Bill unalipa kubwa vimaji vinadondoka kwenye tape mpaka ujaze lita 10 sio leo, tape la kuoga ni matone yanadondoka baba sasa jichanganye umwage shower jelly nyingi utachezea povu hapo bafuni mpaka uzirai
Bill unalipa kubwa vimaji vinadondoka kwenye tape mpaka ujaze lita 10 sio leo, tape la kuoga ni matone yanadondoka baba sasa jichanganye umwage shower jelly nyingi utachezea povu hapo bafuni mpaka uzirai
Poa screenshot hicho kiasi Cha USD 5000 kwenye account Yako mda huu uitume hapa hiyo screenshot kama unacho nakutumia kama hiyo hiyo Sasa hivi wanajamii forum mashaidi nipo serious Mimi huwa sio mtu wa kuigiza mtandaoni tuma mda huu huu maana Nataka nitoke online niingie job now
Laini za simu ndo hizi inategemea na wewe kama unataka eSIM ni uchaguzi wako
Vifurushi ndo kama hivi mzee baba, sasa wewe kimbilia kule badae utanelewa, sikurudi kwasababu ya kushindwa maisha bali nilichoka kuliwa pesa na mabeberu ambayo yalifanya biashara ya Slave na wazee wetu wakauzwa kama nyanya
Wakati huo unaingiza kiasi gani? Au ulitaka ufanye kazi ya $15 kwa saa (nimeshatoa makato) kwa masaa nane halafu urudi zako ghetto ukalale? Upo serious kweli?
Maana kuna wengine mnafanya kazi only masaa 8 na kwa siku 3 au 4 hizi nyingine mle bata.
Tenga masaa yako 8 ya ku commute na kulala 16 yote piga kazi, halafu tenga a day or two kwa ajili ya kupumzika uene kama utakuja mitandaoni kulilia na kudekea
Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani, Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota za kupanga tangu utoto wao mpaka uzee
Inawezekana mnatazama maisha yao kwenye Tv na mwisho mnapagawa na kudhani kuwa wale watu ni matajiri lakini ukweli ni kwamba wanaishi kota za kupanga na kumiliki nyumba Marekani sio jambo rahisi angalao uwe na 1B mimi nimeishi kule kwa muda mrefu maisha yao ni ya show off kama za watu wa Kinondoni kula Bata vinywaji kidogo na picha nyingi mfukono 0 Balance huku vitu kama hivyo vikipatikana hapo Mlimani City na kwingineko huko Masaki
Kijana wa Marekani ni mtu wa show off nyingi lakini anaishi chumba cha kupanga ambacho hata kitanda cha 6x6 hakiingii
Kinachowasaidia kuonekana ni watu wa maana ni uhuni hasa upande wa mablack kupiga pamba kali, sagging na kuongea kwa kihuni lakini ukweli ni apeche alolo na wabongo wanaoishi kule wambie wakutumie hata $500usd kama watatuma niite mbwa. Kule fanya ni sehemu ya kwenda kula bata tu, fanya maendeleo hapa Bongo kule nenda katalii lakini kufanya maisha nikupoteza muda
Mmarekani anazaliwa mpaka anazeeka hajawahi kumiliki meter ya maji na umeme yenye jina lake yaani ni sawa na mfungwa
Wabongo wengi ambao mmetulia hapa mna maisha mazuri na mnamiliki mijengo ya maana sio kama wale wachovu ambao wanawachanganya kwa show off mpaka mnataka kuacha nchi yenu mkaishi na wahuni wa show off
Mbongo unaacha nchi yako unaenda kuteseka kule kama sio mwehu ni nini
Vyumba kama hivi mmevikosa hapa Bongo au mnawehuka???
Umechukulia mambo kijumla mno mkuu; na hata kama ingekuwa ni Antarctica mambo yasingekuwa hasi tupu kama unavyoyaeleza hapa.
Kama ilivyo kwingineko, Marekani kweli maisha siyo lelemama kama hukupiga shule ya maana; na huna mishe za kueleweka. Pamoja na hayo, kwa maoni yangu, wanatuzidi katika mambo makubwa manne.
1. Kule hakuna hii rushwa na ufisadi huu wa kihayawani. Mambo mengi unajifanyia mwenyewe kwenye mtandao tu na mambo yanakwenda. Mtu unaagiza pasipoti yako online siku ya siku unaitwa unakwenda kuchukua tu...Challenge kubwa kwangu ukirudi huku Bongo ni hii ya kujuana na kila mtu ndiyo upate huduma. Hospitali uwe na mtu wako. Polisi. Kila ofisi yaani. Inachosha balaa na mtu unaweza kukata tamaa!
2. Mambo ya afya. Japo bima ipo juu kama siyo mwajiriwa wa serikali za majimbo au federal lakini kwenye dharula angalau una uhakika wa kuhudumiwa; na mengine mtajuana baadaye. Kama ingekuwa ni Marekani huyu dogo wa SUA hapa chini sidhani kama angekata moto maana medical malpractice ambayo hiyo hospitali wangepata si ajabu hata wangefilisika!
Juzi usiku tulimpeleka hospitali ya Nanguji mwanachuo mwenzetu ambae alizidiwa, wakamfanyia vipimo na kusema utumbo umejikunja hivyo anapaswa kufanyiwa upasuaji kwa haraka, kwa pale gharama zilikuwa ni laki 8 hivyo tukaombwa kupelekwa hospitali ya mkoa kwasababu ya unafuu wa matibabu, tukapewa...
www.jamiiforums.com
Jana pale Mbezi mwanamke mmoja akaanguka. Medical emergency ile lakini hakuna aliyemjali maana hakuna aliyejua cha kufanya. Marekani 911 ilishapigwa na ndani ya dakika 5 wameshafika kutoa huduma ya kwanza huku chumba cha emergency huko anakopelekwa kimeshaandaliwa. Kama ni stroke ndani ya robo saa kichwa kimeshafunguliwa wanatafuta hiyo blood clot iko wapi. Huku kama huna pesa unakufa tu kibudu na hakuna anayejali. Sijui kama mama yule alipona. Msaada pekee aliopata ni kumwagiwa maji ya baridi kichwani! 😳
3. Elimu! Elimu! Elimu! Na hili nadhani halihitaji maelezo mengi. Elimu yetu hapa ni ya hovyo sana. Ndiyo maana hata akina Kishimba utawasikia wanakandia wasomi bungeni lakini watoto wao wote wamesoma nje!
4. Social security. Kwamba hata hawa homeless walioko barabarani wengi wao wanapata vihela angalau vya kuwasukuma sukuma japo kwa chakula na mahitaji mengine ya msingi. Sisi ukiwa masikini kabisa kufa tu; na hakuna anayejali.
Shida kubwa ya Marekani ni ukweli kwamba 1% ya wale ultra rich wanamiliki utajiri wa karibia 95% ya watu wote. Na sijui mgawanyo huu wa matabaka ni sustainable kwa muda gani. Wengi wameanza kumkumbuka Karl Marx aliyesema kwamba kwa vile ulafi wa binadamu wa kujilimbikizia mali hauna kikomo, itafika mahali njia kuu za uchumi zitakuwa mikononi mwa watu wachache sana huku umma ukiwa hauna kitu. Na hili hatimaye litepelekea kuanguka kwa mfumo mzima wa kibepari. Ndiyo maana utaona japo ni ubepari pure lakini wanajaribu kuchomekea vielementi vya kijamaa mf. Msaada kwa watu masikini, kusamehe mikopo ya elimu, huduma za bure kwa wanawake wenye mimba n.k. japo wahafidhina wa Republicans huwa wanapinga sana.
Kwa hivyo ukienda Marekani nenda ukiwa open minded. Kafanye kilichokupeleka huko na kama siyo mjanja huku mtaani basi kazingatie sana shule vinginevyo utakuja kuishia tu kuwa mlevi na huna hata vibali vinavyokuruhusu kufanya kazi. Unaingia kwenye vicious cycle mbaya sana ambayo kujichomoa ni shughuli pevu maana ukitoka tu hutarudi tena kama viza iliyokupeleka ilishaisha; na nyumbani huku unaogopa kurudi maana wenzio uliowaacha utawakuta wamepiga hatua sana kimaisha.
It is a delicate balancing act hasa kama una emotional IQ ndogo na maisha yako yanatawaliwa na kujilinganisha na wengine na kufuata fomyula kwamba ukiwa na miaka fulani ni lazima uwe na hiki na kile.
Kama umesomea mambo ya afya (MD, RN, Pharmacology...) fanya kila uwezalo uende Marekani. Mengine utapambana huko huko!
Kama uko vizuri kwenye mambo ya IT/Computer Science we nenda tu. Mengine mtajuana huko huko...na mengineyo!
Umechukulia mambo kijumla mno mkuu; na hata kama ingekuwa ni Antarctica mambo yasingekuwa hasi tupu kama unavyoyaeleza hapa.
Kama ilivyo kwingineko, Marekani kweli maisha siyo lelemama kama hukupiga shule ya maana; na huna mishe za kueleweka. Pamoja na hayo, kwa maoni yangu, wanatuzidi katika mambo makubwa manne.
1. Kule hakuna hii rushwa na ufisadi huu wa kihayawani. Mambo mengi unajifanyia mwenyewe kwenye mtandao tu na mambo yanakwenda. Mtu unaagiza pasipoti yako online siku ya siku unaitwa unakwenda kuchukua tu...Challenge kubwa kwangu ukirudi huku Bongo ni hii ya kujuana na kila mtu ndiyo upate huduma. Hospitali uwe na mtu wako. Polisi. Kila ofisi yaani. Inachosha balaa na mtu unaweza kukata tamaa!
2. Mambo ya afya. Japo bima ipo juu kama siyo mwajiriwa wa serikali za majimbo au federal lakini kwenye dharula angalau una uhakika wa kuhudumiwa; na mengine mtajuana baadaye. Kama ingekuwa ni Marekani huyu dogo wa SUA hapa chini sidhani kama angekata moto maana medical malpractice ambayo hiyo hospitali wangepata si ajabu hata wangefilisika!
Juzi usiku tulimpeleka hospitali ya Nanguji mwanachuo mwenzetu ambae alizidiwa, wakamfanyia vipimo na kusema utumbo umejikunja hivyo anapaswa kufanyiwa upasuaji kwa haraka, kwa pale gharama zilikuwa ni laki 8 hivyo tukaombwa kupelekwa hospitali ya mkoa kwasababu ya unafuu wa matibabu, tukapewa...
www.jamiiforums.com
Jana pale Mbezi mwanamke mmoja akaanguka. Medical emergency ile lakini hakuna aliyemjali maana hakuna aliyejua cha kufanya. Marekani 911 ilishapigwa na ndani ya dakika 5 wameshafika kutoa huduma ya kwanza huku chumba cha emergency huko anakopelekwa kimeshaandaliwa. Kama ni stroke ndani ya robo saa kichwa kimeshafunguliwa wanatafuta hiyo blood clot iko wapi. Huku kama huna pesa unakufa tu kibudu na hakuna anayejali. Sijui kama mama yule alipona. Msaada pekee aliopata ni kumwagiwa maji ya baridi kichwani! 😳
3. Elimu! Elimu! Elimu! Na hili nadhani halihitaji maelezo mengi. Elimu yetu hapa ni ya hovyo sana. Ndiyo maana hata akina Kishimba utawasikia wanakandia wasomi bungeni lakini watoto wao wote wamesoma nje!
4. Social security. Kwamba hata hawa homeless walioko barabarani wengi wao wanapata vihela angalau vya kuwasukuma sukuma japo kwa chakula na mahitaji mengine ya msingi. Sisi ukiwa masikini kabisa kufa tu; na hakuna anayejali.
Shida kubwa ya Marekani ni ukweli kwamba 1% ya wale ultra rich wanamiliki utajiri wa karibia 95% ya watu wote. Na sijui mgawanyo huu wa matabaka ni sustainable kwa muda gani. Wengi wameanza kumkumbuka Karl Marx aliyesema kwamba kwa vile ulafi wa binadamu wa kujilimbikizia mali hauna kikomo, itafika mahali njia kuu za uchumi zitakuwa mikononi mwa watu wachache sana huku umma ukiwa hauna kitu. Na hili hatimaye litepelekea kuanguka kwa mfumo mzima wa kibepari. Ndiyo maana utaona japo ni ubepari pure lakini wanajaribu kuchomekea vielementi vya kijamaa mf. Msaada kwa watu masikini, kusamehe mikopo ya elimu, huduma za bure kwa wanawake wenye mimba n.k. japo wahafidhina wa Republicans huwa wanapinga sana.
Kwa hivyo ukienda Marekani nenda ukiwa open minded. Kafanye kilichokupeleka huko na kama siyo mjanja huku mtaani basi kazingatie sana shule vinginevyo utakuja kuishia tu kuwa mlevi na huna hata vibali vinavyokuruhusu kufanya kazi. Unaingia kwenye vicious cycle mbaya sana ambayo kujichomoa ni shughuli pevu maana ukitoka tu hutarudi tena kama viza iliyokupeleka ilishaisha; na nyumbani huku unaogopa kurudi maana wenzio uliowaacha utawakuta wamepiga hatua sana kimaisha.
It is a delicate balancing act hasa kama una emotional IQ ndogo na maisha yako yanatawaliwa na kujilinganisha na wengine na kufuata fomyula kwamba ukiwa na miaka fulani ni lazima uwe na hiki na kile.
Kama umesomea mambo ya afya (MD, RN, Pharmacology...) fanya kila uwezalo uende Marekani. Mengine utapambana huko huko!
Kama uko vizuri kwenye mambo ya IT/Computer Science we nenda tu. Mengine mtajuana huko huko...na mengineyo!
Mi naona bahati ya mtu haifanani na mwenzake kila mwamba ana miamba yake mwenzangu kaenda huko kaja huku kajenga mijengo ya maana na kaoa kitu ya kilatino usicrem maisha kila mtu anamiamba yako yakutoboa
Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani, Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota za kupanga tangu utoto wao mpaka uzee
Inawezekana mnatazama maisha yao kwenye Tv na mwisho mnapagawa na kudhani kuwa wale watu ni matajiri lakini ukweli ni kwamba wanaishi kota za kupanga na kumiliki nyumba Marekani sio jambo rahisi angalao uwe na 1B mimi nimeishi kule kwa muda mrefu maisha yao ni ya show off kama za watu wa Kinondoni kula Bata vinywaji kidogo na picha nyingi mfukono 0 Balance huku vitu kama hivyo vikipatikana hapo Mlimani City na kwingineko huko Masaki
Kijana wa Marekani ni mtu wa show off nyingi lakini anaishi chumba cha kupanga ambacho hata kitanda cha 6x6 hakiingii
Kinachowasaidia kuonekana ni watu wa maana ni uhuni hasa upande wa mablack kupiga pamba kali, sagging na kuongea kwa kihuni lakini ukweli ni apeche alolo na wabongo wanaoishi kule wambie wakutumie hata $500usd kama watatuma niite mbwa. Kule fanya ni sehemu ya kwenda kula bata tu, fanya maendeleo hapa Bongo kule nenda katalii lakini kufanya maisha nikupoteza muda
Mmarekani anazaliwa mpaka anazeeka hajawahi kumiliki meter ya maji na umeme yenye jina lake yaani ni sawa na mfungwa
Wabongo wengi ambao mmetulia hapa mna maisha mazuri na mnamiliki mijengo ya maana sio kama wale wachovu ambao wanawachanganya kwa show off mpaka mnataka kuacha nchi yenu mkaishi na wahuni wa show off
Mbongo unaacha nchi yako unaenda kuteseka kule kama sio mwehu ni nini
Vyumba kama hivi mmevikosa hapa Bongo au mnawehuka???
Acha kulisha watu matango pori,
America ni tajiri mara 1000+ya Tanzania, mapato yetu kwa mwaka hayafikii mapato ya ksmpuni ya tweeter/X! Tunafsnya nao kazi kwenye mashirika ya kimataifa, wana mkwsnja mrefu, swala LA kusema eti hawawezi kumiriki nyumba, ni relative tu, kwani hapa bongo kila mtz anaweza kununua kiwanja au nyumba masaki, Oyster Bay, njiro,Shanghai(mtwara), nyamkazi(bk),
Mbona watu kibao wanarnda kuishi bunju,mbagara, kwanini wasipange masaki, au upanga?
Kama maisha Yao ni kama kwetu, mbona wa bongo kibso w anakimbilia USA kutafuta maisha?
Acha akili za manzese na kuwa za ki ccm
Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani, Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota za kupanga tangu utoto wao mpaka uzee
Inawezekana mnatazama maisha yao kwenye Tv na mwisho mnapagawa na kudhani kuwa wale watu ni matajiri lakini ukweli ni kwamba wanaishi kota za kupanga na kumiliki nyumba Marekani sio jambo rahisi angalao uwe na 1B mimi nimeishi kule kwa muda mrefu maisha yao ni ya show off kama za watu wa Kinondoni kula Bata vinywaji kidogo na picha nyingi mfukono 0 Balance huku vitu kama hivyo vikipatikana hapo Mlimani City na kwingineko huko Masaki
Kijana wa Marekani ni mtu wa show off nyingi lakini anaishi chumba cha kupanga ambacho hata kitanda cha 6x6 hakiingii
Kinachowasaidia kuonekana ni watu wa maana ni uhuni hasa upande wa mablack kupiga pamba kali, sagging na kuongea kwa kihuni lakini ukweli ni apeche alolo na wabongo wanaoishi kule wambie wakutumie hata $500usd kama watatuma niite mbwa. Kule fanya ni sehemu ya kwenda kula bata tu, fanya maendeleo hapa Bongo kule nenda katalii lakini kufanya maisha nikupoteza muda
Mmarekani anazaliwa mpaka anazeeka hajawahi kumiliki meter ya maji na umeme yenye jina lake yaani ni sawa na mfungwa
Wabongo wengi ambao mmetulia hapa mna maisha mazuri na mnamiliki mijengo ya maana sio kama wale wachovu ambao wanawachanganya kwa show off mpaka mnataka kuacha nchi yenu mkaishi na wahuni wa show off
Mbongo unaacha nchi yako unaenda kuteseka kule kama sio mwehu ni nini
Vyumba kama hivi mmevikosa hapa Bongo au mnawehuka???
💯 true! Niliishaletaga uzi hapa kuhusu maisha ya ughaibuni ni stress japo kuna wengine wametoboa lakini wa kuhesabu! Hapa bongo ukikomaa ni rahisi kuliko ughaibuni
Wewe hujawahi kanyaga USA ungekanyaga USA usingeongea utumbo kama huu kwa taarifa Yako huku Kuna nyumba mpaka za 100 million ni wewe tu usitake kudanganya watu mzee usifikiri Kila mtu aliepo humu yupo tanzania na Mimi ni mmoja Nina asili ya tanzania ila namiliki mjengo hapa USA usikatishe vijana tamaa kisa wewe umeshindwa kujamzee mchina mwenyewe anataka kuishi USA Kila siku wanaingia sembuse wewe mtanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.