Pre GE2025 Watanzania Msife Moyo 2025 tunaenda kumpata Magufuli Mwingine, ila anatofauti kidogo

Pre GE2025 Watanzania Msife Moyo 2025 tunaenda kumpata Magufuli Mwingine, ila anatofauti kidogo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented


This man has special features packaging

  • confidence
  • reliability
-knowledgiable
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach

Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
inshaallah
 
Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented


This man has special features packaging

  • confidence
  • reliability
-knowledgiable
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach

Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Hilo dubwasha mfano wa Magufuli peleka nyumbani kwako.

Sisi hatuko tayari kutawaliwa na muuaji, mtekaji, mwizi
 
Pigania katiba mpya kijana, hutapata kipya chochote kwa katiba hii.

Jiwe mwenyewe alivunja vunja sheria sababu Katiba ilimpa madaraka ya zaidi ya ufalme.
 
Kama rais atakuwa ni muislamu mambo ya uzalendo yatakuwa ndoto hakuna muislamu ataacha kuabudu mabeberu na waarabu
Naona unaipenda sana ile falsafa ya divide and rule 😳 !
Ubaguzi.
Kila Watu wanapotaka kuwa kitu kimoja unakuja na mada za Waisiharamu and so on and so forth !
😳😅😂
 
Dini nenda nayo msikitini na kanisani,

Tanzania ni ya watanzania
Tumia akili ...utajua hiyo dini inausika sana maana mafisadi wote wakubwa ni wa hiyo dini tena wameakikishiwa hifadhi kwenye nchi za kiarabu endapo mambo yakichafuka na pesa wanazo somba zinaifadhiwa na waislamu waarabu....samia na genge lake lipo tayari kutimkia arabuni
 
Naona unaipenda sana ile falsafa ya divide and rule 😳 !
Ubaguzi.
Kila Watu wanapotaka kuwa kitu kimoja unakuja na mada za Waisiharamu and so on and so forth !
😳😅😂
Hapana tayari tupo divide na falsafa ninayotumia mimi inaitwa truth and rule....
 
Tumia akili ...utajua hiyo dini inausika sana maana mafisadi wote wakubwa ni wa hiyo dini tena wameakikishiwa hifadhi kwenye nchi za kiarabu endapo mambo yakichafuka na pesa wanazo somba zinaifadhiwa na waislamu waarabu....samia na genge lake lipo tayari kutimkia arabuni
Narudia tena, Dini iishie msikitini na kanisani

Tunapodili na mafisadi, hatudili na kanisa au msikiti, elewa chief
 
Narudia tena, Dini iishie msikitini na kanisani

Tunapodili na mafisadi, hatudili na kanisa au msikiti, elewa chief
Tatizo la watu kama wewe ambao baba zenu waliuza ng'ombe kuwa somesha kumbe waliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe.....hizo dini zenu ndiyo zilitumiwa kuleta ukoloni na utumwa na sasa xinatumiwa kuleta ufisadi na vita africa ...mfano mikataba ya waisiharamu wa DP WORLD ni uchafu wa kikafiri kabisa
 
Back
Top Bottom