Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani. Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota

Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani. Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota

Na maisha utapata na nyumba utajenga nina uhakika ndugu yangu, hapa Tz utatoboa
Bongodili tele kama ukiwa na pesa,huku fursa tele kuliko USA shida msingi na mifumo kandamizi mifumo yetu inakuvuta chini Kule mifumo yao inakuvuta juu thus USA inaitwa land of opportunities ukiwa na ndoto ni rahisi kutimiza malengo kule
 
Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani, Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota za kupanga tangu utoto wao mpaka uzee.

Inawezekana mnatazama maisha yao kwenye Tv na mwisho mnapagawa na kudhani kuwa wale watu ni matajiri lakini ukweli ni kwamba wanaishi kota za kupanga na kumiliki nyumba Marekani sio jambo rahisi angalao uwe na 1B mimi nimeishi kule kwa muda mrefu maisha yao ni ya show off kama za watu wa Kinondoni kula Bata vinywaji kidogo na picha nyingi mfukono 0 Balance huku vitu kama hivyo vikipatikana hapo Mlimani City na kwingineko huko Masaki.

Kijana wa Marekani ni mtu wa show off nyingi lakini anaishi chumba cha kupanga ambacho hata kitanda cha 6x6 hakiingii.

Kinachowasaidia kuonekana ni watu wa maana ni uhuni hasa upande wa mablack kupiga pamba kali, sagging na kuongea kwa kihuni lakini ukweli ni apeche alolo na wabongo wanaoishi kule wambie wakutumie hata $500usd kama watatuma niite mbwa. Kule fanya ni sehemu ya kwenda kula bata tu, fanya maendeleo hapa Bongo kule nenda katalii lakini kufanya maisha nikupoteza muda.

Mmarekani anazaliwa mpaka anazeeka hajawahi kumiliki meter ya maji na umeme yenye jina lake yaani ni sawa na mfungwa.

Wabongo wengi ambao mmetulia hapa mna maisha mazuri na mnamiliki mijengo ya maana sio kama wale wachovu ambao wanawachanganya kwa show off mpaka mnataka kuacha nchi yenu mkaishi na wahuni wa show off.

Mbongo unaacha nchi yako unaenda kuteseka kule kama sio mwehu ni nini. Vyumba kama hivi mmevikosa hapa Bongo au mnawehuka?

Nabado vihela mnavyopata kule vinaishia kwenye matumizi hazitoshi hata kufanya savings.

View attachment 3035626View attachment 3035627

Baadhi ya Watanzania wangu bado hawanelewi nimeona ni attach hii video ya bro labda itawafungua macho

View: https://youtu.be/UDIpQ1XWcRg?si=B7PvJdMy-8eipUC7

mbwa wa marekani kanona kuliko mbwa wa tanzania tena wana hospitali na mahakama tuanze hapo
 
Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani, Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota za kupanga tangu utoto wao mpaka uzee.

Inawezekana mnatazama maisha yao kwenye Tv na mwisho mnapagawa na kudhani kuwa wale watu ni matajiri lakini ukweli ni kwamba wanaishi kota za kupanga na kumiliki nyumba Marekani sio jambo rahisi angalao uwe na 1B mimi nimeishi kule kwa muda mrefu maisha yao ni ya show off kama za watu wa Kinondoni kula Bata vinywaji kidogo na picha nyingi mfukono 0 Balance huku vitu kama hivyo vikipatikana hapo Mlimani City na kwingineko huko Masaki.

Kijana wa Marekani ni mtu wa show off nyingi lakini anaishi chumba cha kupanga ambacho hata kitanda cha 6x6 hakiingii.

Kinachowasaidia kuonekana ni watu wa maana ni uhuni hasa upande wa mablack kupiga pamba kali, sagging na kuongea kwa kihuni lakini ukweli ni apeche alolo na wabongo wanaoishi kule wambie wakutumie hata $500usd kama watatuma niite mbwa. Kule fanya ni sehemu ya kwenda kula bata tu, fanya maendeleo hapa Bongo kule nenda katalii lakini kufanya maisha nikupoteza muda.

Mmarekani anazaliwa mpaka anazeeka hajawahi kumiliki meter ya maji na umeme yenye jina lake yaani ni sawa na mfungwa.

Wabongo wengi ambao mmetulia hapa mna maisha mazuri na mnamiliki mijengo ya maana sio kama wale wachovu ambao wanawachanganya kwa show off mpaka mnataka kuacha nchi yenu mkaishi na wahuni wa show off.

Mbongo unaacha nchi yako unaenda kuteseka kule kama sio mwehu ni nini. Vyumba kama hivi mmevikosa hapa Bongo au mnawehuka?

Nabado vihela mnavyopata kule vinaishia kwenye matumizi hazitoshi hata kufanya savings.

View attachment 3035626View attachment 3035627

Baadhi ya Watanzania wangu bado hawanelewi nimeona ni attach hii video ya bro labda itawafungua macho

View: https://youtu.be/UDIpQ1XWcRg?si=B7PvJdMy-8eipUC7

Ila ni kweli,basi tu
Ht sauz hapo kumiliki ardhi,nyumba sio km hapa bongo
Ila fursa za kazi na salary ni Bora huko majuu
 
Watu wako nje wamebadili maisha ya nyumbani kwao na wamewekeza hapa nyumbani vya kutosha,unatuambia nini wewe...?Unajua hawa vijana wa UVCCM wanafaika wa tozo mnataka kutufanya tuamini life la bongo ni simple.Sasa we kijana wa UV thamani ya ardhi ya Uk,USA na kwingineko huko mambele unataka uilinganishe na ya Bongo...?Malengo ya kwenda nje sio lazima ujenge huko au upate pay kirahisi,lkn mazingira ya upatikanaji riziki usiulinganishe na wa hapa Bongonyoso...
🤣🤣🤣
 
Ukiwa mtoto wa mama mboga saba bongo huwezi kuishi ulaya na marekani lakn mm mtoto wa mkulima sina ajira mwaka wa nane huu,nimevua samaki Sana,nimechimba maduara kusaka dhahabu,vimeshinda shambani Sana lakn mpaka sasa naishi kwenye kitu wanaita subsistence living.

Kwa hakika nakwambia kama Mungu anatenda miujiza basi kesho niamkie marekani halafu nisipo toboa basi heri nife tu.

Kwann nasema haya jamaa yangu mmoja aliyeshinda green card mwaka 2019 ya kuingia marekani kafanya matusi bongo Kwa miaka hii mitano.

Kuna jamaa kaingia Kwa intern za kilimo marekani mwaka 2020 nae kafanya matusi bongo,lakn hawa wote ni watoto wa makulima wamekulia uji ya chumvi asubuhi,mchana viazi na maji kama lunch usiku ugali na kabichi.

Maisha ni magumu tangu wako bongo baada ya kutua marekani Kwa hakika hawana mchezo.

Sasa wewe mleta mada subiri mdingi afe ugombanie urithi tu maana kupambana huwezi.
 
Nipo ulaya miaka miwili sasa nakazia hii kauli bora uwe mbwa ulaya kuliko binadam kuwa mtumishi wa umma au mfanya biashara wa kawaida bongo. Tusiishie kulaumu hizi kauli tuchukue hatua nasis kupafanya bongo mahali pazuri kuishi kama walivyofanya huku wenzetu mbona tuna nchi nzuri M/Mungu katupendelea ila upumbavu/ubinafisi na sasa uchawa vinazid kufifisha ndoto ya bongo kuwa mahali pazuri kwa kuishi kwa kila mtu.
 
Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani, Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota za kupanga tangu utoto wao mpaka uzee.

Inawezekana mnatazama maisha yao kwenye Tv na mwisho mnapagawa na kudhani kuwa wale watu ni matajiri lakini ukweli ni kwamba wanaishi kota za kupanga na kumiliki nyumba Marekani sio jambo rahisi angalao uwe na 1B mimi nimeishi kule kwa muda mrefu maisha yao ni ya show off kama za watu wa Kinondoni kula Bata vinywaji kidogo na picha nyingi mfukono 0 Balance huku vitu kama hivyo vikipatikana hapo Mlimani City na kwingineko huko Masaki.

Kijana wa Marekani ni mtu wa show off nyingi lakini anaishi chumba cha kupanga ambacho hata kitanda cha 6x6 hakiingii.

Kinachowasaidia kuonekana ni watu wa maana ni uhuni hasa upande wa mablack kupiga pamba kali, sagging na kuongea kwa kihuni lakini ukweli ni apeche alolo na wabongo wanaoishi kule wambie wakutumie hata $500usd kama watatuma niite mbwa. Kule fanya ni sehemu ya kwenda kula bata tu, fanya maendeleo hapa Bongo kule nenda katalii lakini kufanya maisha nikupoteza muda.

Mmarekani anazaliwa mpaka anazeeka hajawahi kumiliki meter ya maji na umeme yenye jina lake yaani ni sawa na mfungwa.

Wabongo wengi ambao mmetulia hapa mna maisha mazuri na mnamiliki mijengo ya maana sio kama wale wachovu ambao wanawachanganya kwa show off mpaka mnataka kuacha nchi yenu mkaishi na wahuni wa show off.

Mbongo unaacha nchi yako unaenda kuteseka kule kama sio mwehu ni nini. Vyumba kama hivi mmevikosa hapa Bongo au mnawehuka?

Nabado vihela mnavyopata kule vinaishia kwenye matumizi hazitoshi hata kufanya savings.

View attachment 3035626View attachment 3035627

Baadhi ya Watanzania wangu bado hawanelewi nimeona ni attach hii video ya bro labda itawafungua macho

View: https://youtu.be/UDIpQ1XWcRg?si=B7PvJdMy-8eipUC7

Acha ujinga , kama Marekani ni jehanamu basi Bongo ni jehanamu times 1000
Yaani ugumu wa maisha Bongo na Marekani ulingane ?
Unajua unachoandika wewe ?
Au ndio ninyi parasites wa uvccm na mnaobenefit Kwa uchawa ?
Unajua ugumu wa kuisaka shilingi Bongo hapa ?
Unajua jinsi mamilioni ya watu wanavyoishi substandard life na life la kuunga unga Bongo humu ?
Nchi ambayo mamilioni ya watu hawana ajira wala kipato cha uhakika
Nchi ambayo mamilioni ya raia wanaishi kwenye makazi duni ,afya duni ,maji machafu ,afya mbovu ,barabara hadi vyoo + magonjwa ya milipuko ya kusababishwa na poor hygiene .
Mamilioni ya watu wanakabiliwa na utapia mlo
Halafu ujilinganishe na mtu anayeishi Marekani ,una akili au tope wewe ?
 
Back
Top Bottom