Watanzania mbona msiwape taarifa makampuni ya kimataifa yanayong'ang'ania kuajiri Wakenya kwamba hawaruhusiwi

Watanzania mbona msiwape taarifa makampuni ya kimataifa yanayong'ang'ania kuajiri Wakenya kwamba hawaruhusiwi

Baada ya Colly More, Safari com imekabidhiwa nani, KQ kipindi kirefu imekua mikononi mwa wazungu wakati serikali yenu ndio majority share holder, aibu sana.
Hayo mashirika yote sai yanaenda kuongozwa na wakenya..
 
Lini mtaacha kupokea chakula cha msaada toka Uarabuni na China?. Lini mtafanikiwa kupunguza vifo vitokanavyo na njaa?.

By the way, njooni kuchukua majambazi yenu yamejaza magereza yetu huku, yanakula chakula chetu bure.
Lini mtaacha kutuletea ombaomba kenya
 
Baada ya Colly More, Safari com imekabidhiwa nani, KQ kipindi kirefu imekua mikononi mwa wazungu wakati serikali yenu ndio majority share holder, aibu sana.
Endelea kujiliwaza. Aliyemrithi Bob Collymore kama CEO wa kampuni kubwa kabisa Africa Mashariki na ya Kati , Safaricom, ni huyu jamaa hapa Peter Ndegwa.
Webp.net-resizeimage.png
CEO wa KQ ni mzawa Allan Kivaluka, kabla ya Michael Joseph ilikuwa ni mzawa mwingine kutoka Gatuzi la Kajiado, Titus Ole Naikuni. Kuna wataalamu wa kutosha, ambao ni wazawa, kwenye nyanja zote nchini Kenya. Sio kama Tz ambapo mlikosa hadi wataalamu wa kupima virusi tu vya COVID-19 kwenye sampuli. Hebu tuonyeshe picha au majina ya ma'surgeon' wa Muhimbili tuone kama wote sio mabeberu.
 
Endelea kujiliwaza. Aliyemrithi Bob Collymore kama CEO wa kampuni kubwa kabisa Africa Mashariki na ya Kati , Safaricom, ni huyu jamaa hapa Peter Ndegwa.
Webp.net-resizeimage.png
CEO wa KQ ni mzawa Allan Kivaluka, kabla ya Michael Joseph ilikuwa ni mzawa mwingine kutoka Gatuzi la Kajiado, Titus Ole Naikuni. Kuna wataalamu wa kutosha, ambao ni wazawa, kwenye nyanja zote nchini Kenya. Sio kama Tz ambapo mlikosa hadi wataalamu wa kupima virusi tu vya COVID-19 kwenye sampuli. Hebu tuonyeshe picha au majina ya ma'surgeon' wa Muhimbili tuone kama wote sio mabeberu.

unaelewa maana ya muhimbili kijana,au unadhani ni karen hospital[emoji23][emoji23].
 
mnalea omba omba wa tz halafu mnaacha watu wa turkana wafe njaa
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
.

hii inaitwaje??

Kenya ni kainchi kadogo halafu zaidi ya nusu yake ni kame tupu, kuna wakati kiangazi hurindima na kusababisha janga, ila huwa tunapambana na kuwafikishia ndugu zetu misaada huko.
Lakini Tanzania liinchi likubwa full madini ya kumwaga, ardhi kubwa yenye rotuba nzuri, kila kitu kizuri ila umaskini wa kufa mtu unawatesa maana nyie wazembe wa kutupwa.
 
Kenya ni kainchi kadogo halafu zaidi ya nusu yake ni kame tupu, kuna wakati kiangazi hurindima na kusababisha janga, ila huwa tunapambana na kuwafikishia ndugu zetu misaada huko.
Lakini Tanzania liinchi likubwa full madini ya kumwaga, ardhi kubwa yenye rotuba nzuri, kila kitu kizuri ila umaskini wa kufa mtu unawatesa maana nyie wazembe wa kutupwa.

umasikini wa kufa mtu uko kenya mnakokufa njaa mkilima maua badala ya mahindi[emoji23][emoji23]
unazungumzia ukame,kwani nani kakwambia tz inalimwa nchi yote ili tuwauzie nyinyi chakula!!!
eneo linalolimwa halifiki hata 2%.

swala la uvivu linatokana na urahisi wa maisha uliopo tz,hiyo ni nature ya binaadam.wewe mwenyewe unajua ni kwa namna gani ni rahisi sana kufanikiwa kimaisha tz kuliko kwenu.
 
umasikini wa kufa mtu uko kenya mnakokufa njaa mkilima maua badala ya mahindi[emoji23][emoji23]
unazungumzia ukame,kwani nani kakwambia tz inalimwa nchi yote ili tuwauzie nyinyi chakula!!!
eneo linalolimwa halifiki hata 2%.

swala la uvivu linatokana na urahisi wa maisha uliopo tz,hiyo ni nature ya binaadam.wewe mwenyewe unajua ni kwa namna gani ni rahisi sana kufanikiwa kimaisha tz kuliko kwenu.

Tunalima maua yanaayotupea hela nyingi zenye uwezo wa kuwazidi kiuchumi mara mbili yenu, zinatuwezesha kuwa na jeuri ya kununua mahindi kutoka kwa maskini kama nyie. Hupewi vyote, nyie mlinyimwa ubongo mkapewa ardhi, sisi tukanyimwa ardhi tukapewa ubongo, tunautumia ipasavyo.
 
Kuna hizi taarifa naona zimezagaa kote kwamba kampuni ya Coca Cola imeng'ang'ania kuajiri Mkenya awe mkurungezi wa tawi lake Tanzania, ila kwamba Tanzania imemkatalia kama ambavyo imekua desturi sasa, ambapo haya makampuni ya kimataifa yanatumia hela nyingi sana kusaka nani mwenye weledi na bidii ya uchapa kazi wa kuyasimamia na kila wakiishia kuchagua Mkenya, anakataliwa na serikali ila yeyote mwingine awe Mhindi, Mwarabu au Chotara anaruhusiwa.

Inapaswa itolewe tamko rasmi kutokea kwa serikali kwamba Wakenya hawaruhusiwi tena kusimamia hayo makampuni, hapo itawarahishia hao nafasi wawe wanatangazia wahind na waarabu. Inapaswa ifahamike haya makampuni huwa hawaajiri zumbukuku au zwazwa yeyote, lazima wasake kwa mapana na marefu maana wana taratibu zao zilizopitia ukaguzi wa hali ya juu, na kama wanamkosa humo ndani ya milioni 60 ya Watanzania wanayemtaka, basi haipaswi kuwapangia.
------------------------------------------------

Dar es Salaam. Tanzania’s Immigration Department said on Tuesday, 24 November 2020 that it would issue a statement in response to claims that it had denied entry to a foreign national who was to start working as new managing director for Coca-Cola Kwanza.

Since Monday, November 23, social media platforms have been awash with news of a foreign national, assumed to be Kenyan, who was denied entry into Tanzania so he could assume his role as managing director for Coca-Cola Kwanza.

The news item originated as a tweet from fichuaTanzania_official’s FichuaTanzania, a Twitter handle that markets itself to its readers as one [a handle] that documents and exposes human rights abuses in Tanzania while also fighting for freedom of speech, truth and democracy.

“Leo 23/11/2020 Mkurugenzi mpya wa Coca Cola Kwanza akitokea Nairobi na shirika la ndege la Kenya Airways amekataliwa na mamlaka uhamiaji ya Tanzania kuingia nchini kutekeleza majukumu yake mapya kwa maelezo kuwa kazi anayokuja kufanya kuna watanzania wenye uwezo wa kuifanya,” the twit reads.

coca11


Literally, this is translated as: “The new Coca-Cola Kwanza managing director was on November 23, 2020 denied entry into Tanzania upon arrival from Nairobi on a Kenya Airways flight. The Immigration Department did not allow him in on the grounds that there were Tanzanian nationals who could perform his duties [at Coca-Cola Kwanza]”

Unataka kusema watanzania ni zumbukuku na mazwazwa?
OMG
 
Kuna hizi taarifa naona zimezagaa kote kwamba kampuni ya Coca Cola imeng'ang'ania kuajiri Mkenya awe mkurungezi wa tawi lake Tanzania, ila kwamba Tanzania imemkatalia kama ambavyo imekua desturi sasa, ambapo haya makampuni ya kimataifa yanatumia hela nyingi sana kusaka nani mwenye weledi na bidii ya uchapa kazi wa kuyasimamia na kila wakiishia kuchagua Mkenya, anakataliwa na serikali ila yeyote mwingine awe Mhindi, Mwarabu au Chotara anaruhusiwa.

Inapaswa itolewe tamko rasmi kutokea kwa serikali kwamba Wakenya hawaruhusiwi tena kusimamia hayo makampuni, hapo itawarahishia hao nafasi wawe wanatangazia wahind na waarabu. Inapaswa ifahamike haya makampuni huwa hawaajiri zumbukuku au zwazwa yeyote, lazima wasake kwa mapana na marefu maana wana taratibu zao zilizopitia ukaguzi wa hali ya juu, na kama wanamkosa humo ndani ya milioni 60 ya Watanzania wanayemtaka, basi haipaswi kuwapangia.
------------------------------------------------

Dar es Salaam. Tanzania’s Immigration Department said on Tuesday, 24 November 2020 that it would issue a statement in response to claims that it had denied entry to a foreign national who was to start working as new managing director for Coca-Cola Kwanza.

Since Monday, November 23, social media platforms have been awash with news of a foreign national, assumed to be Kenyan, who was denied entry into Tanzania so he could assume his role as managing director for Coca-Cola Kwanza.

The news item originated as a tweet from fichuaTanzania_official’s FichuaTanzania, a Twitter handle that markets itself to its readers as one [a handle] that documents and exposes human rights abuses in Tanzania while also fighting for freedom of speech, truth and democracy.

“Leo 23/11/2020 Mkurugenzi mpya wa Coca Cola Kwanza akitokea Nairobi na shirika la ndege la Kenya Airways amekataliwa na mamlaka uhamiaji ya Tanzania kuingia nchini kutekeleza majukumu yake mapya kwa maelezo kuwa kazi anayokuja kufanya kuna watanzania wenye uwezo wa kuifanya,” the twit reads.

coca11


Literally, this is translated as: “The new Coca-Cola Kwanza managing director was on November 23, 2020 denied entry into Tanzania upon arrival from Nairobi on a Kenya Airways flight. The Immigration Department did not allow him in on the grounds that there were Tanzanian nationals who could perform his duties [at Coca-Cola Kwanza]”

Matz mengi mavivu, majungu mingi halafu majizi na kazi haionekani. Wachache sana wanaweza perform.
 
Nikusaidie tu! Tanzania ilisgapitisha sharia kwamba, nafasi zote za CEO na MD wa makampuni yote lazima ziongozwe na watanzania
Sivyo unavyosema wahindi au waarabu
Makampuni yote public hata yanayomilikiwa na hao wahindi na waarabu kwa sasa yanaongozwa na watanzania
 
Nikusaidie tu! Tanzania ilisgapitisha sharia kwamba, nafasi zote za CEO na MD wa makampuni yote lazima ziongozwe na watanzania
Sivyo unavyosema wahindi au waarabu
Makampuni yote public hata yanayomilikiwa na hao wahindi na waarabu kwa sasa yanaongozwa na watanzania
Lakini makampuni mengi yanakufa au yanadumaa hayakui
 
Kuna hizi taarifa naona zimezagaa kote kwamba kampuni ya Coca Cola imeng'ang'ania kuajiri Mkenya awe mkurungezi wa tawi lake Tanzania, ila kwamba Tanzania imemkatalia kama ambavyo imekua desturi sasa, ambapo haya makampuni ya kimataifa yanatumia hela nyingi sana kusaka nani mwenye weledi na bidii ya uchapa kazi wa kuyasimamia na kila wakiishia kuchagua Mkenya, anakataliwa na serikali ila yeyote mwingine awe Mhindi, Mwarabu au Chotara anaruhusiwa.

Inapaswa itolewe tamko rasmi kutokea kwa serikali kwamba Wakenya hawaruhusiwi tena kusimamia hayo makampuni, hapo itawarahishia hao nafasi wawe wanatangazia wahind na waarabu. Inapaswa ifahamike haya makampuni huwa hawaajiri zumbukuku au zwazwa yeyote, lazima wasake kwa mapana na marefu maana wana taratibu zao zilizopitia ukaguzi wa hali ya juu, na kama wanamkosa humo ndani ya milioni 60 ya Watanzania wanayemtaka, basi haipaswi kuwapangia.
------------------------------------------------

Dar es Salaam. Tanzania’s Immigration Department said on Tuesday, 24 November 2020 that it would issue a statement in response to claims that it had denied entry to a foreign national who was to start working as new managing director for Coca-Cola Kwanza.

Since Monday, November 23, social media platforms have been awash with news of a foreign national, assumed to be Kenyan, who was denied entry into Tanzania so he could assume his role as managing director for Coca-Cola Kwanza.

The news item originated as a tweet from fichuaTanzania_official’s FichuaTanzania, a Twitter handle that markets itself to its readers as one [a handle] that documents and exposes human rights abuses in Tanzania while also fighting for freedom of speech, truth and democracy.

“Leo 23/11/2020 Mkurugenzi mpya wa Coca Cola Kwanza akitokea Nairobi na shirika la ndege la Kenya Airways amekataliwa na mamlaka uhamiaji ya Tanzania kuingia nchini kutekeleza majukumu yake mapya kwa maelezo kuwa kazi anayokuja kufanya kuna watanzania wenye uwezo wa kuifanya,” the twit reads.

coca11


Literally, this is translated as: “The new Coca-Cola Kwanza managing director was on November 23, 2020 denied entry into Tanzania upon arrival from Nairobi on a Kenya Airways flight. The Immigration Department did not allow him in on the grounds that there were Tanzanian nationals who could perform his duties [at Coca-Cola Kwanza]”

You can work in Tanzania but not in a CEO or MD position, we have qualified Tanzanians,
Not only Kenyan but all nationalities,

One example!
Exim bank ilikuwa na CEO Indian, baada ya sheria kuwekwa kwa sasa CEO ni Jaffary Matundu a qualified Tanzanian
Stop bragging about Kenyan kuonewa Tz
 
Tunalima maua yanaayotupea hela nyingi zenye uwezo wa kuwazidi kiuchumi mara mbili yenu, zinatuwezesha kuwa na jeuri ya kununua mahindi kutoka kwa maskini kama nyie. Hupewi vyote, nyie mlinyimwa ubongo mkapewa ardhi, sisi tukanyimwa ardhi tukapewa ubongo, tunautumia ipasavyo.

ubongo gani mko nao[emoji23][emoji23][emoji23].

huu wa kuuana wakati wa uchaguzi,kuiba pesa na mali za uma,au kujipendekeza kwa wazungu!!!

sisi sasa tumepewa vyote,kama huamini angalia namna tunavyowasumbua ukanda huu.juzi tumenyima permit mkenya na hakuna kitu mnaeza fanya.
 
Tunalima maua yanaayotupea hela nyingi zenye uwezo wa kuwazidi kiuchumi mara mbili yenu, zinatuwezesha kuwa na jeuri ya kununua mahindi kutoka kwa maskini kama nyie. Hupewi vyote, nyie mlinyimwa ubongo mkapewa ardhi, sisi tukanyimwa ardhi tukapewa ubongo, tunautumia ipasavyo.
Analima maua au wazungu wanalima maua?
Nyie kazi yenu ni Vibarua kwenye Mashamba ya Wazungu, Makapuku
 
You can work in Tanzania but not in a CEO or MD position, we have qualified Tanzanians,
Not only Kenyan but all nationalities,

One example!
Exim bank ilikuwa na CEO Indian, baada ya sheria kuwekwa kwa sasa CEO ni Jaffary Matundu a qualified Tanzanian
Stop bragging about Kenyan kuonewa Tz

hawa wajinga wanataka huruma za kijinga.

sisi tunafanya yale ambayo wao wameyafanya muda mrefu,wakijidai wana wataalamu[emoji23][emoji23][emoji23].

nasisi tunao sasa hivi,kila mtu akale kwao.
 
Back
Top Bottom