Watanzania msiogope suala la Bandari, Marekani yupo pamoja nasisi atatusaidia

Watanzania msiogope suala la Bandari, Marekani yupo pamoja nasisi atatusaidia

chamaclotus

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
1,079
Reaction score
2,273
Kwema ndugu zangu,

Kama mjuavyo viongozi wetu wakeamua kutupotezea sisi tuliowapa mamlaka ya kusimamia mali zetu badala yake wameamua kuuza bandari yetu. Ila kumbukeni kiranja wa Dunia ni marekani na wana balozi zao na CIA ipo hapa nchini so kila kitu wana taarifa na wanajua effects zake hapo mbeleni so lazima wataweka mikakati jinsi ya ku monitor hili suala, hawa wabunge wetu bado uelewa mdogo.

So tuendelee kuwa na imani kwamba mali yetu itarudi kwani marekani yupo na anayaona haya.
 
Tumepigwa vingapi
 

Attachments

  • IMG_20230514_110951.jpg
    IMG_20230514_110951.jpg
    28.2 KB · Views: 2
China ndo mbaya zaidi siku hizi, Marekani angalau watakipa hata technology
Teknolojia ipi Marekani anaweza tupa sisi. Ujur bila Uchina sisi apa tusingewai miliki bike kabisa wala runinga kwa watu wa hali ya kati mpaka simu janja tusingeweza
 
Kwema ndugu zangu,
Kama mjuavyo viongozi wetu wakeamua kutupotezea sisi tuliowapa mamlaka ya kusimamia mali zetu badala yake wameamua kuuza bandari yetu. Ila kumbukeni kiranja wa Dunia ni marekani na wana balozi zao na CIA ipo hapa nchini so kila kitu wana taarifa na wanajua effects zake hapo mbeleni so lazima wataweka mikakati jinsi ya ku monitor hili suala, hawa wabunge wetu bado uelewa mdogo. So tuendelee kuwa na imani kwamba mali yetu itarudi kwani marekani yupo na anayaona haya
Ungejua marekani ndo aliyechora ramani ili kumzuia mchina asichukue bagamoyo usingeandika hivyo
 
Kwema ndugu zangu,

Kama mjuavyo viongozi wetu wakeamua kutupotezea sisi tuliowapa mamlaka ya kusimamia mali zetu badala yake wameamua kuuza bandari yetu. Ila kumbukeni kiranja wa Dunia ni marekani na wana balozi zao na CIA ipo hapa nchini so kila kitu wana taarifa na wanajua effects zake hapo mbeleni so lazima wataweka mikakati jinsi ya ku monitor hili suala, hawa wabunge wetu bado uelewa mdogo.

So tuendelee kuwa na imani kwamba mali yetu itarudi kwani marekani yupo na anayaona haya.
Kwani ubeligiji wao hamko nao siku iziii
 
Back
Top Bottom