MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Kwa sababu hela zipoUbwabwa wa buku tano bongo unakula mboga tatu.
Ubwabwa huohuo na mboga tatu huko marekani ni dola 10 ( sh 25000)
Kumbe life is relative.
Bongodili tele kama ukiwa na pesa,huku fursa tele kuliko USA shida msingi na mifumo kandamizi mifumo yetu inakuvuta chini Kule mifumo yao inakuvuta juu thus USA inaitwa land of opportunities ukiwa na ndoto ni rahisi kutimiza malengo kuleNa maisha utapata na nyumba utajenga nina uhakika ndugu yangu, hapa Tz utatoboa
mbwa wa marekani kanona kuliko mbwa wa tanzania tena wana hospitali na mahakama tuanze hapoWatanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani, Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota za kupanga tangu utoto wao mpaka uzee.
Inawezekana mnatazama maisha yao kwenye Tv na mwisho mnapagawa na kudhani kuwa wale watu ni matajiri lakini ukweli ni kwamba wanaishi kota za kupanga na kumiliki nyumba Marekani sio jambo rahisi angalao uwe na 1B mimi nimeishi kule kwa muda mrefu maisha yao ni ya show off kama za watu wa Kinondoni kula Bata vinywaji kidogo na picha nyingi mfukono 0 Balance huku vitu kama hivyo vikipatikana hapo Mlimani City na kwingineko huko Masaki.
Kijana wa Marekani ni mtu wa show off nyingi lakini anaishi chumba cha kupanga ambacho hata kitanda cha 6x6 hakiingii.
Kinachowasaidia kuonekana ni watu wa maana ni uhuni hasa upande wa mablack kupiga pamba kali, sagging na kuongea kwa kihuni lakini ukweli ni apeche alolo na wabongo wanaoishi kule wambie wakutumie hata $500usd kama watatuma niite mbwa. Kule fanya ni sehemu ya kwenda kula bata tu, fanya maendeleo hapa Bongo kule nenda katalii lakini kufanya maisha nikupoteza muda.
Mmarekani anazaliwa mpaka anazeeka hajawahi kumiliki meter ya maji na umeme yenye jina lake yaani ni sawa na mfungwa.
Wabongo wengi ambao mmetulia hapa mna maisha mazuri na mnamiliki mijengo ya maana sio kama wale wachovu ambao wanawachanganya kwa show off mpaka mnataka kuacha nchi yenu mkaishi na wahuni wa show off.
Mbongo unaacha nchi yako unaenda kuteseka kule kama sio mwehu ni nini. Vyumba kama hivi mmevikosa hapa Bongo au mnawehuka?
Nabado vihela mnavyopata kule vinaishia kwenye matumizi hazitoshi hata kufanya savings.
View attachment 3035626View attachment 3035627
Baadhi ya Watanzania wangu bado hawanelewi nimeona ni attach hii video ya bro labda itawafungua macho
View: https://youtu.be/UDIpQ1XWcRg?si=B7PvJdMy-8eipUC7
Ila ni kweli,basi tuWatanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani, Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota za kupanga tangu utoto wao mpaka uzee.
Inawezekana mnatazama maisha yao kwenye Tv na mwisho mnapagawa na kudhani kuwa wale watu ni matajiri lakini ukweli ni kwamba wanaishi kota za kupanga na kumiliki nyumba Marekani sio jambo rahisi angalao uwe na 1B mimi nimeishi kule kwa muda mrefu maisha yao ni ya show off kama za watu wa Kinondoni kula Bata vinywaji kidogo na picha nyingi mfukono 0 Balance huku vitu kama hivyo vikipatikana hapo Mlimani City na kwingineko huko Masaki.
Kijana wa Marekani ni mtu wa show off nyingi lakini anaishi chumba cha kupanga ambacho hata kitanda cha 6x6 hakiingii.
Kinachowasaidia kuonekana ni watu wa maana ni uhuni hasa upande wa mablack kupiga pamba kali, sagging na kuongea kwa kihuni lakini ukweli ni apeche alolo na wabongo wanaoishi kule wambie wakutumie hata $500usd kama watatuma niite mbwa. Kule fanya ni sehemu ya kwenda kula bata tu, fanya maendeleo hapa Bongo kule nenda katalii lakini kufanya maisha nikupoteza muda.
Mmarekani anazaliwa mpaka anazeeka hajawahi kumiliki meter ya maji na umeme yenye jina lake yaani ni sawa na mfungwa.
Wabongo wengi ambao mmetulia hapa mna maisha mazuri na mnamiliki mijengo ya maana sio kama wale wachovu ambao wanawachanganya kwa show off mpaka mnataka kuacha nchi yenu mkaishi na wahuni wa show off.
Mbongo unaacha nchi yako unaenda kuteseka kule kama sio mwehu ni nini. Vyumba kama hivi mmevikosa hapa Bongo au mnawehuka?
Nabado vihela mnavyopata kule vinaishia kwenye matumizi hazitoshi hata kufanya savings.
View attachment 3035626View attachment 3035627
Baadhi ya Watanzania wangu bado hawanelewi nimeona ni attach hii video ya bro labda itawafungua macho
View: https://youtu.be/UDIpQ1XWcRg?si=B7PvJdMy-8eipUC7
🤣🤣🤣Bora niishe geto kama hilo kuliko hili la 45k hapa maramba mawili.
🤣🤣🤣🙌Kikubwa nipo ulaya hayo mengine utajua wewe
🤣🤣🤣Watu wako nje wamebadili maisha ya nyumbani kwao na wamewekeza hapa nyumbani vya kutosha,unatuambia nini wewe...?Unajua hawa vijana wa UVCCM wanafaika wa tozo mnataka kutufanya tuamini life la bongo ni simple.Sasa we kijana wa UV thamani ya ardhi ya Uk,USA na kwingineko huko mambele unataka uilinganishe na ya Bongo...?Malengo ya kwenda nje sio lazima ujenge huko au upate pay kirahisi,lkn mazingira ya upatikanaji riziki usiulinganishe na wa hapa Bongonyoso...
Tena asitukanye! mpaka tushuhudie wenyewe 🤣Hatutishiki na mikwala yako na sisi tukipata nafasi ya kwenda tutajionea wenyewe.
Ata amani yenyew ipo basi, uoga sio amanBora kula nyama vitani kuliko dagaa kwenye amani
Acha ujinga , kama Marekani ni jehanamu basi Bongo ni jehanamu times 1000Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani, Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota za kupanga tangu utoto wao mpaka uzee.
Inawezekana mnatazama maisha yao kwenye Tv na mwisho mnapagawa na kudhani kuwa wale watu ni matajiri lakini ukweli ni kwamba wanaishi kota za kupanga na kumiliki nyumba Marekani sio jambo rahisi angalao uwe na 1B mimi nimeishi kule kwa muda mrefu maisha yao ni ya show off kama za watu wa Kinondoni kula Bata vinywaji kidogo na picha nyingi mfukono 0 Balance huku vitu kama hivyo vikipatikana hapo Mlimani City na kwingineko huko Masaki.
Kijana wa Marekani ni mtu wa show off nyingi lakini anaishi chumba cha kupanga ambacho hata kitanda cha 6x6 hakiingii.
Kinachowasaidia kuonekana ni watu wa maana ni uhuni hasa upande wa mablack kupiga pamba kali, sagging na kuongea kwa kihuni lakini ukweli ni apeche alolo na wabongo wanaoishi kule wambie wakutumie hata $500usd kama watatuma niite mbwa. Kule fanya ni sehemu ya kwenda kula bata tu, fanya maendeleo hapa Bongo kule nenda katalii lakini kufanya maisha nikupoteza muda.
Mmarekani anazaliwa mpaka anazeeka hajawahi kumiliki meter ya maji na umeme yenye jina lake yaani ni sawa na mfungwa.
Wabongo wengi ambao mmetulia hapa mna maisha mazuri na mnamiliki mijengo ya maana sio kama wale wachovu ambao wanawachanganya kwa show off mpaka mnataka kuacha nchi yenu mkaishi na wahuni wa show off.
Mbongo unaacha nchi yako unaenda kuteseka kule kama sio mwehu ni nini. Vyumba kama hivi mmevikosa hapa Bongo au mnawehuka?
Nabado vihela mnavyopata kule vinaishia kwenye matumizi hazitoshi hata kufanya savings.
View attachment 3035626View attachment 3035627
Baadhi ya Watanzania wangu bado hawanelewi nimeona ni attach hii video ya bro labda itawafungua macho
View: https://youtu.be/UDIpQ1XWcRg?si=B7PvJdMy-8eipUC7
Watu kama ninyi ni laymen linapokuja suala la hesabu na uchumi .Ubwabwa wa buku tano bongo unakula mboga tatu.
Ubwabwa huohuo na mboga tatu huko marekani ni dola 10 ( sh 25000)
Kumbe life is relative.