Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani. Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota

Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani. Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota

Sasa unataka uendelee kukalisha pumbu zako kwenye nyumba ya mtu bila kulipa pango wakuchekee tu ?
Hizi akili zenu za kitaahila za hapa Bongo , ndio maana hamuwezi kuishi nchi za watu .
Mnaenda huko mnapata pesa mnaishia kufanya upambavu halafu unataka kumpiga sound landlord ,
Ninyi Ndio huwa mnapakwa wese , dume zima unataka Kitonga
Kupakwa wese tena
 
Kama una ndugu yako kule mwambie akutumie $500usd akituma niite mbwa
Kaka mtu kukusaidia au kukupatia kitu kwa hiyari, ni thamani yako kwake, mapenzi au inategemea na roho yake au nafsi yake yeye mtoaji... Haimaniishi kama hana au ana mambo mengi sijui.

Asipokupa haimaanishi pesa hakuna au mambo magumu. Maisha ya kule na hapa sio sawa in terms of every aspect! Usiwapotoshe kupitiliza wenzako. Wewe ulienda ukavuna ulichovuna ukaamua kurudi. Waache na wenzako wakabahatishe, usikufuru mungu kwamba hukupata chochote. Exposure yako ni njia tosha ya kujikwamua au kukufanya upate ulivyonavyo leo. Si bora ukapige zako kazi za 20usd-50usd per hour, kuliko kusubiri kazi za ajira portal za connection?! Tusiseme sana tukapotea... Waache vijana!
 
Kaka mtu kukusaidia au kukupatia kitu kwa hiyari, ni thamani yako kwake, mapenzi au inategemea na roho yake au nafsi yake yeye mtoaji... Haimaniishi kama hana au ana mambo mengi sijui.

Asipokupa haimaanishi pesa hakuna au mambo magumu. Maisha ya kule na hapa sio sawa in terms of every aspect! Usiwapotoshe kupitiliza wenzako. Wewe ulienda ukavuna ulichovuna ukaamua kurudi. Waache na wenzako wakabahatishe, usikufuru mungu kwamba hukupata chochote. Exposure yako ni njia tosha ya kujikwamua au kukufanya upate ulivyonavyo leo. Si bora ukapige zako kazi za 20usd-50usd per hour, kuliko kusubiri kazi za ajira portal za connection?! Tusiseme sana tukapotea... Waache vijana!
Marekani utaingiza kipato kikubwa lakini matumizi ni makubwa pia kwasababu ya gharama za maisha kuwa kubwa sana, hiyo ndiyo sababu ya umasikini kuwakumba watu wa mataifa makubwa
 
Kufungua Pharmacy USA Gharama zinaweza kubadilika kutoka $250,000 hadi $1,800,000. tarajia gharama za kufungua kufikia $500,000 – $700,000
Sio U.S.A ninachojua kufungua biashara nchi za kimagharibi na zote zenye baridi duniani ni hatua nyingi na gharama ndefu ile mbaya! Mpaka ukamilishe vibali na vielelezo vyote lazima jasho ikutoke na utoboke sana mfuko.

Hapo umezungumzia nyanja ya afya, hiyo ndo kabisaaaaaa!
 
Ngoja nikupe siri ya Marekani, pale maisha ni magumu sana ukiwa na hela unaweza kuwala wote, Marekani pale ukiwa na hela mwambie mtu njoo liwa na mbwa wangu nikupe hela atakuja haraka sana, wanashida na hela ndio maana hawajui maana ya neno dhambi, Mmarekani mfanye chochote umpe hela atakubali
Duhhh! Ndomana wakina Diddy wana scandals mbaya za kuwafanyia vitendo hivyo wanaume wenzao, na watu maarufu wengineo.
 
Sio U.S.A ninachojua kufungua biashara nchi za kimagharibi na zote zenye baridi duniani ni hatua nyingi na gharama ndefu ile mbaya! Mpaka ukamilishe vibali na vielelezo vyote lazima jasho ikutoke na utoboke sana mfuko.

Hapo umezungumzia nyanja ya afya, hiyo ndo kabisaaaaaa!
Kwenye Afya utanyonywa hela za vibali kama kunguni
 
Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani, Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota za kupanga tangu utoto wao mpaka uzee.

Inawezekana mnatazama maisha yao kwenye Tv na mwisho mnapagawa na kudhani kuwa wale watu ni matajiri lakini ukweli ni kwamba wanaishi kota za kupanga na kumiliki nyumba Marekani sio jambo rahisi angalao uwe na 1B mimi nimeishi kule kwa muda mrefu maisha yao ni ya show off kama za watu wa Kinondoni kula Bata vinywaji kidogo na picha nyingi mfukono 0 Balance huku vitu kama hivyo vikipatikana hapo Mlimani City na kwingineko huko Masaki.

Kijana wa Marekani ni mtu wa show off nyingi lakini anaishi chumba cha kupanga ambacho hata kitanda cha 6x6 hakiingii.

Kinachowasaidia kuonekana ni watu wa maana ni uhuni hasa upande wa mablack kupiga pamba kali, sagging na kuongea kwa kihuni lakini ukweli ni apeche alolo na wabongo wanaoishi kule wambie wakutumie hata $500usd kama watatuma niite mbwa. Kule fanya ni sehemu ya kwenda kula bata tu, fanya maendeleo hapa Bongo kule nenda katalii lakini kufanya maisha nikupoteza muda.

Mmarekani anazaliwa mpaka anazeeka hajawahi kumiliki meter ya maji na umeme yenye jina lake yaani ni sawa na mfungwa.

Wabongo wengi ambao mmetulia hapa mna maisha mazuri na mnamiliki mijengo ya maana sio kama wale wachovu ambao wanawachanganya kwa show off mpaka mnataka kuacha nchi yenu mkaishi na wahuni wa show off.

Mbongo unaacha nchi yako unaenda kuteseka kule kama sio mwehu ni nini. Vyumba kama hivi mmevikosa hapa Bongo au mnawehuka?

Nabado vihela mnavyopata kule vinaishia kwenye matumizi hazitoshi hata kufanya savings.

View attachment 3035626View attachment 3035627

Baadhi ya Watanzania wangu bado hawanelewi nimeona ni attach hii video ya bro labda itawafungua macho

View: https://youtu.be/UDIpQ1XWcRg?si=B7PvJdMy-8eipUC7

Bro ukubwa wa maisha nivile ww unavyotaka kuisha ukitaka kuishk kufazali kipindi unatafuta apo ndio shida inapo azia Mbona ata bongo zipo nyumba za bei iyo ila kwhyo tukimbie napo bongo acha kutisha watu brother acha watu wakatafuta maish nch yoyote garama kila sehem zpo ila ww ndio utachagua uish vipi?
 
Kwa huu mfano wako nimeanza kuwa na wasiwasi kama wengine wanavyokutilia shaka ndugu Mr. Why... Rais wa nchi yoyote ndio mzalendo wa kwanza na role model wa kila mtu ndani na nje ya nchi yake... Hata walio nje macho na masikio kwake, "leo kafanya nini au kaongea nini" sasa Rais akimbie nchi yake hata kama mstaafu akaishi nje we unaona hiyo ni akili ya sawasawa?!

Na pesa za kuishi huko anazo vilevile kwa taarifa yako.
30M bado sijaweka mazagazaga asee tuwe serious. Nakupa mfano mmoja Raisi mstaafu Kikwete ana pesa mingi sio kwamba hawezi kuishi Los Angeles amesomea uchumi na maraisi wengi wa wamesomea uchumi na wanafahamu maana ya neno pesa ndio maana wakistaafu wanaendelea kuishi hapa wanafahamu kuishi kwenye nchi ambayo gharama za maisha ni kubwa sana ni ujinga vinginevyo tungewaona wanakimbilia kuishi kule. Mtu anayekimbilia kuishi Marekani hajasomea uchumi aliyesomea uchumi anaishi Tanzania
 
Marekani wasenge ndiko uchoko ulipoanzia sasa machoko yanawababaishaje Wabongo asee jiaminini wale ni mafala sana baki hapa mtapata maisha
Wenzako wanaongea point, umeng'ang'ana na vitu visivyo na tija... Popote pale duniani kuwa shoga utake mwenyewe. Na wapo kila sehemu unayoijua... Shindana kwa point!

HUJAISHI MAREKANI, WALA HUPAJUI MBALI NA KWENYE MOVIE NA MIZIKI NA JEURI YA KWENDA HUNA NA AKILI HUNA!
 
Back
Top Bottom