Watanzania mbona hii hamuipigii kelele, lakini kwa Kenya mnang'aka hadi mnatia huruma

Watanzania mbona hii hamuipigii kelele, lakini kwa Kenya mnang'aka hadi mnatia huruma

Nyie fungeni alafi muone tutakao wauzia,njaa haina baunsa mtakuja wenyewe tu.
hivi unajua kua Kenya nchi tajiri ukanda huu wa AM na Kati? hizo nchi zengine ni mashida tupu kama Tanzania,,, angalia hela broo,,, wacha kuwehuka
 
hivi unajua kua Kenya nchi tajiri ukanda huu wa AM na Kati? hizo nchi zengine ni mashida tupu kama Tanzania,,, angalia hela broo,,, wacha kuwehuka
Sasa unampiga mkwala nani,nyie si mmefunga endeleeni na msimamo wetu na sisi tuendelee na wa kwetu alafu tuone nani atampigia magoti mwenzake.

Kelele za nini fungeni alafu muone njaa haina baunsa yaani nyinyi kama Simba basi kiboyo na hana kucha.
 
Sasa unampiga mkwala nani,nyie si mmefunga endeleeni na msimamo wetu na sisi tuendelee na wa kwetu alafu tuone nani atampigia magoti mwenzake.

Kelele za nini fungeni alafu muone njaa haina baunsa yaani nyinyi kama Simba basi kiboyo na hana kucha.
acheni kulia lia basi mkiambiwa hakuna rukhsa Mtanzania kutia guu lake ndani ya KQ
 
acheni kulia lia basi mkiambiwa hakuna rukhsa Mtanzania kutia guu lake ndani ya KQ
Nani kalia kama sio nyinyi,sisi hatujaongea kabisa BARUA kutoka TCAA ndio iliyo ongea alafu tumekaa KIMYA.

Mwanaume siku zote haongei sana ila vitendo ndivyo vinavyo ongea,nakukumbusha tu RwandaAir leo washaanza safari na tayari washaleta watalii KIA,wewe funga ALAFU TUONE NANI ATAMPIGIA MAGOTI MWENZIE.
 
Ona kwenye hii picha mlivyochorwa kwa alama nyekundu kwamba ukanda huu wa EAC ni nyie tu mnatakiwa mpimwe corona ndani ya masaa 96 na pia mpimwe mara mbili, moja kwenu na nyingine huko UAE kabla kuingia, hamjiulizi mbona dunia inawatenga licha ya kujiaminisha mumepona corona kimiujiza.

Sisi mnatupigia makelele na kulialia ila ndio ukwel huo, dunia imewashangaa mlivyojichokea kwa hili la corona na kuachia kila mmoja ahangaike kivyake, aidha ajifie au apone.

Natumai serikali yetu itaweka mkakati wa kuhakikisha hamuingii huku bila kupimwa, kama ilivyo pale mpakani, na lazima mpimwe na wataalam wetu msje na vyeti vya kufoji huko Kariokoo, maana mnang'ang'ania sana kuja.

2473175_20200801_164531.jpg
Wachangiaji wengi humu hatuna sifa za kuchangia mjadala. Ni shida kubwa sana. Sijui kama chanzo chake ni kukosa elimu inayojenga uwezo wa kujadili hoja au mazingira yanayotuzunguka au tu uamuzi wetu wa kuona bluu kama zambarau, nyeusi kama kijivu na nyekundu kama nyeupe.
 
Every has opinion ukisema mweupe na wewe ni vilevile wewe unakariri tumia akili
 
Back
Top Bottom