Watanzania msipoteze pesa kwa kuendelea kuamini imani za kishirikina. Ni upumbavu na umaskini wa kujitakia

Waganga acha bana, mchana wanashinda kwenye nyumba za msonge, usiku wanakwenda kulala kwenye majumba yao mazuri. Wanawapiga watu hela balaa.
 
Hapa shida sio mganga,shida ni mwanaume aliyesimuliwa Siri na mwenzie na yeye kuja kumwaga hadharani
Embu tutumie picha ya huyo siri zake zilizomwaga madam joannah?

Au aliyemwaga Siri hizi unamjua?

nilikuwa nafikiri ni mtu unawaza zaidi ya hapa au ni kwanini nimeleta hapa.

Hongera kwa kuwaza umbea tu.
 
Humu kila mtu anajifanya hajui uchawi, hapendi waganga eti mtakatifu. Nampa chimbo rafiki yako.
Mwanza pale usagara kuna mlima mmoja kuna babu yuko pale aulizie malenga au kwa yule mganga wa waswezi gharama haifiki hata elfu aone dawa zinavyfanya kazi na hio laki nne utampa. Chimbo la pili aende bariadi kwa bibie Holo gharama yake ni nauli tu na akitoka hapo atakapofanikiwa ndo anatuma gharama za matibabu. Hao wabunge wenu mawaziri mpk hayati mbona machimbo wanayaelewa Sana.
Sasa badala ya kumsema rafiki yako hebu muelekeze na ww ukae na imani yako.
 
Hizo imani Watanzania wengi wanazipenda sana na ukiwaambia huo ni ujinga unaweza kugombana nao.
 
Mkuu Leo dada,

Umeandika maneno mengi ila unaruhusu tujadili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…