Watanzania mbona msiwape taarifa makampuni ya kimataifa yanayong'ang'ania kuajiri Wakenya kwamba hawaruhusiwi

Akili za kibongo ndivyo zilivyo hata sikulaumu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwhyo ATCL route ya india lazina iajiri wahindi sio[emoji23][emoji23]

Kawaida yenu hyo kutumia 1% ya akili zenu

1% imagine inawahenyesha[emoji23][emoji23][emoji23].
 
1% imagine inawahenyesha[emoji23][emoji23][emoji23].
Wafikiria ku deal na chizi rahisi wewe[emoji23][emoji23]
Yani mkenya akiweza ku deal na akili za wabongo basi hata wa mirembe hawamshindi..

We unaujua uchizi wa kijamaa mbona unatapakaa jamii nzima kutoka wale wa ngazi za juu
 
Wafikiria ku deal na chizi rahisi wewe[emoji23][emoji23]
Yani mkenya akiweza ku deal na akili za wabongo basi hata wa mirembe hawamshindi..

We unaujua uchizi wa kijamaa mbona unatapakaa jamii nzima kutoka wale wa ngazi za juu

kwani kudeal na chizi ni kazi kiasi gani na umemzidi ufahamu!!!!

inakiwa kazi kama kwa uchizi wake wewe bado uko chini kiupeo,ndio haya ya sisi tuna 1% nyinyi mko na 0.7%.ndio sababu huwa mnashindwa kila mnachoanzisha.
 
Akili za kibongo ndivyo zilivyo hata sikulaumu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwhyo ATCL route ya india lazina iajiri wahindi sio[emoji23][emoji23]

Kawaida yenu hyo kutumia 1% ya akili zenu

Ndo wabongo sisi and PROUD, we don't give a damn about nobody.. Endeleeni kushobokea mizungu na kujiona mizungu meusi.
 
Sababu kubwa sana ya kupenda kuajiri hao nyang'ao ni kwa kuwa huwa wanajitoa ufahamu kwa maboss wao hasa wazungu. Pia huwa wanashirikiana na wazungu kuziibia hizo Kampuni. Ofisini kwetu alikuwa ameajiriwa Mkenya baada ya muda wake kwisha tumekuja kugundua alikuwa ameiba sana kupitia idara ya manunuzi ya Kampuni akishirikiana na wazungu/Makaburu sasa wanatafutwa ili warudishe pesa zetu.
 
Tatizo mnawakatalia kwa vigezo kwamba kuna Watanzania wanaoweza, ila hatimaye wanafuata Waarabu na Wahindi, hapo mnaanguka chali, ilmradi ngozi ni nyeupe mnazimikia.
Tatizo la wakenya mnakuja TZ ili kusabortage uchumi wetu mkishirikiana na mabeberu. Tumeshawagundua hivyo sasa hivi mkenya kupata kibali cha kufanyakazi TZ ni mbinde.
 
kwani kudeal na chizi ni kazi kiasi gani na umemzidi ufahamu!!!!

inakiwa kazi kama kwa uchizi wake wewe bado uko chini kiupeo,ndio haya ya sisi tuna 1% nyinyi mko na 0.7%.ndio sababu huwa mnashindwa kila mnachoanzisha.
Sasa ndio umeandika nini hapa[emoji23]
We unafikiria kumuelekeza chizi ni rahisi tena yule anayelishwa pumba..
 
Ndo wabongo sisi and PROUD, we don't give a damn about nobody.. Endeleeni kushobokea mizungu na kujiona mizungu meusi.
Mbna tayri we una shobo nao kitambo, km mitandao yao tu unatumia
 
Sasa ndio umeandika nini hapa[emoji23]
We unafikiria kumuelekeza chizi ni rahisi tena yule anayelishwa pumba..

sio kazi rahisi,ndio sababu hata hujaelewa hapo juu pamoja na mifano.

usile pumba mama,sisi huku chakula kipo nikutumie???
 
Tunachojua ni raia wa south africa na sio mkenya.Sasa wakenya wana lia lia sana.si watengeneze uwekezaji wao wapate ajira.
Sio kama wabongo hawapo ila ukweli ni kwamba wapo wengi ila wanamikataba ya ajira.
 
Tatizo la wakenya mnakuja TZ ili kusabortage uchumi wetu mkishirikiana na mabeberu. Tumeshawagundua hivyo sasa hivi mkenya kupata kibali cha kufanyakazi TZ ni mbinde.
Beberu mbona huaga ni mtamu inapotokea shughuli hapo tandale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…