Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented
This man has special features packaging
Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented
This man has special features packaging
- Confidence
- Reliability
- Knowledgiable
- Patriotism
- Human Rights Defender
- Development oriented
- Citzen centred Approach
Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.