Watanzania mna kichaa!?

There is also sense in Nonsense, That is why Feyeraband said it is always reasonable to try and entertain unreasonable views.

Can you please tell me why you think i dont deserve to be rational and objective thinker?
Because your not, no matter how hard you will try.
 
There is also sense in Nonsense, That is why Feyeraband said it is always reasonable to try and entertain unreasonable views.

Can you please tell me why you think i dont deserve to be rational and objective thinker?
Tumieni Lugha ya taifa haya mayai wengine tuna toka kapa wakuu sio wote tumekwenda shule jamani[emoji24][emoji24]
 
Tanzania ipo hapa ilipo kutokana na UJINGA, WOGA na UNAFIKI wa sisi Watanzania.
Sisi tunaoweza kuwawajibisha ni Wabunge.
Sisi ni Wajinga kwa sababu hata Viongozi wetu wakitutendea maovu namna gani tunakaa kimya tu, hatuchukui hatutoi majibu ya haraka kuonesha kutokubaliana na mambo ya ovyo ambayo Viongozi wetu wametutendea.
 
Kweli kabisa aiseee ..Watz bure kabisa, yaani kuwatetea ni hasara!
 
Mtoa mada uko sahihi kabisa! Watanzania wengi tuna vichaa! Na kwa bahati mbaya aliyeturoga, ameshafariki! Sasa sijui tunafanyeje!

Maana haiwezekani kikundi cha watu wachache kifikie jeuri ya kututaka kuhamia nchi jirani, kama hatukubaliani na unyonyaji wao!

Yaani sisi kwa uwingi wetu, tunapelekwa pelekwa tu kama ng'ombe na wajinga wachache wenye ujasiri wa kutuamulia hatma ya maisha yetu! Inasikitisha sana kwa kweli.

Na kwa sababu ya huu upopoma wetu, naamini watoto wetu watakuja kutudharau sana siku watakapo amua kwa dhati kabisa, kupambana kuwaondoa madarakani hawa fisi wenye rangi ya kijani na njano.
 
Ujumbe ukweli mtupu, sema umetolewa kwa mihemko... unafoka sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…