Aah mi nakuskilizia sku mbil iziHahaha Nimeshastaafu skuizi manake zile laana na makombora mnayotoa alafu nimechoka kujificha kwenye handaki
Nyakato upi ni unayoisemea ebu specify...[emoji28][emoji28][emoji28]
Et uswahilini pale nyakato. . .
Mi nashukuru tu leo mwanamke hajausishwa katika ulichoandika apo
Ile ahadi ya kubadil jinsia bado ipo. . . HeheheWee kama huamini subiri utaona...hahha
Muulize alotoa postNyakato upi ni unayoisemea ebu specify...