Kwa sababu hakuna ndugu yako aliyeuwawa
imeandikwa na Respicius Francis kupitia ukurasa wake wa facebook
1.Leo nataka nitoe dukuduku kwa chama cha chadema juu ya kupotea Ben-Rabiu Wa Saanane,
2.Lazima tutambue Ben saanane ni mfanyakazi pale makao makuu chadema,
3.Lazima tutambue Ben Saanane siyo mfanyakzi tu bali ni kiongozi kwasababu amekuwa naongoza program mbalimbali Chadema pale makao makuu,
4.Ukitaja vijana 20 mashauri wa chadema uwezi kukosa kutaja jina la Ben saanane,
5.Ben wa saanane kafanya kazi nyingi chadema hakuna kiongozi mkubwa wa Chadema hasiye mjua BEN ,
MALALAMIKO YANGU.
1.kama mfanyakazi wenu kutoka makao makuu anapotea kwa wiki mbili alafu taasisi kubwa kama Chadema mnakosa kutoa taarifa mpaka watu kutoka facebook ndio wanaoanza kuhoji Ben Saanane yupo wapi?? baada ya kuona page yake facebook ipo kimya bila kuandikwa chochote hivi kweli kitengo cha usalama cha chadema kinafanya kazi??
2.Mtu Kama Ben saanane mfanyakazi kutoka makao makuu anapotea zaidi ya wiki mbili alafu taasisi kubwa kama Chadema inashindwa kutoa taarifa rasmi kwa vyombo habari mpaka muda huu,Ni waulize nyinyi wadau hali hii inatupa picha gani??
3. Mimi najiuliza pia kama Ben saanane anapotea zaidi ya wiki mbili alafu mpaka sasa Sijaona Taarifa yoyote kutoka kwa BAVICHA ,NI waulize nyinyi wadau hali hii inawapa picha gani??,,
4.Mimi nawaulizamaswali nyie watu wa makao makuu chadema siku ya tatu imepita mnapiga simu ya Ben Saanane haipatikani umekaa kimya??, Siku ya saba imepita mnapiga simu ya ben saanane umekaa kimya tu?? wiki pili imepita mnapiga simu ya Ben haipatikani umekaa kimya tu, wiki tatu simu ya ben haipatikan bado mmekaa kimya mpaka watu wa pembeni ndio wanajitkeza na kuanza kuuliza Ben yupo wapi??,,,,Ni waulize nyie wadau hii kitu imekaaje??
MY TAKE
1.Nilitegemea ofisi kuu chadema kama taasisi watupe taarifa kamili juu ya kupotea kwa Ben saanane ,Haiwezikani mfanyakzi wao kutoka makao makuu anapotea zaidi ya wiki tatu alafu hakuna taarifa yoyote kutoka makao makuu chadema mpaka muda huu.. Hivi vijana wengine kama Ben wanaotetea chama na kukipenda chama wanajifunza nini kwa jambo hil
i???,,,