Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani. Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota

Endelea kujifariji mzee wewe kweli kituko yaani unasema mmarekani hamiliki nyumba hiyo itakua marekani ya igunga
 
Watu wako nje wamebadili maisha ya nyumbani kwao na wamewekeza hapa nyumbani vya kutosha,unatuambia nini wewe...?Unajua hawa vijana wa UVCCM wanafaika wa tozo mnataka kutufanya tuamini life la bongo ni simple.Sasa we kijana wa UV thamani ya ardhi ya Uk,USA na kwingineko huko mambele unataka uilinganishe na ya Bongo...?Malengo ya kwenda nje sio lazima ujenge huko au upate pay kirahisi,lkn mazingira ya upatikanaji riziki usiulinganishe na wa hapa Bongonyoso...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…