love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
- Thread starter
-
- #21
Because your not, no matter how hard you will try.There is also sense in Nonsense, That is why Feyeraband said it is always reasonable to try and entertain unreasonable views.
Can you please tell me why you think i dont deserve to be rational and objective thinker?
This does not answer my question..Because your not, no matter how hard you will try.
Then your not rational and objective thinker.This does not answer my question..
Tumieni Lugha ya taifa haya mayai wengine tuna toka kapa wakuu sio wote tumekwenda shule jamani[emoji24][emoji24]There is also sense in Nonsense, That is why Feyeraband said it is always reasonable to try and entertain unreasonable views.
Can you please tell me why you think i dont deserve to be rational and objective thinker?
How do you know that someone is objective and rational..?Then your not rational and objective thinker.
Hahahaaaa, mayai au siyo?!Tumieni Lugha ya taifa haya mayai wengine tuna toka kapa wakuu sio wote tumekwenda shule jamani[emoji24][emoji24]
i only know those who are not.How do you know that someone is objective and rational..?
And how do they look like?i only know those who are not.
Kweli kabisa aiseee ..Watz bure kabisa, yaani kuwatetea ni hasara!Umeandika kwa uchungu Sana mkuu ila ukweli ulio wazi ni kwamba taifa hili lina mazuzu na mazwazwa ambao ni sawa na akili za nyumbu.
Kutwa kushindana kubishana nani bora Kati ya Ali kiba na Diamond,mijadara ya kijinga ya Simba Na Yanga kwa akili hizi unategemea nani atajivika roho ya kupambania taifa?
Leo akitokea mtu akisema Watanzania tuandamane kupinga matumizi mabaya ya pesa ya umma na Kodi zisizo na kichwa Wala miguu majibu yao utasikia "Nani mimi aanze yeye na familia yake" alafu mtu huyo huyo akikaa kimya utasikia ooh kalamba asali mbona kakaa kimya na shida zetu hizi yaani suala la kuhitaji nguvu ya umma unategemea kikundi fulani ndo ki-fight kwa niaba yako ukitaka ku-prove jambo hili angalia hata hapa JF nyuzi za kumnanga Mbowe, Lissu, Zitto nk utadhani ndo washa wapa ajira ya kuwapigania.