hivi unajua kua Kenya nchi tajiri ukanda huu wa AM na Kati? hizo nchi zengine ni mashida tupu kama Tanzania,,, angalia hela broo,,, wacha kuwehukaNyie fungeni alafi muone tutakao wauzia,njaa haina baunsa mtakuja wenyewe tu.
Sasa unampiga mkwala nani,nyie si mmefunga endeleeni na msimamo wetu na sisi tuendelee na wa kwetu alafu tuone nani atampigia magoti mwenzake.hivi unajua kua Kenya nchi tajiri ukanda huu wa AM na Kati? hizo nchi zengine ni mashida tupu kama Tanzania,,, angalia hela broo,,, wacha kuwehuka
hivi unajua kua Kenya nchi tajiri ukanda huu wa AM na Kati? hizo nchi zengine ni mashida tupu kama Tanzania,,, angalia hela broo,,, wacha kuwehuka
acheni kulia lia basi mkiambiwa hakuna rukhsa Mtanzania kutia guu lake ndani ya KQSasa unampiga mkwala nani,nyie si mmefunga endeleeni na msimamo wetu na sisi tuendelee na wa kwetu alafu tuone nani atampigia magoti mwenzake.
Kelele za nini fungeni alafu muone njaa haina baunsa yaani nyinyi kama Simba basi kiboyo na hana kucha.
angalia mataifa jirani yalikuzunguka uniambie ni taifa gani lililo tajiri na lina uchumi mkubwaHela tuiangaloaje hatujakuelewa?
Nani kalia kama sio nyinyi,sisi hatujaongea kabisa BARUA kutoka TCAA ndio iliyo ongea alafu tumekaa KIMYA.acheni kulia lia basi mkiambiwa hakuna rukhsa Mtanzania kutia guu lake ndani ya KQ
Wachangiaji wengi humu hatuna sifa za kuchangia mjadala. Ni shida kubwa sana. Sijui kama chanzo chake ni kukosa elimu inayojenga uwezo wa kujadili hoja au mazingira yanayotuzunguka au tu uamuzi wetu wa kuona bluu kama zambarau, nyeusi kama kijivu na nyekundu kama nyeupe.Ona kwenye hii picha mlivyochorwa kwa alama nyekundu kwamba ukanda huu wa EAC ni nyie tu mnatakiwa mpimwe corona ndani ya masaa 96 na pia mpimwe mara mbili, moja kwenu na nyingine huko UAE kabla kuingia, hamjiulizi mbona dunia inawatenga licha ya kujiaminisha mumepona corona kimiujiza.
Sisi mnatupigia makelele na kulialia ila ndio ukwel huo, dunia imewashangaa mlivyojichokea kwa hili la corona na kuachia kila mmoja ahangaike kivyake, aidha ajifie au apone.
Natumai serikali yetu itaweka mkakati wa kuhakikisha hamuingii huku bila kupimwa, kama ilivyo pale mpakani, na lazima mpimwe na wataalam wetu msje na vyeti vya kufoji huko Kariokoo, maana mnang'ang'ania sana kuja.
alisikika mama la mama kutoka Kenya๐๐Nafurahi kuona comment ya mdada wa Kitz, mlishalikimbia jukwaa la Wakenya, hata yule bibi wa mashababi FaizaFoxy ameadimika sana huku. Anyway shukrani mrembo, endelea kushusha nondo.
kwa kweli Huyu mwanamke huwa ananifurahisha SanaTafuta mtu akupe darasa la kingereza, au utafsiriwe nini maana ya "Open to US citizens."
Waende wakapige kelele na uae tena
angalia mataifa jirani yalikuzunguka uniambie ni taifa gani lililo tajiri na lina uchumi mkubwa
Si nyie ndio wazee wakujishuku km mnakomolewaUAE ana faida gani na sisi???
Si nyie ndio wazee wakujishuku km mnakomolewa
Basi ndio muache kujishukushukuHamna sifa nyie ya kusimama na sisi kwa lolote
inaonekana umweupe kichwani. elewa swali kabla kukurupukaUtajiri kama ni rasilimali badi ni tz