Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Tupe elimu yako kwanza,
USitupotoshe bure hapa.
USitupotoshe bure hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na yote hayo watanzania tumemuelewa alicho maanisha achana na machawa.Rais hatakiwi kuongea kwa methali na mafumbo kama muimba taarabu za mipasho.
Rais anatakiwa kusema maneno yaliyo bayana na wazi watu wote wamuelewe bila shaka wala kuhitaji mgogoro wa lugha wa jamii nzima kumuelewa.
Afungiwe bandani asubirie majani anayokatiwa na mchungaji wake kwa kipimo sahihi basi.Kwa hiyo unataka kusemaje, mbuzi afungwe au afunguliwe
Tanzanians are not monolithic.Pamoja na yote hayo watanzania tumemuelewa alicho maanisha achana na machawa.
Nape Juzi kamwita Mtu kiroboto mkashangilia,na Nape nikiongozi mkubwa SerikaliniTanzanians are not monolithic.
Hao unaowaita machawa si Watanzania?
Unajua kwamba Rwanda kabla ya watu kuuana wengine walianza kuwaita Wanyarwanda wenzao mende?
Unamuitq mtu chawa, hqlqfu unapata uhalali wa kumuua.
Si chawa tu, unamuua tu. Si mtu. Ni chawa tu.
Unavyosema "mkashangilia" umeniweka kundi gani la hao walioshangilia?Nape Juzi kamwita Mtu kiroboto mkashangilia,na Nape nikiongozi mkubwa Serikalini
Nimegundua akili zako zimefungwa zisielewe hata kama ndio mahaba yazidi kipimo kwenye mambo ya hela.Wengi wamemuelewa vizuri tu raisi, lkn waliopindisha kuelewa huko, wamepindisha kwa sababu mbili. (1) kuna watu wameajiriwa humu na chama fulan kwa lengo la kupotosha umma. Hawa kazi yao kubwa ni kuja huku kuandika propaganda mbali mbali za kuichafua serikali na viongozi wa serikali hata kama serikali au viongozi hao wa serikali wanafanya mambo mazuri na yenye faida kwa taifa, wao watayageuza kuwa ni mabaya na hayana faida kwa taifa ili serikali na viongozi wake waonekane hawana maana mbele ya wanaowaongoza. (1) Hili kundi la pili ni bendera fata upepo. Kundi hili wao hawalipwi kitu, kwa sababu hawapo ktk system ya mikakati,na pia wengi hawajui kuwa wenzao hulipwa. Kwahiyo kundi hili hutumiwa tu kama daraja humu mitandaoni kwa faida ya watu au kundi fulani bila wao kujijua.
Leta ile clip acha kuzuga watu hapa wwe araa! "wasivimbewe"Majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan anafanya kikao baina yake na Mawaziri na Manaibu wa Serikali ya awamu ya Sita aliowateua siku chache zilizopita,
Katika hotuba yake miongoni mwakauli zilizozua utata katika kikao kile ni pale Rais Samia Suluhu Hassan alipowaambia viongozi hao kuwa, " Lazima kila mtu ale kwa Urefu wa kamba yake "
Kauli hii imetafsiriwa na wengi hasa wasiofahamu maana za methali za kiswahili kuwa ni sawa na Rais Samia Suluhu Hassan kuruhusu Mawaziri kutafuna pesa ya Umma,
Nini maana halisi ya methali hii " Kila Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake "
Kwanza, maana yake kinadharia ni kwamba Mbuzi akifungwa kamba hawezi kula zaidi ya urefu wa ile kamba mpaka kamba ikatike,
Pili, Maana ya kimantiki ni kwamba kila kitu/mtu hufanya kile kilichopo kwenye uwezo wake au ruhusa yake au Mamlaka yake tu,
RAIS SAMIA ALIMAANISHA NINI?
Rais Samia Suluhu Hassan alipotoa kauli hii alilenga kuwafunda Mawaziri na Manaibu Mawaziri wasichote pesa ya Umma hata senti moja,
Ila waridhike na wachukue kile tu wanachostahili kama Posho za Safari na marupurupu mengine yaliyoanishwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za kiutumishi wa Umma kwa nchi yetu,
Sikia, Kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake sio kauli inayoruhusu " Wizi au Ufisadi " ila ni kauli inayolenga kuwarudisha watu|Viongozi kuwa na hofu ya Mungu na kutambua dhamana walizonazo ipo siku watajibu walizitumiaje kwa Mungu,
Dunia hii kila mtu ni mwizi ndio sababu pakawepo na controls|Utaratibu au kwa lugha rahisi kama aliyoitumia Rais Samia Suluhu yaani " Kamba "
" Kula tu unachostahili, kula chako tu "
#Sasa kama kuna Waziri hafahamu kiswahili fasihi aguse pesa ya Umma ndio ataelewa Rais Samia Suluhu Hassan alimaanisha nini,
Mbona kama wewe ndio unatumika na chama cha kijani kisafisha matapishi yaoWengi wamemuelewa vizuri tu raisi, lkn waliopindisha kuelewa huko, wamepindisha kwa sababu mbili. (1) kuna watu wameajiriwa humu na chama fulan kwa lengo la kupotosha umma. Hawa kazi yao kubwa ni kuja huku kuandika propaganda mbali mbali za kuichafua serikali na viongozi wa serikali hata kama serikali au viongozi hao wa serikali wanafanya mambo mazuri na yenye faida kwa taifa, wao watayageuza kuwa ni mabaya na hayana faida kwa taifa ili serikali na viongozi wake waonekane hawana maana mbele ya wanaowaongoza. (1) Hili kundi la pili ni bendera fata upepo. Kundi hili wao hawalipwi kitu, kwa sababu hawapo ktk system ya mikakati,na pia wengi hawajui kuwa wenzao hulipwa. Kwahiyo kundi hili hutumiwa tu kama daraja humu mitandaoni kwa faida ya watu au kundi fulani bila wao kujijua.
Majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan anafanya kikao baina yake na Mawaziri na Manaibu wa Serikali ya awamu ya Sita aliowateua siku chache zilizopita,
Katika hotuba yake miongoni mwakauli zilizozua utata katika kikao kile ni pale Rais Samia Suluhu Hassan alipowaambia viongozi hao kuwa, " Lazima kila mtu ale kwa Urefu wa kamba yake "
Kauli hii imetafsiriwa na wengi hasa wasiofahamu maana za methali za kiswahili kuwa ni sawa na Rais Samia Suluhu Hassan kuruhusu Mawaziri kutafuna pesa ya Umma,
Nini maana halisi ya methali hii " Kila Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake "
Kwanza, maana yake kinadharia ni kwamba Mbuzi akifungwa kamba hawezi kula zaidi ya urefu wa ile kamba mpaka kamba ikatike,
Pili, Maana ya kimantiki ni kwamba kila kitu/mtu hufanya kile kilichopo kwenye uwezo wake au ruhusa yake au Mamlaka yake tu,
RAIS SAMIA ALIMAANISHA NINI?
Rais Samia Suluhu Hassan alipotoa kauli hii alilenga kuwafunda Mawaziri na Manaibu Mawaziri wasichote pesa ya Umma hata senti moja,
Ila waridhike na wachukue kile tu wanachostahili kama Posho za Safari na marupurupu mengine yaliyoanishwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za kiutumishi wa Umma kwa nchi yetu,
Sikia, Kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake sio kauli inayoruhusu " Wizi au Ufisadi " ila ni kauli inayolenga kuwarudisha watu|Viongozi kuwa na hofu ya Mungu na kutambua dhamana walizonazo ipo siku watajibu walizitumiaje kwa Mungu,
Dunia hii kila mtu ni mwizi ndio sababu pakawepo na controls|Utaratibu au kwa lugha rahisi kama aliyoitumia Rais Samia Suluhu yaani " Kamba "
" Kula tu unachostahili, kula chako tu "
#Sasa kama kuna Waziri hafahamu kiswahili fasihi aguse pesa ya Umma ndio ataelewa Rais Samia Suluhu Hassan alimaanisha nini,
Nyinyi si niwatu Mama tu 'machawa'Unavyosema "mkashangilia" umeniweka kundi gani la hao walioshangilia?
Una hakika gani mimi nipo katika kundi hilo na nimeshangilia, na habari ya mimi kushangilia haitokani na uvivu wako wa kufikiri tu unaowalundika watu katika makundi yasiyo yao bila hata kuuliza ujiridhishe?
Bila shaka ww upo ktk kundi la pili, yani unatumiwa na wajanja bila ww kujijua. Nakuonea huruma sana kwa kuruhusu genge fulani likushikie akili yako humu mitandaoni.Mbona kama wewe ndio unatumika na chama cha kijani kisafisha matapishi yao
Amka usingizini.
Rais ametoa kibali kwa watumishi kula rushwa full stop.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Let's a call a spade a spade,kule Rwanda ukisema "cocroaches"lazima utaleta taaruki,ni neno la kawaida kwenye jamii nyingine,likimaanisha mdudu Mende,lakini Nchini Rwanda,linaleta kumbukumbu mbaya sana ya mauaji ya kimbali,maana Hilo neno lilitumika kubsgua watusi,na wahutu wenye msimamo wa kati.Majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan anafanya kikao baina yake na Mawaziri na Manaibu wa Serikali ya awamu ya Sita aliowateua siku chache zilizopita,
Katika hotuba yake miongoni mwakauli zilizozua utata katika kikao kile ni pale Rais Samia Suluhu Hassan alipowaambia viongozi hao kuwa, " Lazima kila mtu ale kwa Urefu wa kamba yake "
Kauli hii imetafsiriwa na wengi hasa wasiofahamu maana za methali za kiswahili kuwa ni sawa na Rais Samia Suluhu Hassan kuruhusu Mawaziri kutafuna pesa ya Umma,
Nini maana halisi ya methali hii " Kila Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake "
Kwanza, maana yake kinadharia ni kwamba Mbuzi akifungwa kamba hawezi kula zaidi ya urefu wa ile kamba mpaka kamba ikatike,
Pili, Maana ya kimantiki ni kwamba kila kitu/mtu hufanya kile kilichopo kwenye uwezo wake au ruhusa yake au Mamlaka yake tu,
RAIS SAMIA ALIMAANISHA NINI?
Rais Samia Suluhu Hassan alipotoa kauli hii alilenga kuwafunda Mawaziri na Manaibu Mawaziri wasichote pesa ya Umma hata senti moja,
Ila waridhike na wachukue kile tu wanachostahili kama Posho za Safari na marupurupu mengine yaliyoanishwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za kiutumishi wa Umma kwa nchi yetu,
Sikia, Kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake sio kauli inayoruhusu " Wizi au Ufisadi " ila ni kauli inayolenga kuwarudisha watu|Viongozi kuwa na hofu ya Mungu na kutambua dhamana walizonazo ipo siku watajibu walizitumiaje kwa Mungu,
Dunia hii kila mtu ni mwizi ndio sababu pakawepo na controls|Utaratibu au kwa lugha rahisi kama aliyoitumia Rais Samia Suluhu yaani " Kamba "
" Kula tu unachostahili, kula chako tu "
#Sasa kama kuna Waziri hafahamu kiswahili fasihi aguse pesa ya Umma ndio ataelewa Rais Samia Suluhu Hassan alimaanisha nini,
Amekutuma kumtafsiria kauli zake?. Au ndio uchawa na ukupe wenyewe huo.Majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan anafanya kikao baina yake na Mawaziri na Manaibu wa Serikali ya awamu ya Sita aliowateua siku chache zilizopita,
Katika hotuba yake miongoni mwakauli zilizozua utata katika kikao kile ni pale Rais Samia Suluhu Hassan alipowaambia viongozi hao kuwa, " Lazima kila mtu ale kwa Urefu wa kamba yake "
Kauli hii imetafsiriwa na wengi hasa wasiofahamu maana za methali za kiswahili kuwa ni sawa na Rais Samia Suluhu Hassan kuruhusu Mawaziri kutafuna pesa ya Umma,
Nini maana halisi ya methali hii " Kila Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake "
Kwanza, maana yake kinadharia ni kwamba Mbuzi akifungwa kamba hawezi kula zaidi ya urefu wa ile kamba mpaka kamba ikatike,
Pili, Maana ya kimantiki ni kwamba kila kitu/mtu hufanya kile kilichopo kwenye uwezo wake au ruhusa yake au Mamlaka yake tu,
RAIS SAMIA ALIMAANISHA NINI?
Rais Samia Suluhu Hassan alipotoa kauli hii alilenga kuwafunda Mawaziri na Manaibu Mawaziri wasichote pesa ya Umma hata senti moja,
Ila waridhike na wachukue kile tu wanachostahili kama Posho za Safari na marupurupu mengine yaliyoanishwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za kiutumishi wa Umma kwa nchi yetu,
Sikia, Kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake sio kauli inayoruhusu " Wizi au Ufisadi " ila ni kauli inayolenga kuwarudisha watu|Viongozi kuwa na hofu ya Mungu na kutambua dhamana walizonazo ipo siku watajibu walizitumiaje kwa Mungu,
Dunia hii kila mtu ni mwizi ndio sababu pakawepo na controls|Utaratibu au kwa lugha rahisi kama aliyoitumia Rais Samia Suluhu yaani " Kamba "
" Kula tu unachostahili, kula chako tu "
#Sasa kama kuna Waziri hafahamu kiswahili fasihi aguse pesa ya Umma ndio ataelewa Rais Samia Suluhu Hassan alimaanisha nini,
" Kula tu unachostahili, kula chako tu "
Majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan anafanya kikao baina yake na Mawaziri na Manaibu wa Serikali ya awamu ya Sita aliowateua siku chache zilizopita,
Katika hotuba yake miongoni mwakauli zilizozua utata katika kikao kile ni pale Rais Samia Suluhu Hassan alipowaambia viongozi hao kuwa, " Lazima kila mtu ale kwa Urefu wa kamba yake "
Kauli hii imetafsiriwa na wengi hasa wasiofahamu maana za methali za kiswahili kuwa ni sawa na Rais Samia Suluhu Hassan kuruhusu Mawaziri kutafuna pesa ya Umma,
Nini maana halisi ya methali hii " Kila Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake "
Kwanza, maana yake kinadharia ni kwamba Mbuzi akifungwa kamba hawezi kula zaidi ya urefu wa ile kamba mpaka kamba ikatike,
Pili, Maana ya kimantiki ni kwamba kila kitu/mtu hufanya kile kilichopo kwenye uwezo wake au ruhusa yake au Mamlaka yake tu,
RAIS SAMIA ALIMAANISHA NINI?
Rais Samia Suluhu Hassan alipotoa kauli hii alilenga kuwafunda Mawaziri na Manaibu Mawaziri wasichote pesa ya Umma hata senti moja,
Ila waridhike na wachukue kile tu wanachostahili kama Posho za Safari na marupurupu mengine yaliyoanishwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za kiutumishi wa Umma kwa nchi yetu,
Sikia, Kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake sio kauli inayoruhusu " Wizi au Ufisadi " ila ni kauli inayolenga kuwarudisha watu|Viongozi kuwa na hofu ya Mungu na kutambua dhamana walizonazo ipo siku watajibu walizitumiaje kwa Mungu,
Dunia hii kila mtu ni mwizi ndio sababu pakawepo na controls|Utaratibu au kwa lugha rahisi kama aliyoitumia Rais Samia Suluhu yaani " Kamba "
" Kula tu unachostahili, kula chako tu "
#Sasa kama kuna Waziri hafahamu kiswahili fasihi aguse pesa ya Umma ndio ataelewa Rais Samia Suluhu Hassan alimaanisha nini,
Majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan anafanya kikao baina yake na Mawaziri na Manaibu wa Serikali ya awamu ya Sita aliowateua siku chache zilizopita,
Katika hotuba yake miongoni mwakauli zilizozua utata katika kikao kile ni pale Rais Samia Suluhu Hassan alipowaambia viongozi hao kuwa, " Lazima kila mtu ale kwa Urefu wa kamba yake "
Kauli hii imetafsiriwa na wengi hasa wasiofahamu maana za methali za kiswahili kuwa ni sawa na Rais Samia Suluhu Hassan kuruhusu Mawaziri kutafuna pesa ya Umma,
Nini maana halisi ya methali hii " Kila Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake "
Kwanza, maana yake kinadharia ni kwamba Mbuzi akifungwa kamba hawezi kula zaidi ya urefu wa ile kamba mpaka kamba ikatike,
Pili, Maana ya kimantiki ni kwamba kila kitu/mtu hufanya kile kilichopo kwenye uwezo wake au ruhusa yake au Mamlaka yake tu,
RAIS SAMIA ALIMAANISHA NINI?
Rais Samia Suluhu Hassan alipotoa kauli hii alilenga kuwafunda Mawaziri na Manaibu Mawaziri wasichote pesa ya Umma hata senti moja,
Ila waridhike na wachukue kile tu wanachostahili kama Posho za Safari na marupurupu mengine yaliyoanishwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za kiutumishi wa Umma kwa nchi yetu,
Sikia, Kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake sio kauli inayoruhusu " Wizi au Ufisadi " ila ni kauli inayolenga kuwarudisha watu|Viongozi kuwa na hofu ya Mungu na kutambua dhamana walizonazo ipo siku watajibu walizitumiaje kwa Mungu,
Dunia hii kila mtu ni mwizi ndio sababu pakawepo na controls|Utaratibu au kwa lugha rahisi kama aliyoitumia Rais Samia Suluhu yaani " Kamba "
" Kula tu unachostahili, kula chako tu "
#Sasa kama kuna Waziri hafahamu kiswahili fasihi aguse pesa ya Umma ndio ataelewa Rais Samia Suluhu Hassan alimaanisha nini,