Watanzania mbona msiwape taarifa makampuni ya kimataifa yanayong'ang'ania kuajiri Wakenya kwamba hawaruhusiwi


mngekuwa serious namna kama unavyosema hapa,njaa ingekuwa inaiogopa kenya.

sisi tunaamua nani tumpe nani tumnyime,hakuna wa kutupangia.
 
mngekuwa serious namna kama unavyosema hapa,njaa ingekuwa inaiogopa kenya.

sisi tunaamua nani tumpe nani tumnyime,hakuna wa kutupangia.

Ndio maana tuna kainchi kadogo tena nusu yake kame na bila madini ila tunawazidi Tanzania kiuchumi karibia mara mbili au maradufu licha ya nyie kuwa na kila kitu.
 
Ndio maana tuna kainchi kadogo tena nusu yake kame na bila madini ila tunawazidi Tanzania kiuchumi karibia mara mbili au maradufu licha ya nyie kuwa na kila kitu.

mna uchumi mara mbili yetu usioweza hata kuhifadhi chakula wakati wa ukame[emoji23][emoji23].

huo uchumi au uchuro???
 
mna uchumi mara mbili yetu usioweza hata kuhifadhi chakula wakati wa ukame[emoji23][emoji23].

huo uchumi au uchuro???

Hela tunazo za kununua chakula kutoka kwa viinchi maskini.
 
We ni bwege sana kumbe, kwhyo wakeny katika hayo makampuni wanajiajiri sio[emoji122][emoji122]
Wanajipendekeza si ndo kawaida ya wakenya....mshajua hampendwi huku na bado mnalialia muachiwe kuja huku....hao mabwana zenu kama wanawapenda sana wawaajiri hukohuko kwenu
 
Hivi urafiki wa Jiwe na Raila bado upo au ndio kibwengo 👿 👿 hataki shobo tena
 
Hela tunazo za kununua chakula kutoka kwa viinchi maskini.
Vipi raia wenu wanakufa kwa njaa kila mwaka na mnategemea chakula cha misaada toka China na Arabuni?. Ni nchi pekee isiyo na civil war lakini inapewa chakula cha misaada hapa Africa
 
nyinyi pesa hamna,au nikupe dalili kwamba pesa hamna[emoji23][emoji23][emoji23]

Limeni tununue mahindi maana hela tunazo, tatizo nyie wazembe wa kufa mtu....
 
Limeni tununue mahindi maana hela tunazo, tatizo nyie wazembe wa kufa mtu....

[emoji23][emoji23]na tunalima mnanunua chakula mpaka njaa inatoweka.

kuwa na adabu kwa anayekulisha.
 
Don't make this about Kenya, it's for all non-Tanzanians unless kuna profession ambayo haiko kwenye soko.
 
Wanajipendekeza si ndo kawaida ya wakenya....mshajua hampendwi huku na bado mnalialia muachiwe kuja huku....hao mabwana zenu kama wanawapenda sana wawaajiri hukohuko kwenu
Kwhyo waajiriwe katika makampuni ya tanzania alafu kazi wafanyie kenya..
Kwel akili zenu zimedumazwa na ujamaa
 
Kwhyo waajiriwe katika makampuni ya tanzania alafu kazi wafanyie kenya..
Kwel akili zenu zimedumazwa na ujamaa
Eeh wawalipe mishahara hukohuko huku mkija ndege inageuzia angani mnatimuliwa
 
[emoji23][emoji23]na tunalima mnanunua chakula mpaka njaa inatoweka.

kuwa na adabu kwa anayekulisha.

Umesema sahihi "tunanunua", tofauti na tunavyowalea omba omba wenu huku, sisi tunanunua maana jeuri ya hela tunayo.
 
Eeh wawalipe mishahara hukohuko huku mkija ndege inageuzia angani mnatimuliwa
Hasira zote hzo ni kwamba watz hawana uwezo huo wa kusimamia kampuni za kueleweka[emoji1787][emoji1787]
Haya endlea kunengua babu
 
Umesema sahihi "tunanunua", tofauti na tunavyowalea omba omba wenu huku, sisi tunanunua maana jeuri ya hela tunayo.

mnalea omba omba wa tz halafu mnaacha watu wa turkana wafe njaa[emoji23][emoji23][emoji23].

hii inaitwaje??
 
Umesema sahihi "tunanunua", tofauti na tunavyowalea omba omba wenu huku, sisi tunanunua maana jeuri ya hela tunayo.
Lini mtaacha kupokea chakula cha msaada toka Uarabuni na China?. Lini mtafanikiwa kupunguza vifo vitokanavyo na njaa?.

By the way, njooni kuchukua majambazi yenu yamejaza magereza yetu huku, yanakula chakula chetu bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…