Watanzania muache huu ushamba mnapofika majuu

Joanah na wewe nawe kwa nini umembadilisha jina mpenzi wako?,ati baby ,.,.,.,.....hahahaaaaaaaa
Hahaha
Aku! Mchumba angu anaitwa vile vile ruttabushobomolama. . . Hatuna mpango wa kubadilisha ilo jina
 
Hata hawa walibadili majina.

1.Mallya akawa Marley.

2.Minja akawa Minaj.

3.Lelo Yohana akawa Lil wayne.

4.Kadadaa akawa Kardashian.

5.Sikutee akawa Scott.

6.Mauki akawa Mark.

7.Sundi akawa Sandra.

8.Rutashobia akawa Ruth.

9.Sarakikya akawa Sarah

10.Kemilembe akawa Kimberly.
 
Hata Akiwa Huko Akiulizwa Tanzania Dar Es Salaam ulikuwa unaishi wapi hasemi Mikocheni anasema Michael Chain
 
Kuna Demu alikuwa anaitwa SANDARA ghafla akawa anajiita Sandra
 
Acha donge mtoto.
 
Masatu naye anasign as mass atty
 
Hahaha Sasa mwanangu mbona hao wote kama wachaga ivi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…