Inshort ukiangalia Kwa jicho Pana ni kama marekani kamshinda china kwenye kumiliki ukanda wa bahari yetu...Sasa marekani ni fully kuvisit pwani .Usidhani tuko salama . DP world ni mshirika wa marekani
Nimewahi kuhisi hii mda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inshort ukiangalia Kwa jicho Pana ni kama marekani kamshinda china kwenye kumiliki ukanda wa bahari yetu...Sasa marekani ni fully kuvisit pwani .Usidhani tuko salama . DP world ni mshirika wa marekani
[emoji1787][emoji1787]Ungejua marekani ndo aliyechora ramani ili kumzuia mchina asichukue bagamoyo usingeandika hivyo
Nimeshangaa sana ndio maana vijana wanaingia kwenye tabia za ushoga.Hivi kutetea nchi yako unahitaji msaada wa nchi nyingine ndio maana nchi inauzwa
Umelala usingizi wa Pono!Teknolojia ipi Marekani anaweza tupa sisi. Ujur bila Uchina sisi apa tusingewai miliki bike kabisa wala runinga kwa watu wa hali ya kati mpaka simu janja tusingeweza
Wewe ndo haujui kitu tulia ivo dawa ikuingieUmelala usingizi wa Pono!
Sawa! Technology ya smartphone tunazotumia ilitoka china!, Technology ya Flatscreen TV tunzotumia ilitoka China.Wewe ndo haujui kitu tulia ivo dawa ikuingie
Nilitamani nishushe nondo zangu humu za elimu ya ujasiriamali nimepuuzia kwavile naandika kitabu kinacho husu elimu ya ujasiriamali fikirishi ambapo kinajadili kwa kina kuhusu tusiyo yajua ambayo huathiri biashara (uncertainties in business) kwakifupi serikkali ndiyo inaua biashara hasa kwenje jamii mfu kama ya Tanzania ambayo haiwezi kuhoji kwa sauti inayosikia hata ikisikika ikapuuzwa ngoja nisitue kidogo nondo nimeandika kwa kimombo:Kwema ndugu zangu,
Kama mjuavyo viongozi wetu wakeamua kutupotezea sisi tuliowapa mamlaka ya kusimamia mali zetu badala yake wameamua kuuza bandari yetu. Ila kumbukeni kiranja wa Dunia ni marekani na wana balozi zao na CIA ipo hapa nchini so kila kitu wana taarifa na wanajua effects zake hapo mbeleni so lazima wataweka mikakati jinsi ya ku monitor hili suala, hawa wabunge wetu bado uelewa mdogo.
So tuendelee kuwa na imani kwamba mali yetu itarudi kwani marekani yupo na anayaona haya.
[emoji1787][emoji1787][emoji106][emoji106]Ningependa kukazia.
Ukisikia kuishiwa akili ndiyo huku.Marekani ndo jizi ilo kabisaa ni bora ungesema Uchina
Hivi unafahamu kuwa huyo mchina hakuna kitu chochote anachogundua Duniani. Kila kitu anaiga zikikosahizonchi za Magharibi, atatazamia kwa nani?Teknolojia ipi Marekani anaweza tupa sisi. Ujur bila Uchina sisi apa tusingewai miliki bike kabisa wala runinga kwa watu wa hali ya kati mpaka simu janja tusingeweza
Akili zako zinakutosha mwenyeweKwema ndugu zangu,
Kama mjuavyo viongozi wetu wakeamua kutupotezea sisi tuliowapa mamlaka ya kusimamia mali zetu badala yake wameamua kuuza bandari yetu. Ila kumbukeni kiranja wa Dunia ni marekani na wana balozi zao na CIA ipo hapa nchini so kila kitu wana taarifa na wanajua effects zake hapo mbeleni so lazima wataweka mikakati jinsi ya ku monitor hili suala, hawa wabunge wetu bado uelewa mdogo.
So tuendelee kuwa na imani kwamba mali yetu itarudi kwani marekani yupo na anayaona haya.
China ndo mbaya zaidi siku hizi, Marekani angalau watakipa hata technology