Pre GE2025 Watanzania Msife Moyo 2025 tunaenda kumpata Magufuli Mwingine, ila anatofauti kidogo

Pre GE2025 Watanzania Msife Moyo 2025 tunaenda kumpata Magufuli Mwingine, ila anatofauti kidogo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama rais atakuwa ni muislamu mambo ya uzalendo yatakuwa ndoto hakuna muislamu ataacha kuabudu mabeberu na waarabu
TAL mwenyewe misimamo yake juu ya mapenzi ya jinsia moja si unaijuwa? Ni Sera ya nani haya mauchafu haya?? Kama huna la kuandika kalale ila chance ni ndogo sana kwa bwana huyo kuwa mwenyekiti wa chama chenu!!
 
TAL mwenyewe misimamo yake juu ya mapenzi ya jinsia moja si unaijuwa? Ni Sera ya nani haya mauchafu haya?? Kama huna la kuandika kalale ila chance ni ndogo sana kwa bwana huyo kuwa mwenyekiti wa chama chenu!!
Sasa hayo makafiri ya kikatoliki mimi.yananiusu nini ...ningekuwa Rais wa hii nchi kitucha kwanza ninge piga marufuku madhehebu yote ya kikristo nq kiislamu na kuamrisha ukristo tu na uislamu tu bila ya madhehebu yenye kupokea miongozo kutoka huko yaliko anzishwa.....tanzania kungekuwa na wakristo wasio na madhehebu na waislamu wasio wa madhehebu...takataka za free masoni na dini za kihindu zote ningepiga marufuku ....dini no moja tzanzania ingekuwa ni HAKI TU
 
Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented


This man has special features packaging

  • confidence
  • reliability
-knowledgiable
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach

Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Kusema kweli ni kwamba hakuna namna upinzani kwa sasa wanaweza kuchukua nchi CCM kwa sasa haiwezi kuruhusu hilo, na wananchi tumelala.
Pia sioni kama chadema kwa sasa kama ina nguvu kama 2015, aina ya siasa za sasa ambazo ccm inawachezea umafia bado hawajazipatia mwarobaini.
 
Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented


This man has special features packaging

  • confidence
  • reliability
-knowledgiable
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach

Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Tundu Lissu mwenyewe akisikia unamfananisha na Magufuli atasikitika sana.

Watanzania wengi hawawezi kuongelea hoja bila kuongelea peesonalities za watu.
 
Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented


This man has special features packaging

  • confidence
  • reliability
-knowledgiable
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach

Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Msituletee mental case
 
Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented


This man has special features packaging

  • confidence
  • reliability
-knowledgiable
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach

Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Ila chadema mmezingua sana. Nani atawaamini tena? Kama mnaparurana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama mkipewa serikali si ndio mtalikoroga kabisa kisha mtashindwa kulinywa? Mpaka hapo kwa ujinga unaoendelea ndani ya chama kwenye chaguzi zenu mmeshayapa MaCCM credit kibao
 
Ila chadema mmezingua sana. Nani atawaamini tena? Kama mnaparurana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama mkipewa serikali si ndio mtalikoroga kabisa kisha mtashindwa kulinywa? Mpaka hapo kwa ujinga unaoendelea ndani ya chama kwenye chaguzi zenu mmeshayapa MaCCM credit kibao
Kwa sasa chadema inapitia kujivua gamba
 
Tatizo la watu kama wewe ambao baba zenu waliuza ng'ombe kuwa somesha kumbe waliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe.....hizo dini zenu ndiyo zilitumiwa kuleta ukoloni na utumwa na sasa xinatumiwa kuleta ufisadi na vita africa ...mfano mikataba ya waisiharamu wa DP WORLD ni uchafu wa kikafiri kabisa
Kwa mtazamo wako ambao of course nitauheshimu japo sio lazima niufuate Wewe ni muumini wa Dini gani au ni wa imani ipi ??!
 
Sasa hayo makafiri ya kikatoliki mimi.yananiusu nini ...ningekuwa Rais wa hii nchi kitucha kwanza ninge piga marufuku madhehebu yote ya kikristo nq kiislamu na kuamrisha ukristo tu na uislamu tu bila ya madhehebu yenye kupokea miongozo kutoka huko yaliko anzishwa.....tanzania kungekuwa na wakristo wasio na madhehebu na waislamu wasio wa madhehebu...takataka za free masoni na dini za kihindu zote ningepiga marufuku ....dini no moja tzanzania ingekuwa ni HAKI TU
ULOKOLE JE ??!
 
Back
Top Bottom