Watanzania mbona hii hamuipigii kelele, lakini kwa Kenya mnang'aka hadi mnatia huruma

Watanzania mbona hii hamuipigii kelele, lakini kwa Kenya mnang'aka hadi mnatia huruma

Ona kwenye hii picha mlivyochorwa kwa alama nyekundu kwamba ukanda huu wa EAC ni nyie tu mnatakiwa mpimwe corona ndani ya masaa 96 na pia mpimwe mara mbili, moja kwenu na nyingine huko UAE kabla kuingia, hamjiulizi mbona dunia inawatenga licha ya kujiaminisha mumepona corona kimiujiza......
Sisi mnatupigia makelele na kulialia ila ndio ukwel huo, dunia imewashangaa mlivyojichokea kwa hili la corona na kuachia kila mmoja ahangaike kivyake, aidha ajifie au apone.
Natumai serikali yetu itaweka mkakati wa kuhakikisha hamuingii huku bila kupimwa, kama ilivyo pale mpakani, na lazima mpimwe na wataalam wetu msje na vyeti vya kufoji huko Kariokoo, maana mnang'ang'ania sana kuja.

2473175_20200801_164531.jpg
Mkuu tulia, soon watafuta hiyo Rangi, Tanzania ni kama maji usipoyanywa utayaoga tu! Kwanza hao mabeberu hatutaki kwenda kwao kujionyesha sisi maskini! Tano bila raisi wetu kwenda huko kwani tumepungukiwa nini?
 
Ona kwenye hii picha mlivyochorwa kwa alama nyekundu kwamba ukanda huu wa EAC ni nyie tu mnatakiwa mpimwe corona ndani ya masaa 96 na pia mpimwe mara mbili, moja kwenu na nyingine huko UAE kabla kuingia, hamjiulizi mbona dunia inawatenga licha ya kujiaminisha mumepona corona kimiujiza......
Sisi mnatupigia makelele na kulialia ila ndio ukwel huo, dunia imewashangaa mlivyojichokea kwa hili la corona na kuachia kila mmoja ahangaike kivyake, aidha ajifie au apone.
Natumai serikali yetu itaweka mkakati wa kuhakikisha hamuingii huku bila kupimwa, kama ilivyo pale mpakani, na lazima mpimwe na wataalam wetu msje na vyeti vya kufoji huko Kariokoo, maana mnang'ang'ania sana kuja.

2473175_20200801_164531.jpg
Sisi hatuendangi uarabuni
 
Mbona kingereza huwa kinawapiga chenga hadi mnatia huruma, umeelewa nini maana ya "Open to US citizens", hayo ni mataifa ambayo yameambia USA kwamba waje na hawatazuiwa, kwa kifupi mataifa ambayo yamejianika na kufungulia milango wananchi wa USA hata akija kama anakohoa kohoa.
Dawa ya hawa Kenge kutoka Kenya ni kujenga masoko Makubwa sana mipakani tuu.
Na kuwazuia kuingia Tanzania kuwafikia moja kwa moja Wakulima mashambani.
Waishie Sokoni na wasikanyage ardhi yetu zaidi ya kuishia mpakani na kununua malighafi hapo Tena kwa Hela ya Tanzania na kurudi kwa.
Kuwaruhusu kuingia Tanzania wakenya kunawafanya wawe wanyonyaji kwa wakulima wetu kwa kununua mazao kwa bei nafuu huku wao wakiuza bidhaa zao kwa bei kubwa.

Kenya hata Baba wa Taifa alikaa nao kimachale sana.
Na nchi kenye vikabila vichache lakini ni wasumbufu na wana roHO mbaya sana.
Twende nao kimafya mpaka wanyooke.
Kingereza ni lugha ya Wakoloni na washenzi toka Ulaya wao wanaona ni kitu cha maana kuliko uafrika wetu na lugha zetu. Hii ni moja ya upumbavu tuliorithishwa kutokana na Elimu ya mkoloni iliyolenga kuwaandaa mawakala na makuwadi wa Mabeberu.
Mitaala ya ukoloni haina la zaidi ya kuwa watumu wa mabwana wakubwa kama ilivyo Kenya vibaraka wa Wazungu. Kwa Sasa Tanzania wamegonga Mwamba na watanyooka tu.
 
Dawa ya hawa Kenge kutoka Kenya ni kujenga masoko Makubwa sana mipakani tuu.
Na kuwazuia kuingia Tanzania kuwafikia moja kwa moja Wakulima mashambani.
Waishie Sokoni na wasikanyage ardhi yetu zaidi ya kuishia mpakani na kununua malighafi hapo Tena kwa Hela ya Tanzania na kurudi kwa.
Kuwaruhusu kuingia Tanzania wakenya kunawafanya wawe wanyonyaji kwa wakulima wetu kwa kununua mazao kwa bei nafuu huku wao wakiuza bidhaa zao kwa bei kubwa.

Kenya hata Baba wa Taifa alikaa nao kimachale sana.
Na nchi kenye vikabila vichache lakini ni wasumbufu na wana roHO mbaya sana.
Twende nao kimafya mpaka wanyooke.
Kingereza ni lugha ya Wakoloni na washenzi toka Ulaya wao wanaona ni kitu cha maana kuliko uafrika wetu na lugha zetu. Hii ni moja ya upumbavu tuliorithishwa kutokana na Elimu ya mkoloni iliyolenga kuwaandaa mawakala na makuwadi wa Mabeberu.
Mitaala ya ukoloni haina la zaidi ya kuwa watumu wa mabwana wakubwa kama ilivyo Kenya vibaraka wa Wazungu. Kwa Sasa Tanzania wamegonga Mwamba na watanyooka tu.

Hamuna jeuri hiyo maana nyie bado maskini na wazembe wa kutupwa.
 
Hamuna jeuri hiyo maana nyie bado maskini na wazembe wa kutupwa.
Tungekuwa wazembe tusingewalisha Chakula nyie Kima wa Wazungu.
Mnalamba mavi ya Wakoloni wenu.
Tanzania ina maisha mazuri mpaka vijijini wakati Kenya vijiji hakuna wote ni Kuku wa kufugwa kwenye ajira za viwanda na mashamba ya mabeberu.
Nyie ni watumwa wa Wazungu.

Watanzania kila MTU anamiliki ardhi nyie Kenya ardhi ni ya wanaume zenu toka ulaya.
Mmeolewa wote na wazugu mnatumikishwa kama mahouse girl ,shenzi kabisa ndio maana wachina wanawatukana mpaka viongozi wenu.
 
Tungekuwa wazembe tusingewalisha Chakula nyie Kima wa Wazungu.
Mnalamba mavi ya Wakoloni wenu.
Tanzania ina maisha mazuri mpaka vijijini wakati Kenya vijiji hakuna wote ni Kuku wa kufugwa kwenye ajira za viwanda na mashamba ya mabeberu.
Nyie ni watumwa wa Wazungu.

Watanzania kila MTU anamiliki ardhi nyie Kenya ardhi ni ya wanaume zenu toka ulaya.
Mmeolewa wote na wazugu mnatumikishwa kama mahouse girl ,shenzi kabisa ndio maana wachina wanawatukana mpaka viongozi wenu.

Tatizo mumejaza omba omba wenu wengi sana huku, sijui huwa mnakwama wapi licha ya raslimali zote hizo ila nyie maskini wa kutupwa.
 
Tungekuwa wazembe tusingewalisha Chakula nyie Kima wa Wazungu.
Mnalamba mavi ya Wakoloni wenu.
Tanzania ina maisha mazuri mpaka vijijini wakati Kenya vijiji hakuna wote ni Kuku wa kufugwa kwenye ajira za viwanda na mashamba ya mabeberu.
Nyie ni watumwa wa Wazungu.

Watanzania kila MTU anamiliki ardhi nyie Kenya ardhi ni ya wanaume zenu toka ulaya.
Mmeolewa wote na wazugu mnatumikishwa kama mahouse girl ,shenzi kabisa ndio maana wachina wanawatukana mpaka viongozi wenu.

Haha Mkikuyu Jommo Kenyata aliwapiga changa la macho hawa jamaa akasepa na 1/3 ya land kenya.😂😂Mkalenjini naye akachota 😂 .Nawaonea huruma wakamba tu wao sijui president watatoa lini.Kenya hawawezi tenganisha siasa na ukabila,bora wachague kichaa wa kabila lao kuliko mtu smart wakabila jingine.
 
Tatizo mumejaza omba omba wenu wengi sana huku, sijui huwa mnakwama wapi licha ya raslimali zote hizo ila nyie maskini wa kutupwa.

kwani kibera na githurai ziko Tz boss?Toeni kwanza hizo slums 😂githurai hata mchana kweupe unaibiwa na vitoto vishatumia kila aina ya madawa.Visaidieni kwanza hivo vitoto
 
kwani kibera na githurai ziko Tz boss?Toeni kwanza hizo slums 😂githurai hata mchana kweupe unaibiwa na vitoto vishatumia kila aina ya madawa.Visaidieni kwanza hivo vitoto

Halafu tukiwaondoa huwa wanakusanyana kwenu huko na kurudi nyomi, ujamaa uliwlemaza maanampo wazembe sana...
 
vile wakenya wana rangi nyeusi tii,na akili zao ni nyeusi tii pia,mnashindana na +255wakati mna njaa,nzige na corona juu?idiots nyie kunyaland,5yrs our president JPM hajakanyaga huko kwa mabwana zenu bt stl tunadunda na kuwalisha nyie kenge,be smart heshim baba yenu maana hata uhuru tulipata kabla yenu!
 
vile wakenya wana rangi nyeusi tii,na akili zao ni nyeusi tii pia,mnashindana na +255wakati mna njaa,nzige na corona juu?idiots nyie kunyaland,5yrs our president JPM hajakanyaga huko kwa mabwana zenu bt stl tunadunda na kuwalisha nyie kenge,be smart heshim baba yenu maana hata uhuru tulipata kabla yenu!
Hawana adabu hawa jamaa ndio maana Masai wa Kenya wanajazana Tanzania kulinda mageti wanajifanya wametikea Manyara kumbe kutoka Kenya na kule hawana ardhi ya kulisha mifugo. Wamefilisika hawana Ng' ombe wanakimbila kulinda mageti ya Wanaume wa Tanzania. Masai wa Tanzania ni Mabilionea halafu hawa wapuuzi wa Mazare Kenya wanaleta dharau zao eti ,wa Tanzania ni wavivu .Shenzi sana.
 
Hivi anaelia ni sisi au nyinyi? Nyiye mmedai huku kuna corona na mkazuia tusiingie kwenu,sasa na sisi tumeona kuwalinda ili msipate corona tuwazuie kuingia huku maana mlisahau hilo musije kuambukizwa cv 19. Sasa baada yakufurahia munaanza kulialia nakutoa lawama.
 
Hao UAE watsjijibu wenyewe export yao kubwa ni Tz na sasa waTz wanaelekea china wacha wao wang’ang’anie vipimo tu
 
Why don't we just start a petition to ask the government to stop KQ from flying to Tanzania all together [emoji848]
 
Back
Top Bottom