bo adams
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 213
- 351
Wazungu wanapata tabu kuita jina la kiafrica baruti anaweza kujing'ata ulimi akitaka kutamka. Inabidi uchague jina rahisi ktk mazingira yanayokuzunguka.
Hata kuvaa nguo usivae kibongo bongo vaa kutokana na mazingira yao. Hata swagga za kuongea pia sio mbaya ukitumia za kwao
Ukikaa kiswazi sana unaonekana wakuja
Hata kuvaa nguo usivae kibongo bongo vaa kutokana na mazingira yao. Hata swagga za kuongea pia sio mbaya ukitumia za kwao
Ukikaa kiswazi sana unaonekana wakuja