Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sikukuu njema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ilipata uhuru lini ?Tanzania leo ni siku yetu adhimu ya kufurahi na kujisikia furaha kwa siku ya uhuru wa nchi yetu
Hata wa kisiasa hakunaUhuru uliopo ni wa kisiasa ila kiuchumi ambao ndiyo unaowagusa wananchi haupo hivyo hawawezi kusherehekea ili hali hajui atakula nini
Na Mwaka huu wametia fora, kila mjumbe wa nyumba kumi ameambiwa kuwa watapelekewa mabasi Ili watu waende uwanjani kusherekeaBora hata huyo aliyepeleka hizi pesa sehemu za utendaji.
Haya maigizo ya kusherehekea ni upigaji tu hamna la ziada.
Hayo mabango ndio mianya yenyewe ya kupigia pesa.Unajiuliza hii HBD ya Samia au siku ya Uhuru?sio kwa hayo mabango
UongoHata zaman tulisheherekea siku hii kwa mbwembwe sana. Aliyekuja kupunguza moods za siku ya uhuru ni yule aliyesema pesa za uhuru zipelekwe maeneo mengine maana alijua kabisa Tz kuna uhuru hewa.
Sawa mkweliUongo