, zahanati na mambo mengine ya kusaidia maendeleo ya watu wao?

#Kuulizasiujinga

Amani Msumari
Tanga
Mkuu kwani wewe umechanga ,wanaochanga hawalalamiki vipi ulalamike
 
Mamlaka ya Mapato waliangalie wao.
Hayo ni MAPATO
TRA wamesikia
 
Hivi vyama omba omba wakishika madaraka badala ya kutuletea maendeleo so ndio watatumia hiyo nafasi kujinufaisha kwanza wao mpaka watosheke.
 
Hivi vyama omba omba wakishika madaraka badala ya kutuletea maendeleo so ndio watatumia hiyo nafasi kujinufaisha kwanza wao mpaka watosheke.
Go and tell CCM to marry you for a free lunch
 
Watekaji na wauwaji mnahainga sana.
pita kafie kushoto,
 
Kwani wamekulazimisha? Ukiona hayakuhusu unapiga kimya
Wapendwa watanzania wenzangu,

Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kikiomba michango kutoka kwa watanzania katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokikabili chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.

Watanzania tuna utaratibu wa kuchangiana kwenye mambo mbalimbali hususani misiba na harusi. Hata CHADEMA wanaomba michango kutokana na utaratibu uleule wa kuchangiana, hivyo sio mbaya.

Hatahivyo, nina maswali ya kuhoji Kuhusu Michango hiyo:

Je, ruzuku inayopokelewa chamani, inafanya kazi gani?

Je, yale makato ya shilingi milioni moja kwa kila mbunge, yanatumikaje?

Chama hakina utaratibu wa kupata michango kutoka kwa wanachama wao badala ya kulifanya kuwa jambo la kitaifa?

Kuna uwazi gani katika mapato na matumizi ya michango hiyo?

Je, chama hakikujua kuwa kuna uchaguzi unakuja na kuwa una gharama?

Je, kuwaomba watanzania michango ilihali wamekuwa wakisemwa kuwa ni mafukara sana na kuwa wamepigika si ni unyonyaji kama ni kweli?

Je, mbona hatuoni nguvu kubwa ikitumika kuomba michango kwa ajili ya harambee za kujenga vyumba vya madarasa, zahanati na mambo mengine ya kusaidia maendeleo ya watu wao?

#Kuulizasiujinga

Amani Msumari
Tanga
 
Kwa kesi walizopata chadema awamu hii kila siku mahakamani ni haki yao kabisa kukosa pesa ya kufanyia kampeni hata hivyo ofisi ya CAG ilishafanya ukaguzi hakukuwa na matumiz Mabaya ya pesa hizo
 
Wapendwa watanzania wenzangu,

Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kikiomba michango kutoka kwa watanzania katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokikabili chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.

Watanzania tuna utaratibu wa kuchangiana kwenye mambo mbalimbali hususani misiba na harusi. Hata CHADEMA wanaomba michango kutokana na utaratibu uleule wa kuchangiana, hivyo sio mbaya.

Hatahivyo, nina maswali ya kuhoji Kuhusu Michango hiyo:

Je, ruzuku inayopokelewa chamani, inafanya kazi gani?

Je, yale makato ya shilingi milioni moja kwa kila mbunge, yanatumikaje?

Chama hakina utaratibu wa kupata michango kutoka kwa wanachama wao badala ya kulifanya kuwa jambo la kitaifa?

Kuna uwazi gani katika mapato na matumizi ya michango hiyo?

Je, chama hakikujua kuwa kuna uchaguzi unakuja na kuwa una gharama?

Je, kuwaomba watanzania michango ilihali wamekuwa wakisemwa kuwa ni mafukara sana na kuwa wamepigika si ni unyonyaji kama ni kweli?

Je, mbona hatuoni nguvu kubwa ikitumika kuomba michango kwa ajili ya harambee za kujenga vyumba vya madarasa, zahanati na mambo mengine ya kusaidia maendeleo ya watu wao?

#Kuulizasiujinga

Amani Msumari
Tanga
Mgombea Urais Marekani pia anachangiwa na raia.

Bado upo gizani sana.
 
Wapendwa watanzania wenzangu,

Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kikiomba michango kutoka kwa watanzania katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokikabili chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.

Watanzania tuna utaratibu wa kuchangiana kwenye mambo mbalimbali hususani misiba na harusi. Hata CHADEMA wanaomba michango kutokana na utaratibu uleule wa kuchangiana, hivyo sio mbaya.

Hatahivyo, nina maswali ya kuhoji Kuhusu Michango hiyo:

Je, ruzuku inayopokelewa chamani, inafanya kazi gani?

Je, yale makato ya shilingi milioni moja kwa kila mbunge, yanatumikaje?

Chama hakina utaratibu wa kupata michango kutoka kwa wanachama wao badala ya kulifanya kuwa jambo la kitaifa?

Kuna uwazi gani katika mapato na matumizi ya michango hiyo?

Je, chama hakikujua kuwa kuna uchaguzi unakuja na kuwa una gharama?

Je, kuwaomba watanzania michango ilihali wamekuwa wakisemwa kuwa ni mafukara sana na kuwa wamepigika si ni unyonyaji kama ni kweli?

Je, mbona hatuoni nguvu kubwa ikitumika kuomba michango kwa ajili ya harambee za kujenga vyumba vya madarasa, zahanati na mambo mengine ya kusaidia maendeleo ya watu wao?

#Kuulizasiujinga

Amani Msumari
Tanga
Demokrasia ya kweli ni kuweka wazi mapato na matumizi na ikiwezekana tupatiwe bank statement ya mwezi mzima na kisha risiti za matumizi yake hapo tunahaki hiyo,tunataka mapato na matumizi ikiwezekana tuandamane kwa kuwa kuandamana ni haki yetu.
 
Wapendwa watanzania wenzangu,

Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kikiomba michango kutoka kwa watanzania katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokikabili chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.

Watanzania tuna utaratibu wa kuchangiana kwenye mambo mbalimbali hususani misiba na harusi. Hata CHADEMA wanaomba michango kutokana na utaratibu uleule wa kuchangiana, hivyo sio mbaya.

Hatahivyo, nina maswali ya kuhoji Kuhusu Michango hiyo:

Je, ruzuku inayopokelewa chamani, inafanya kazi gani?

Je, yale makato ya shilingi milioni moja kwa kila mbunge, yanatumikaje?

Chama hakina utaratibu wa kupata michango kutoka kwa wanachama wao badala ya kulifanya kuwa jambo la kitaifa?

Kuna uwazi gani katika mapato na matumizi ya michango hiyo?

Je, chama hakikujua kuwa kuna uchaguzi unakuja na kuwa una gharama?

Je, kuwaomba watanzania michango ilihali wamekuwa wakisemwa kuwa ni mafukara sana na kuwa wamepigika si ni unyonyaji kama ni kweli?

Je, mbona hatuoni nguvu kubwa ikitumika kuomba michango kwa ajili ya harambee za kujenga vyumba vya madarasa, zahanati na mambo mengine ya kusaidia maendeleo ya watu wao?

#Kuulizasiujinga

Amani Msumari
Tanga
Ungekuwa na akili ungejiuliza CCM wanatoa wapi pesa za kugharamia uchaguzi? Umejiuliza ni ruzuku tu ndio inatosha kuwahonga wanamziki wa bei mbaya kama kina Dimond? Kusomba watu kwa maelfu ni gharama kubwa umejiuliza?
 
Demokrasia ya kweli ni kuweka wazi mapato na matumizi na ikiwezekana tupatiwe bank statement ya mwezi mzima na kisha risiti za matumizi yake hapo tunahaki hiyo,tunataka mapato na matumizi ikiwezekana tuandamane kwa kuwa kuandamana ni haki yetu.
Hahahahaaaa
 
Chadema Ni chama kizuri lakini hakina fedha za kutosha kufanya kampeni nchi nzima . Na ccm Ni chama kilichobaki madarakani kwaiyo mambo ya fedha za kampeni Ni kukwaruza vocha na kaingiza kwenye simu tu .

NB Lissu anahangaika tu na kampeni zake hawezi kuchukua uraisi ,labda nchi ya ahadi
Zambia,Malawi, Ghana,Gambia nk walikuwa wanasema hivi hivi
 
Ungekuwa na akili ungejiuliza CCM wanatoa wapi pesa za kugharamia uchaguzi? Umejiuliza ni ruzuku tu ndio inatosha kuwahonga wanamziki wa bei mbaya kama kina Dimond? Kusomba watu kwa maelfu ni gharama kubwa umejiuliza?
Wasanii wengi ni wanaCCM na pia CCM Ina miradi mingi
 
Demokrasia ya kweli ni kuweka wazi mapato na matumizi na ikiwezekana tupatiwe bank statement ya mwezi mzima na kisha risiti za matumizi yake hapo tunahaki hiyo,tunataka mapato na matumizi ikiwezekana tuandamane kwa kuwa kuandamana ni haki yetu.
hiyo ni kazi ya CAG uwe unasoma report zake
 
Hatuwezi kusubiri mpaka CAG afike hapa wakati uwezekano wa kuhoji sasa ni mkubwa na tukapatiwa majibu.
kila mmoja akihoji hivyo kweli itawezekana?!? haya mambo yanaendeshwa na sheria ya vyama vya siasa ambayo imetoa utaratibu mzuri tu, hawawezi kuanza kumjibu kila mmojammoja anapotaka.vumilia subiri report ya CAG au washtaki mahakamani labda watalazimishwa wakupe
 
Back
Top Bottom