Uchaguzi 2020 Watanzania lazima tuhoji kuhusu michango hii inayochangishwa na CHADEMA

Hiyo ni kama SADAKA Misikitini na Makanisani, kama wewe huna ama huwezi kutoa achana nayo tu Mkuu. Unapoteza muda wako bure tu, badala ya kuhoji matumizi ya anasa huko CCM kupitia kodi zetu.
 
CCM mnatumia magari zaidi ya 60 kwa mgombea mmoja tu; sasa hizi pesa mnazipata wapi?
Kumbuka kwamba JPM bado ni rais hadi pale atakapoapishwa rais wa awamu ya 6, sasa ulitaka rais wa nchi asafiri vipi?
 
Hiyo ni kama SADAKA Misikitini na Makanisani, kama wewe huna ama huwezi kutoa achana nayo tu Mkuu. Unapoteza muda wako bure tu, badala ya kuhoji matumizi ya anasa huko CCM kupitia kodi zetu.
Kama unadhani CCM Inatumia Kodi yako kwa kufanya kampeni, umeshindwaje kuhoji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…