Uchaguzi 2020 Watanzania lazima tuhoji kuhusu michango hii inayochangishwa na CHADEMA

Uchaguzi 2020 Watanzania lazima tuhoji kuhusu michango hii inayochangishwa na CHADEMA

Maccm yenyewe yanatumia
. Magari na ndege za serikali
. Pesa mabilioni ya Corona waliyochanga wafanyabiashara kwa kulazimishwa
. Pesa walizonyang'anya wafanyabiashara kwa kesi za kutunga eti wakubali makosa
. Pesa zilizopotea kimazingara 1.5tn zilizopelekea hata CAG mzalendo kufukuzwa kazi
. Ufisadi wa manunuzi ya siri ya ndege na ujenzi wa chato zote zimepelekwa kampeni ccm....

Ccm ni chama cha kigaidi na hii ni serikali ya kishetani
propaganda ni malisho ya watu wasiofikiri, kwa hili lisu kafanikiwa kuwateka.
 
Wapendwa watanzania wenzangu,

Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kikiomba michango kutoka kwa watanzania katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokikabili chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.

Watanzania tuna utaratibu wa kuchangiana kwenye mambo mbalimbali hususani misiba na harusi. Hata CHADEMA wanaomba michango kutokana na utaratibu uleule wa kuchangiana, hivyo sio mbaya.

Hatahivyo, nina maswali ya kuhoji Kuhusu Michango hiyo:

Je, ruzuku inayopokelewa chamani, inafanya kazi gani?

Je, yale makato ya shilingi milioni moja kwa kila mbunge, yanatumikaje?

Chama hakina utaratibu wa kupata michango kutoka kwa wanachama wao badala ya kulifanya kuwa jambo la kitaifa?

Kuna uwazi gani katika mapato na matumizi ya michango hiyo?

Je, chama hakikujua kuwa kuna uchaguzi unakuja na kuwa una gharama?

Je, kuwaomba watanzania michango ilihali wamekuwa wakisemwa kuwa ni mafukara sana na kuwa wamepigika si ni unyonyaji kama ni kweli?

Je, mbona hatuoni nguvu kubwa ikitumika kuomba michango kwa ajili ya harambee za kujenga vyumba vya madarasa, zahanati na mambo mengine ya kusaidia maendeleo ya watu wao?

#Kuulizasiujinga

Amani Msumari
Tanga
mbona huhoji uwazi wa rambirambi za janga la Bukoba na zilifanya nin
 
Dah afadhali kama umetokea wewe wa kuona hilo. Vijana wa upinzani hawawezi kujenga hoja, wamekalis ushabiki. Napata tabu sana humu.

Kuna yule Mshana na wengine nimewasikia angalau hao. Labda pengine kwasababu Ni verified members au nini Ila Kuna watu "dhaifu Sana" huko
mtu alietimamu kifikra hujadili mambo kwa hoja na si mipasho, tunaliharibu jukwaa hili akati ni jukwaa muhimu sana katika ujenzi wa taifa letu.
 
mbona huhoji uwazi wa rambirambi za janga la Bukoba na zilifanya nin
Wao wanachangia kwa barua na ni lazima chadema ni hiyari
IMG_20200911_141325.jpeg
 
Wapendwa watanzania wenzangu,

Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kikiomba michango kutoka kwa watanzania katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokikabili chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.

Watanzania tuna utaratibu wa kuchangiana kwenye mambo mbalimbali hususani misiba na harusi. Hata CHADEMA wanaomba michango kutokana na utaratibu uleule wa kuchangiana, hivyo sio mbaya.

Hatahivyo, nina maswali ya kuhoji Kuhusu Michango hiyo:

Je, ruzuku inayopokelewa chamani, inafanya kazi gani?

Je, yale makato ya shilingi milioni moja kwa kila mbunge, yanatumikaje?

Chama hakina utaratibu wa kupata michango kutoka kwa wanachama wao badala ya kulifanya kuwa jambo la kitaifa?

Kuna uwazi gani katika mapato na matumizi ya michango hiyo?

Je, chama hakikujua kuwa kuna uchaguzi unakuja na kuwa una gharama?

Je, kuwaomba watanzania michango ilihali wamekuwa wakisemwa kuwa ni mafukara sana na kuwa wamepigika si ni unyonyaji kama ni kweli?

Je, mbona hatuoni nguvu kubwa ikitumika kuomba michango kwa ajili ya harambee za kujenga vyumba vya madarasa, zahanati na mambo mengine ya kusaidia maendeleo ya watu wao?

#Kuulizasiujinga

Amani Msumari
Tanga
Acha upumbavu wewe, tuhoji matumizi makubwa ya fedha kwenye kampeni za ccm, magari ya kifahari, kuleta wasanii kutoka Kenya kwa ndege rais ambayo sio ya ccm na nk
 
Wapendwa watanzania wenzangu,

Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kikiomba michango kutoka kwa watanzania katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokikabili chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.

Watanzania tuna utaratibu wa kuchangiana kwenye mambo mbalimbali hususani misiba na harusi. Hata CHADEMA wanaomba michango kutokana na utaratibu uleule wa kuchangiana, hivyo sio mbaya.

Hatahivyo, nina maswali ya kuhoji Kuhusu Michango hiyo:

Je, ruzuku inayopokelewa chamani, inafanya kazi gani?

Je, yale makato ya shilingi milioni moja kwa kila mbunge, yanatumikaje?

Chama hakina utaratibu wa kupata michango kutoka kwa wanachama wao badala ya kulifanya kuwa jambo la kitaifa?

Kuna uwazi gani katika mapato na matumizi ya michango hiyo?

Je, chama hakikujua kuwa kuna uchaguzi unakuja na kuwa una gharama?

Je, kuwaomba watanzania michango ilihali wamekuwa wakisemwa kuwa ni mafukara sana na kuwa wamepigika si ni unyonyaji kama ni kweli?

Je, mbona hatuoni nguvu kubwa ikitumika kuomba michango kwa ajili ya harambee za kujenga vyumba vya madarasa, zahanati na mambo mengine ya kusaidia maendeleo ya watu wao?

#Kuulizasiujinga

Amani Msumari
Tanga
Mbona huhoji CCM kuchota fedha hazina na kupaka magari ya umma rangi ya kijani ili kutumika katika kampeni?
 
Ngoja niwafundishe vijana wa CHADEMA,

Ukipelekwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji, katika utetezi wako, husemi hata Ruhindwa pia ameua. Unachofanya kwanza ni kukiri au kukataa kosa kwa hoja halafu mwisho unaweza kusema kuhusu Ruhindwa
 
Tulia wewe
Ngoja niwafundishe vijana wa CHADEMA,

Ukipelekwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji, katika utetezi wako, husemi hata Ruhindwa pia ameua. Unachofanya kwanza ni kukiri au kukataa kosa kwa hoja halafu mwisho unaweza kusema kuhusu Ruhindwa
IMG_20200911_141325.jpeg
 
Wapendwa watanzania wenzangu,

Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kikiomba michango kutoka kwa watanzania katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokikabili chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.

Watanzania tuna utaratibu wa kuchangiana kwenye mambo mbalimbali hususani misiba na harusi. Hata CHADEMA wanaomba michango kutokana na utaratibu uleule wa kuchangiana, hivyo sio mbaya.

Hatahivyo, nina maswali ya kuhoji Kuhusu Michango hiyo:

Je, ruzuku inayopokelewa chamani, inafanya kazi gani?

Je, yale makato ya shilingi milioni moja kwa kila mbunge, yanatumikaje?

Chama hakina utaratibu wa kupata michango kutoka kwa wanachama wao badala ya kulifanya kuwa jambo la kitaifa?

Kuna uwazi gani katika mapato na matumizi ya michango hiyo?

Je, chama hakikujua kuwa kuna uchaguzi unakuja na kuwa una gharama?

Je, kuwaomba watanzania michango ilihali wamekuwa wakisemwa kuwa ni mafukara sana na kuwa wamepigika si ni unyonyaji kama ni kweli?

Je, mbona hatuoni nguvu kubwa ikitumika kuomba michango kwa ajili ya harambee za kujenga vyumba vya madarasa, zahanati na mambo mengine ya kusaidia maendeleo ya watu wao?

#Kuulizasiujinga

Amani Msumari
Tanga
Wakati mnakwapua 1.5Trn hadi mkamfukuza aliyewakamata, hamna ruzuku?
 
Wapendwa watanzania wenzangu,

Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kikiomba michango kutoka kwa watanzania katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokikabili chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.

Watanzania tuna utaratibu wa kuchangiana kwenye mambo mbalimbali hususani misiba na harusi. Hata CHADEMA wanaomba michango kutokana na utaratibu uleule wa kuchangiana, hivyo sio mbaya.

Hatahivyo, nina maswali ya kuhoji Kuhusu Michango hiyo:

Je, ruzuku inayopokelewa chamani, inafanya kazi gani?

Je, yale makato ya shilingi milioni moja kwa kila mbunge, yanatumikaje?

Chama hakina utaratibu wa kupata michango kutoka kwa wanachama wao badala ya kulifanya kuwa jambo la kitaifa?

Kuna uwazi gani katika mapato na matumizi ya michango hiyo?

Je, chama hakikujua kuwa kuna uchaguzi unakuja na kuwa una gharama?

Je, kuwaomba watanzania michango ilihali wamekuwa wakisemwa kuwa ni mafukara sana na kuwa wamepigika si ni unyonyaji kama ni kweli?

Je, mbona hatuoni nguvu kubwa ikitumika kuomba michango kwa ajili ya harambee za kujenga vyumba vya madarasa, zahanati na mambo mengine ya kusaidia maendeleo ya watu wao?

#Kuulizasiujinga

Amani Msumari
Tanga
Hayakuhusu Tuacheni.
 
Wapendwa watanzania wenzangu,

Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kikiomba michango kutoka kwa watanzania katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokikabili chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.

Watanzania tuna utaratibu wa kuchangiana kwenye mambo mbalimbali hususani misiba na harusi. Hata CHADEMA wanaomba michango kutokana na utaratibu uleule wa kuchangiana, hivyo sio mbaya.

Hatahivyo, nina maswali ya kuhoji Kuhusu Michango hiyo:

Je, ruzuku inayopokelewa chamani, inafanya kazi gani?

Je, yale makato ya shilingi milioni moja kwa kila mbunge, yanatumikaje?

Chama hakina utaratibu wa kupata michango kutoka kwa wanachama wao badala ya kulifanya kuwa jambo la kitaifa?

Kuna uwazi gani katika mapato na matumizi ya michango hiyo?

Je, chama hakikujua kuwa kuna uchaguzi unakuja na kuwa una gharama?

Je, kuwaomba watanzania michango ilihali wamekuwa wakisemwa kuwa ni mafukara sana na kuwa wamepigika si ni unyonyaji kama ni kweli?

Je, mbona hatuoni nguvu kubwa ikitumika kuomba michango kwa ajili ya harambee za kujenga vyumba vya madarasa, zahanati na mambo mengine ya kusaidia maendeleo ya watu wao?

#Kuulizasiujinga

Amani Msumari
Tanga
Sisi wanachama tutaendelea kuchangia kampeni za chama hadi mwisho. Tunafahamu kuwa ruzuku na michango ya waliokuwa wabunge haitoshi kugharamia kampeni hizi. Tunaendelea kutoa sadaka zetu kama tunavyofanya makanisani na misikitini kwa imani na raha zetu. Kumbuka kuuliza wakati mwingine ni ujinga. Utamuuliza mama na baba yako walikuzaa ki vipi?
 
propaganda ni malisho ya watu wasiofikiri, kwa hili lisu kafanikiwa kuwateka.
Kwa hiyo kipi sio kweli kwako mkuu...

Maccm yenyewe yanatumia
. Magari na ndege za serikali
. Pesa mabilioni ya Corona waliyochanga wafanyabiashara kwa kulazimishwa
. Pesa walizonyang'anya wafanyabiashara kwa kesi za kutunga eti wakubali makosa
. Pesa zilizopotea kimazingara 1.5tn zilizopelekea hata CAG mzalendo kufukuzwa kazi
. Ufisadi wa manunuzi ya siri ya ndege na ujenzi wa chato zote zimepelekwa kampeni ccm....

Ccm ni chama cha kigaidi na hii ni serikali ya kishetani
 
Wewe nani kakuomba mchango, mbona pesa zilichangwa kwenda kusaidia wahanga wa tetemeko lkn zikaenda kujenga uwanja wa ndege Chato, mbona hujasema kitu. Acheni unafiki.

Huduma za jamii zinapashwa kufadhiliwa na kodi za wananchi na sio wananchi wachangishwe mara mbili huku kodi zikitumiwa vibaya zingine kununulia wanasiasa wenye njaa ili wahamie ccm. Bure kabisa.
 
Back
Top Bottom