Watanzania mbona msiwape taarifa makampuni ya kimataifa yanayong'ang'ania kuajiri Wakenya kwamba hawaruhusiwi

Watanzania mbona msiwape taarifa makampuni ya kimataifa yanayong'ang'ania kuajiri Wakenya kwamba hawaruhusiwi

ha ha hawa Watanzania ni wa maajabu, saa hizi tunafanyia kazi ya IT ya kampuni moja ya uingereza ambayo ipo Tanzania,
hao wazungu walitupa kazi pia ya kusaidia ndugu zetu Watanzania kwa vile tunaweza kuzungumza kiswahili...lakini chuki na wivu haiwaruhusu kusoma..

bahati yetu tunaifanya kazi "online", kama tungalikuwa huko makachero wa CCM wangekuwa wametufumania..


Mwaka wa 2016 to 2018 nilihusika kwenye design,development na maintenance ya mtambo fulani wa software kwenye shirika la serikali ya TZ... Hiyo kazi tulikuwa tumepewa na Kampuni ya Israel ambayo ilikuwa imepewa hiyo Tender.. lakini ukiskia Watanzania wakitutukana hapa unaweza dhania wako level moja na Japan kwenye teknologia na utendakazi.

kwahiyo ulikaa ukafikiri hiyo kazi haiwezi fanywa na mtz yeyote!!!!!

yaai unachofanya hapa ni sawana mnigeria ajisifu kuwafanyia kazi wakenya baada ya kupewa kazi na kampuni ya kichinana ujenzi wa majengo.

hizo kazi mtindo huo zinafanyika duniani kote,kuruhusiwa au kutoruhusiwa sio aimamo wa kampuni iliyokupa kazi.
 
Mnajishtukia soma vizuri hapo "assumed to be kenyan" lakini ukweli ni kwamba si mkenya ni raia wa south africa...

Inferiority complex to the next level
Kwani alikuwa amebeba passport ya nchi gani? Na je ilikuwa fake? Kwani atakuwa na hadhi ya kibalozi/ diplomat?
 
Kwa taarifa yako iko hivyo duniani kote, kwa sababu za kiusalama, kibiashara, kisiasa n.k. Kuna baadhi ya kazi Marekani haiwezi kukubali aajiriwe rai wa China hata kama ana sifa zinazofaa kiasi gani. Hapo hapo kwenu Kenya kuna nafasi za kazi hawezi pewa Mtanzania, Mnaigeria, Mnyaruanda n.k -- hata kama amewazidi Wakenya wote kwenye interview.

Pia, mind you: baadhi ya wageni, hasa Wakenya na Wanaigeria, wanapata kazi kwenye makampuni ya kigeni sio kwa sababu wana sifa bora sana kuliko Watanzania, ila ni kwa sababu they're are cheaper, wanakubali mishahara midogo sana kuliko Watanzania.

Na hii attitude ya baadhi ya Wakenya kama wewe kuwaita Watanzania 'wasio na sifa, mazumbukuku, wavivu n.k. inachangia tuendelee kuwabana hata kwa yale mambo ambayo sio lazima tuwabane, na tutaendeke kuwabana zaidi. Huwezi kumkumbatia jirani ambaye ana attitude mbovu kiasi hicho. Anajiona 'superior' kwa kila kitukumbe ni 'hustler' tu. Punguzeni jeuri na kujiona. Njoni kistaarab tufanye kazi.
 
Wakenya ni mbwa wa wazungu na hiyo ni historia yenu toka uhuru, Tukikataa kuajiri mbwa tutakua salama zaidi kwa sisi tulioamua kusimama kwa miguu yetu wenyewe na ndio maana hamtaacha kubweka kuhusu Tanzania. Naamin nimeeleweka vizuri sana
 
Kuna hizi taarifa naona zimezagaa kote kwamba kampuni ya Coca Cola imeng'ang'ania kuajiri Mkenya awe mkurungezi wa tawi lake Tanzania, ila kwamba Tanzania imemkatalia kama ambavyo imekua desturi sasa, ambapo haya makampuni ya kimataifa yanatumia hela nyingi sana kusaka nani mwenye weledi na bidii ya uchapa kazi wa kuyasimamia na kila wakiishia kuchagua Mkenya, anakataliwa na serikali ila yeyote mwingine awe Mhindi, Mwarabu au Chotara anaruhusiwa.

Inapaswa itolewe tamko rasmi kutokea kwa serikali kwamba Wakenya hawaruhusiwi tena kusimamia hayo makampuni, hapo itawarahishia hao nafasi wawe wanatangazia wahind na waarabu. Inapaswa ifahamike haya makampuni huwa hawaajiri zumbukuku au zwazwa yeyote, lazima wasake kwa mapana na marefu maana wana taratibu zao zilizopitia ukaguzi wa hali ya juu, na kama wanamkosa humo ndani ya milioni 60 ya Watanzania wanayemtaka, basi haipaswi kuwapangia.
------------------------------------------------

Dar es Salaam. Tanzania’s Immigration Department said on Tuesday, 24 November 2020 that it would issue a statement in response to claims that it had denied entry to a foreign national who was to start working as new managing director for Coca-Cola Kwanza.

Since Monday, November 23, social media platforms have been awash with news of a foreign national, assumed to be Kenyan, who was denied entry into Tanzania so he could assume his role as managing director for Coca-Cola Kwanza.

The news item originated as a tweet from fichuaTanzania_official’s FichuaTanzania, a Twitter handle that markets itself to its readers as one [a handle] that documents and exposes human rights abuses in Tanzania while also fighting for freedom of speech, truth and democracy.

“Leo 23/11/2020 Mkurugenzi mpya wa Coca Cola Kwanza akitokea Nairobi na shirika la ndege la Kenya Airways amekataliwa na mamlaka uhamiaji ya Tanzania kuingia nchini kutekeleza majukumu yake mapya kwa maelezo kuwa kazi anayokuja kufanya kuna watanzania wenye uwezo wa kuifanya,” the twit reads.

coca11


Literally, this is translated as: “The new Coca-Cola Kwanza managing director was on November 23, 2020 denied entry into Tanzania upon arrival from Nairobi on a Kenya Airways flight. The Immigration Department did not allow him in on the grounds that there were Tanzanian nationals who could perform his duties [at Coca-Cola Kwanza]”

Siyo lazima afanye kazi kwetu, atafute huko kwao na kwingineko, kama ana credentials kweli hatakosa kazi, siyo issue..
 
ha ha hawa Watanzania ni wa maajabu, saa hizi tunafanyia kazi ya IT ya kampuni moja ya uingereza ambayo ipo Tanzania,
hao wazungu walitupa kazi pia ya kusaidia ndugu zetu Watanzania kwa vile tunaweza kuzungumza kiswahili...lakini chuki na wivu haiwaruhusu kusoma..

bahati yetu tunaifanya kazi "online", kama tungalikuwa huko makachero wa CCM wangekuwa wametufumania..


Mwaka wa 2016 to 2018 nilihusika kwenye design,development na maintenance ya mtambo fulani wa software kwenye shirika la serikali ya TZ... Hiyo kazi tulikuwa tumepewa na Kampuni ya Israel ambayo ilikuwa imepewa hiyo Tender.. lakini ukiskia Watanzania wakitutukana hapa unaweza dhania wako level moja na Japan kwenye teknologia na utendakazi.


These are mere words hata kwenye kanga yapo.. Hata mwanangu wa standard 4 alipewa tender yakusuka mfumo wa tehama Kenya na kampuni moja ya USA. Who is to verify that ndo nishaema.
 
Hivi wewe na akili zako unaamini wanaonyimwa work permit ni wakenya Tu?.... That's not true

It's a standard practice, kuna positions hazihitaji tena foreigners

This is a standard practice dunia nzima

Msitafute huruma za social media, anayesaini approvals keshakataa

Hazihitaji foreigners ila huwa mkikatalia Mkenya nafasi inapewa mgeni Mwarabu au Mhindi.
Hatutafuti sympathy maana ni dhahiri tulishaingia uadui kati ya Wakenya na Watanzania (haswa awamu hii imechochea pakubwa), ila ninachokisema muwape taarifa hayo makampuni ya kimataifa waache kuhangaika kung'ang'ania Wakenya, wanaingia hasara bure.
 
These are mere words hata kwenye kanga yapo.. Hata mwanangu wa standard 4 alipewa tender yakusuka mfumo wa tehama Kenya na kampuni moja ya USA. Who is to verify that ndo nishaema.

Sasa kitu gani amesema hapo kimesababisha uweweseke, asilimia kubwa ya developers Wakenya wanapiga mzigo Tanzania bila kuhangaika kuja huko, tatizo bado mumeganda kwenye mawazo ya kizamani yaliyopitwa na wakati, miamala inayotendeka sasa hivi ya namna hiyo yaani mingi sana, endelea kulala.
 
Sasa kitu gani amesema hapo kimesababisha uweweseke, asilimia kubwa ya developers Wakenya wanapiga mzigo Tanzania bila kuhangaika kuja huko, tatizo bado mumeganda kwenye mawazo ya kizamani yaliyopitwa na wakati, miamala inayotendeka sasa hivi ya namna hiyo yaani mingi sana, endelea kulala.

Oh! the Almighty has spoken I should take him for his word.

Kwani mimi nimesema nini cha ajabu hadi uamkie JF kabla hata ya kupata kifungua kinywa, ambayo developers wenu wameshindwa kuunda yenu, na kukimbilia kunijibu.
 
Oh! the Almighty has spoken I should take him for his word.

Kwani mimi nimesema nini cha ajabu hadi uamkie JF kabla hata ya kupata kifungua kinywa, ambayo developers wenu wameshindwa kuunda yenu, na kukimbilia kunijibu.

Hivi humu JF una uhakika wachangiaji Wakenya wanazidi kumi? Yaani wale active contributors? Kwa ajili ya exposure tulionayo utakuta Wakenya wengi wakijadili kwenye forums za mataifa tofauti, wachache tunaokuja huku ni aidha tumewahi kuishi Tanzania tukajenga undugu kiasi cha kujikuta tukifuatilia, na kuna wengine huwatibua Wabongo ili apate fursa aidha ya kujibizana kwa Kiswahili.

JF haikua developed na Mtanzania, iko based kwenye platform inayoitwa XenForo - Compelling community forum platform ambayo kajamba yeyote anaweza akaitumia kuanzisha forum, kimsingi ni upate wachangiaji na kwa vile Watanzania wakimwagika kwenye kitu kimoja huingia wote (ujamaa uliwalea hivyo), yeyote akianzisha kitu na muitane, mtaingia wote kichwa kichwa, kama mlivyorundikana kwenye CCM.
 
Hazihitaji foreigners ila huwa mkikatalia Mkenya nafasi inapewa mgeni Mwarabu au Mhindi.
Hatutafuti sympathy maana ni dhahiri tulishaingia uadui kati ya Wakenya na Watanzania (haswa awamu hii imechochea pakubwa), ila ninachokisema muwape taarifa hayo makampuni ya kimataifa waache kuhangaika kung'ang'ania Wakenya, wanaingia hasara bure.
Ukiona hivyo ujue huyo mwingine is more qualified

Cry babies tulieni
 
Ukiona hivyo ujue huyo mwingine is more qualified

Cry babies tulieni

Makampuni ya kimataifa ndio yanawasilisha ambao wameshinda kwenye tathmini yao, wamesaka kwa Watanzania milioni sitini hawajapata mwenye sifa wanazozitaka, hivyo wakatanua wigo na kupata Wakenya, tatizo mkikatalia Wakenya huwa hawarudi kwa wazawa, wanasaka huko nje kwa Waarabu na Wahindi hapo wanaishia kufyata midomo yenu kwa kuleta ngozi nyeupe.
 
Makampuni ya kimataifa ndio yanawasilisha ambao wameshinda kwenye tathmini yao, wamesaka kwa Watanzania milioni sitini hawajapata mwenye sifa wanazozitaka, hivyo wakatanua wigo na kupata Wakenya, tatizo mkikatalia Wakenya huwa hawarudi kwa wazawa, wanasaka huko nje kwa Waarabu na Wahindi hapo wanaishia kufyata midomo yenu kwa kuleta ngozi nyeupe.
Hata hayo makampuni Yana nepotism na corruption zao

We tulia Tu au njoo upate kaZi, ukiwa vizuri utapata

Sisi tuna wakenya, wazimbabwe na Europeans
 
Hivi humu JF una uhakika wachangiaji Wakenya wanazidi kumi? Yaani wale active contributors? Kwa ajili ya exposure tulionayo utakuta Wakenya wengi wakijadili kwenye forums za mataifa tofauti, wachache tunaokuja huku ni aidha tumewahi kuishi Tanzania tukajenga undugu kiasi cha kujikuta tukifuatilia, na kuna wengine huwatibua Wabongo ili apate fursa aidha ya kujibizana kwa Kiswahili.

JF haikua developed na Mtanzania, iko based kwenye platform inayoitwa XenForo - Compelling community forum platform ambayo kajamba yeyote anaweza akaitumia kuanzisha forum, kimsingi ni upate wachangiaji na kwa vile Watanzania wakimwagika kwenye kitu kimoja huingia wote (ujamaa uliwalea hivyo), yeyote akianzisha kitu na muitane, mtaingia wote kichwa kichwa, kama mlivyorundikana kwenye CCM.

ni wapi huko mnakotushinda wingi wa watu[emoji23][emoji23][emoji23].

naona unataka kuanzisha league nyingine ambayo huiwezi.
 
Back
Top Bottom