Watanzania mbona hatusheherekei kwa shamrashamra siku ya Uhuru?

Watanzania mbona hatusheherekei kwa shamrashamra siku ya Uhuru?

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Tanzania leo ni siku yetu adhimu ya kufurahi na kujisikia furaha kwa siku ya uhuru wa nchi yetu ni mfano wa siku ya kuzaliwa lakini kwa baadhi ya watu na sehemu tofauti imekuwa tu ni siku ya kupumzika bila shamlashamla zozote hivi birthday yako uwa inapita hivyo kimya kimya.

Niliwahi kuwa Dubai ikanikuta siku kama hii yetu waooo it's so imazing yaani mitaani utasema ndio wamepata uhuru hiyo siku.kuna pia wakati nilikuwa oman aiseee magari mtaani picha yaaani ni furaha tu sasa naona Tanzania elimu inahitajika sana maana hii sikukuu watu wanaona ni juu ya serikali tu wengine aiwahusu.
 
Hata zaman tulisheherekea siku hii kwa mbwembwe sana. Aliyekuja kupunguza moods za siku ya uhuru ni yule aliyesema pesa za uhuru zipelekwe maeneo mengine maana alijua kabisa Tz kuna uhuru hewa.
Bora hata huyo aliyepeleka hizi pesa sehemu za utendaji.
Haya maigizo ya kusherehekea ni upigaji tu hamna la ziada.
 
Bora hata huyo aliyepeleka hizi pesa sehemu za utendaji.
Haya maigizo ya kusherehekea ni upigaji tu hamna la ziada.
Lakini inazidi kuifuta hii sherehe hasa kwa watoto wa kizazi hiki.
 
Tanzania leo ni siku yetu adhimu ya kufurahi na kujisikia furaha kwa siku ya uhuru wa nchi yetu ni mfano wa siku ya kuzaliwa lakini kwa baadhi ya watu na sehemu tofauti imekuwa tu ni siku ya kupumzika bila shamlashamla zozote hivi birthday yako uwa inapita hivyo kimya kimya.
niliwahi kuwa Dubai ikanikuta siku kama hii yetu waooo it's so imazing yaani mitaani utasema ndio wamepata uhuru hiyo siku.kuna pia wakati nilikuwa oman aiseee magari mtaani picha yaaani ni furaha tu sasa naona Tanzania elimu inahitajika sana maana hii sikukuu watu wanaona ni juu ya serikali tu wengine aiwahusu.
Shamlashamla = Shamrashamra
 
Back
Top Bottom