Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 997
- 1,220
Mungu wa Israel atakuwa anahudumu huko Israel, sisi tunae Mungu anayehudumu TanzaniaSawa, labda Mungu huyu sio wa kweli. Ila kama ni hi
uyu wa Israel basi sahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu wa Israel atakuwa anahudumu huko Israel, sisi tunae Mungu anayehudumu TanzaniaSawa, labda Mungu huyu sio wa kweli. Ila kama ni hi
uyu wa Israel basi sahau
Tutapata Dikteta labdaameeeeeeeeee
inshaallahUkitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented
This man has special features packaging
-knowledgiable
- confidence
- reliability
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach
Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
na iweMwenyezi Mungu anaenda kulitendea taifa kwa namna ya pekee sana
niambie rais gani wa afrika ambaye si kibarakaRais tayari tunaye mpaka 2030 ambaye ni Samia,
unajichosha bure, kuwaza kuwa vibaraka wa mabeberu wanaweza kuwa Marais hyo haiji tokea kamwe
Patriot mwenye uraia pacha ambae pia ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi dah
Hilo dubwasha mfano wa Magufuli peleka nyumbani kwako.Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented
This man has special features packaging
-knowledgiable
- confidence
- reliability
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach
Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Lissu hana hizo sifa. WanatofautiHilo dubwasha mfano wa Magufuli peleka nyumbani kwako.
Sisi hatuko tayari kutawaliwa na muuaji, mtekaji, mwizi
Amenina iwe
Aminainshaallah
Hatutaki aisee.Tutapata Dikteta labda
Soma uziWakina nani?
Dini nenda nayo msikitini na kanisani,Kama rais atakuwa ni muislamu mambo ya uzalendo yatakuwa ndoto hakuna muislamu ataacha kuabudu mabeberu na waarabu
Naona unaipenda sana ile falsafa ya divide and rule 😳 !Kama rais atakuwa ni muislamu mambo ya uzalendo yatakuwa ndoto hakuna muislamu ataacha kuabudu mabeberu na waarabu
Tumia akili ...utajua hiyo dini inausika sana maana mafisadi wote wakubwa ni wa hiyo dini tena wameakikishiwa hifadhi kwenye nchi za kiarabu endapo mambo yakichafuka na pesa wanazo somba zinaifadhiwa na waislamu waarabu....samia na genge lake lipo tayari kutimkia arabuniDini nenda nayo msikitini na kanisani,
Tanzania ni ya watanzania
Hapana tayari tupo divide na falsafa ninayotumia mimi inaitwa truth and rule....Naona unaipenda sana ile falsafa ya divide and rule 😳 !
Ubaguzi.
Kila Watu wanapotaka kuwa kitu kimoja unakuja na mada za Waisiharamu and so on and so forth !
😳😅😂
Narudia tena, Dini iishie msikitini na kanisaniTumia akili ...utajua hiyo dini inausika sana maana mafisadi wote wakubwa ni wa hiyo dini tena wameakikishiwa hifadhi kwenye nchi za kiarabu endapo mambo yakichafuka na pesa wanazo somba zinaifadhiwa na waislamu waarabu....samia na genge lake lipo tayari kutimkia arabuni
Tatizo la watu kama wewe ambao baba zenu waliuza ng'ombe kuwa somesha kumbe waliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe.....hizo dini zenu ndiyo zilitumiwa kuleta ukoloni na utumwa na sasa xinatumiwa kuleta ufisadi na vita africa ...mfano mikataba ya waisiharamu wa DP WORLD ni uchafu wa kikafiri kabisaNarudia tena, Dini iishie msikitini na kanisani
Tunapodili na mafisadi, hatudili na kanisa au msikiti, elewa chief