Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mwenyezi Mungu anaenda kulitendea taifa kwa namna ya pekee sanaameeeeeeeeee
Hizi dramer wanazileta upyaUkitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented
This man has special features packaging
-knowledgiable
- confidence
- reliability
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach
Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Wakina nani?Hizi dramer wanazileta upya
Tumwombee Bwana amlinde.ameeeeeeeeee
Kama rais atakuwa ni muislamu mambo ya uzalendo yatakuwa ndoto hakuna muislamu ataacha kuabudu mabeberu na waarabuUkitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented
This man has special features packaging
-knowledgiable
- confidence
- reliability
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach
Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Umesoma vizuri andiko?Kama rais atakuwa ni muislamu mambo ya uzalendo yatakuwa ndoto hakuna muislamu ataacha kuabudu mabeberu na waarabu
Kwa sasa wanaenda vizuri, maana Mchwa wote kule juu wanaend akupukutika.Poa, ila Chadema hawajitambui.
Sawa, labda Mungu huyu sio wa kweli. Ila kama ni hiEndelea kuota ndoto za mchana, Rais wa JMT ni Samia mpaka 2030.
Ubaya ubwela ,akipata naye akaleta za kuleta ,atakutana na spana size inayomtoshaUkitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented
This man has special features packaging
-knowledgiable
- confidence
- reliability
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach
Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Hahahaa......Spana kama kawa kama anazinguaUbaya ubwela ,akipata naye akaleta za kuleta ,atakutana na spana size inayomtosha
Rais tayari tunaye mpaka 2030 ambaye ni Samia,Sawa, labda Mungu huyu sio wa kweli. Ila kama ni hi
uyu wa Israel basi sahau
Patriot mwenye uraia pacha ambae pia ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi dah 🤣Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented
This man has special features packaging
-knowledgiable
- confidence
- reliability
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach
Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Ndio mkuu, asifikili siku Mungu akampa kibali afike afanye yake, sema huyu katiba bora ya wananchi anaweza kuitoa ndani ya siku mia, na ikishakuepo pamoja na mapungufu ya kibinadam , atakua na utii kwa wananchiHahahaa......Spana kama kawa kama anazingua