Watanzania mbona msiwape taarifa makampuni ya kimataifa yanayong'ang'ania kuajiri Wakenya kwamba hawaruhusiwi

Watanzania mbona msiwape taarifa makampuni ya kimataifa yanayong'ang'ania kuajiri Wakenya kwamba hawaruhusiwi

ni wapi huko mnakotushinda wingi wa watu[emoji23][emoji23][emoji23].

naona unataka kuanzisha league nyingine ambayo huiwezi.

Sijaelewa haya maruerue yako....labda uje upya ueleweke.
 
Hivi humu JF una uhakika wachangiaji Wakenya wanazidi kumi? Yaani wale active contributors? Kwa ajili ya exposure tulionayo utakuta Wakenya wengi wakijadili kwenye forums za mataifa tofauti, wachache tunaokuja huku ni aidha tumewahi kuishi Tanzania tukajenga undugu kiasi cha kujikuta tukifuatilia, na kuna wengine huwatibua Wabongo ili apate fursa aidha ya kujibizana kwa Kiswahili.

JF haikua developed na Mtanzania, iko based kwenye platform inayoitwa XenForo - Compelling community forum platform ambayo kajamba yeyote anaweza akaitumia kuanzisha forum, kimsingi ni upate wachangiaji na kwa vile Watanzania wakimwagika kwenye kitu kimoja huingia wote (ujamaa uliwalea hivyo), yeyote akianzisha kitu na muitane, mtaingia wote kichwa kichwa, kama mlivyorundikana kwenye CCM.
I knew you were dumb

But I underestimated kiwango ulichofikia

This is so dumb
 
Makampuni ya kimataifa ndio yanawasilisha ambao wameshinda kwenye tathmini yao, wamesaka kwa Watanzania milioni sitini hawajapata mwenye sifa wanazozitaka, hivyo wakatanua wigo na kupata Wakenya, tatizo mkikatalia Wakenya huwa hawarudi kwa wazawa, wanasaka huko nje kwa Waarabu na Wahindi hapo wanaishia kufyata midomo yenu kwa kuleta ngozi nyeupe.

Watangaze hiyo nafasi kihalali, wakati mwingine haya makampuni yanaleta majasusi kama Dr Shika (Marehemu) alivyokuwa anatumiwa na Wamarekani huku Russia kisa ni uwekezaji.

Kwenye mambo ya kiusalama ya nchi hakuna sijui jirani wala nini. Kwani ni wakenya wangapi ninaofahamu wanafanya kazi hapa bongo? Ni eengi tu. So kuna sababu acheni kulialia
 
Tatizo mnawakatalia kwa vigezo kwamba kuna Watanzania wanaoweza, ila hatimaye wanafuata Waarabu na Wahindi, hapo mnaanguka chali, ilmradi ngozi ni nyeupe mnazimikia.
Hii kitu ipo miaka mingi sana ni vile serikali yetu ilikwenda likizo ndio maana ndugu zako wakajazana humu na kuanza nyodo kwamba watanzania ni wavivu hatujui na hatufanyi kazi. Arudi tu akaangalie maisha mengine huko kwao au awe Branch Manager wa Coca-Cola Kwanza huko Kenya.
 
Watangaze hiyo nafasi kihalali, wakati mwingine haya makampuni yanaleta majasusi kama Dr Shika (Marehemu) alivyokuwa anatumiwa na Wamarekani huku Russia kisa ni uwekezaji.
Kwenye mambo ya kiusalama ya nchi hakuna sijui jirani wala nini. Kwani ni wakenya wangapi ninaofahamu wanafanya kazi hapa bongo? Ni eengi tu. So kuna sababu acheni kulialia

Kila kampuni ina desturi zake za utenda kazi, sijafahamu kitu gani hicho mnacho hadi Coca Cola ije kuwawekea majasusi huko, ila ninachokifahamu haya makampuni ya kimataifa huwa makini sana kwenye kuajiri ngazi za juu za kiuongozi na ndio maana wametamalaki miaka yote hii, wangekua wanaajiri zumbukuku yeyote, wangeangukia pua kitambo.

Kawaida wao hufanya kitu tunaita "head hunting", yaani wenyewe wanasaka nani wa kumpa hiyo nafasi bila kuitangaza, wewe unashtukia hapo ofisini umetumiwa barua na kampuni ya kigeni kwamba wanakuomba ukubali wakuajiri kama mkurugenzi, wenyewe wamekusoma utenda kazi wako, wamekupeleleza siku nyingi na kuona weledi wako kwenye uongozi, jinsi ulivyo mtu wa matokeo chanya na mambo mengi tu.
 
Hii kitu ipo miaka mingi sana ni vile serikali yetu ilikwenda likizo ndio maana ndugu zako wakajazana humu na kuanza nyodo kwamba watanzania ni wavivu hatujui na hatufanyi kazi. Arudi tu akaangalie maisha mengine huko kwao au awe Branch Manager wa Coca-Cola Kwanza huko Kenya.

Taswira ya kwamba nyinyi ni wavivu haibadiliki kwa kukatalia Wakenya maana hamuajiriwi nyie, inabidi wasake Waarabu na Wahindi huko nje, hivyo bado mnakwepwa kwa mlivyo wazembe
 
Taswira ya kwamba nyinyi ni wavivu haibadiliki kwa kukatalia Wakenya maana hamuajiriwi nyie, inabidi wasake Waarabu na Wahindi huko nje, hivyo bado mnakwepwa kwa mlivyo wazembe
Eti eeeh
 
Mnajishtukia soma vizuri hapo "assumed to be kenyan" lakini ukweli ni kwamba si mkenya ni raia wa south africa...

Inferiority complex to the next level
Does it matter if he is South African? Si ameshinda interview among many, including Tanzanians?
 
unasema tumekusanayana sehemu moja jf,niambie ni wapi tumekwenda kwa uchache mkatuzidi idadi??

Wapi kwingine mumekwenda nje ya JF, Ujamaa hulea kitu tunaita "herd mentality" na ndio maana hata mumeishi kwenye siasa za chama kimoja, yaani huo mfumo hulemaza watu kiakili kiasi cha kuogopa kuthubutu mabadiliko yoyote.
 
Wapi kwingine mumekwenda nje ya JF, Ujamaa hulea kitu tunaita "herd mentality" na ndio maana hata mumeishi kwenye siasa za chama kimoja, yaani huo mfumo hulemaza watu kiakili kiasi cha kuogopa kuthubutu mabadiliko yoyote.

nimekwambia taja ni wapi mmetuzidi namba,unakimbia na mpira kwapani.
 
nimekwambia taja ni wapi mmetuzidi namba,unakimbia na mpira kwapani.
Mbona nimeshakujibu kwamba hampo kwingine, maana ya kwamba sitakua na chochote cha kulinganisha.
 
Tatizo mnawakatalia kwa vigezo kwamba kuna Watanzania wanaoweza, ila hatimaye wanafuata Waarabu na Wahindi, hapo mnaanguka chali, ilmradi ngozi ni nyeupe mnazimikia.
Hata kule USA watakukataza ukienda on a work VISA kwa kazi ambayo muamerika anaweza kufanya.... Shida kwa hawa Watanzania ni kwamba wanazulia wakenya alafu wanaruhusu wazungu na waarabu... yani eighter hawa jamaa ni wivu ndo umejaa au ni ile saikolojia ya kudharau/kubagua mwafrika mwenzako ukiamini kama huwezi fanya basi hakuna mtu mweusi mwengine anaweza fanya.


Huyu ndo CEO wa Vodacom Tz, lakini Silvia Mulinge walimkataa

1606413036979.png
 
[emoji16][emoji16][emoji16]wacha nikuache nimeshajua ulichoogopa.

Mkenya hajawahi kuogopa chochote na ndio maana tunatawala ukanda huu kiuchumi, kielimu, kijeshi na kila kitu....uthubutu wetu.
 
Hata kule USA watakukataza ukienda on a work VISA kwa kazi ambayo muamerika anaweza kufanya.... Shida kwa hawa Watanzania ni kwamba wanazulia wakenya alafu wanaruhusu wazungu na waarabu... yani eighter hawa jamaa ni wivu ndo umejaa au ni ile saikolojia ya kudharau/kubagua mwafrika mwenzako ukiamini kama huwezi fanya basi hakuna mtu mweusi mwengine anaweza fanya.


Huyu ndo CEO wa Vodacom Tz, lakini Silvia Mulinge walimkataa

View attachment 1635414

Kenya: Government wants the outgoing Safaricom CEO replaced by a local​

Milicent Atieno

May 1, 2019

Cool Tech Jobs

0 Comments
0
0
0
0
0

Bob Collymore is indeed one of the most well revered and looked up to CEOs in Africa. He is at the helm of Safaricom, the leading mobile service carrier in Kenya, which is also the pioneer of mobile money not just on the continent but the world over.

Well, Collymore tenure is Safaricom is soon coming to its end. The curtains are certainly drawing on his almost decade long career at the telecom company. His contract was supposed to have ended back in 2015 but was further extended by another two years. Come 2017, it was again extended by another two years.

During his second extension, Collymore went on health leave, which left the telecom with an acting CEO for a couple of months. That second extension is reported to be up by August 2019, and it looks like there will be no further extensions. It is believed Collymore will now want to retire because of health reasons.

There are reports that the government of Kenya is routing for a local to head the telco as Collymore’s replacement. If that happens, it will be the first time in the history of Kenya, that a Kenyan is heading one of the most successful companies in Africa.


It is interesting to note that up to until recently, all the telcos in Kenya were headed by foreigners. Airtel Kenya CEO was sourced from India, the home country of its mother company Bharti Airtel. Just recently, Telkom Kenya replaced its old CEO with a local one, but all along the CEOs have been foreigners.

There are reports that a prominent local banking executive has already been interviewed by Safaricom board. It is possible that the board let go of the said executive, in favor of a foreigner, but this news is yet to be confirmed. As the government of Kenya has come out to dispute this report.

Apparently, the Kenyan government and Safaricom entered into a deal back in 2017. Now the government is pushing for that deal to pull through. Joe Mucheru, the Cabinet Secretary for the Ministry of Information, Communication, and Technology was quoted by a section of media saying:

I would be very surprised if they can’t find a Kenya. It will be hard for them to justify, what is so special about telecoms?”

 
Kuna hizi taarifa naona zimezagaa kote kwamba kampuni ya Coca Cola imeng'ang'ania kuajiri Mkenya awe mkurungezi wa tawi lake Tanzania, ila kwamba Tanzania imemkatalia kama ambavyo imekua desturi sasa, ambapo haya makampuni ya kimataifa yanatumia hela nyingi sana kusaka nani mwenye weledi na bidii ya uchapa kazi wa kuyasimamia na kila wakiishia kuchagua Mkenya, anakataliwa na serikali ila yeyote mwingine awe Mhindi, Mwarabu au Chotara anaruhusiwa.

Inapaswa itolewe tamko rasmi kutokea kwa serikali kwamba Wakenya hawaruhusiwi tena kusimamia hayo makampuni, hapo itawarahishia hao nafasi wawe wanatangazia wahind na waarabu. Inapaswa ifahamike haya makampuni huwa hawaajiri zumbukuku au zwazwa yeyote, lazima wasake kwa mapana na marefu maana wana taratibu zao zilizopitia ukaguzi wa hali ya juu, na kama wanamkosa humo ndani ya milioni 60 ya Watanzania wanayemtaka, basi haipaswi kuwapangia.
------------------------------------------------

Dar es Salaam. Tanzania’s Immigration Department said on Tuesday, 24 November 2020 that it would issue a statement in response to claims that it had denied entry to a foreign national who was to start working as new managing director for Coca-Cola Kwanza.

Since Monday, November 23, social media platforms have been awash with news of a foreign national, assumed to be Kenyan, who was denied entry into Tanzania so he could assume his role as managing director for Coca-Cola Kwanza.

The news item originated as a tweet from fichuaTanzania_official’s FichuaTanzania, a Twitter handle that markets itself to its readers as one [a handle] that documents and exposes human rights abuses in Tanzania while also fighting for freedom of speech, truth and democracy.

“Leo 23/11/2020 Mkurugenzi mpya wa Coca Cola Kwanza akitokea Nairobi na shirika la ndege la Kenya Airways amekataliwa na mamlaka uhamiaji ya Tanzania kuingia nchini kutekeleza majukumu yake mapya kwa maelezo kuwa kazi anayokuja kufanya kuna watanzania wenye uwezo wa kuifanya,” the twit reads.

coca11


Literally, this is translated as: “The new Coca-Cola Kwanza managing director was on November 23, 2020 denied entry into Tanzania upon arrival from Nairobi on a Kenya Airways flight. The Immigration Department did not allow him in on the grounds that there were Tanzanian nationals who could perform his duties [at Coca-Cola Kwanza]”


You have used a lot of time to write something which has simple answers, the policy is:

If you don’t get a complement Tanzanian the look elsewhere, now, How do you prove that? So many qualified Tanzanians!
 

Kenya: Government wants the outgoing Safaricom CEO replaced by a local​

Milicent Atieno

May 1, 2019

Cool Tech Jobs

0 Comments
0
0
0
0
0

Bob Collymore is indeed one of the most well revered and looked up to CEOs in Africa. He is at the helm of Safaricom, the leading mobile service carrier in Kenya, which is also the pioneer of mobile money not just on the continent but the world over.

Well, Collymore tenure is Safaricom is soon coming to its end. The curtains are certainly drawing on his almost decade long career at the telecom company. His contract was supposed to have ended back in 2015 but was further extended by another two years. Come 2017, it was again extended by another two years.

During his second extension, Collymore went on health leave, which left the telecom with an acting CEO for a couple of months. That second extension is reported to be up by August 2019, and it looks like there will be no further extensions. It is believed Collymore will now want to retire because of health reasons.

There are reports that the government of Kenya is routing for a local to head the telco as Collymore’s replacement. If that happens, it will be the first time in the history of Kenya, that a Kenyan is heading one of the most successful companies in Africa.


It is interesting to note that up to until recently, all the telcos in Kenya were headed by foreigners. Airtel Kenya CEO was sourced from India, the home country of its mother company Bharti Airtel. Just recently, Telkom Kenya replaced its old CEO with a local one, but all along the CEOs have been foreigners.

There are reports that a prominent local banking executive has already been interviewed by Safaricom board. It is possible that the board let go of the said executive, in favor of a foreigner, but this news is yet to be confirmed. As the government of Kenya has come out to dispute this report.

Apparently, the Kenyan government and Safaricom entered into a deal back in 2017. Now the government is pushing for that deal to pull through. Joe Mucheru, the Cabinet Secretary for the Ministry of Information, Communication, and Technology was quoted by a section of media saying:

I would be very surprised if they can’t find a Kenya. It will be hard for them to justify, what is so special about telecoms?”

 
Back
Top Bottom