GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,013
Mimi ni member wa facebook,nimekuwa nikikutana na watu tofauti katika facebook,facebook imeniunganisha na watu tofati wakiwamo ndugu zangu ,rafiki zangu tulisoma shule pamoja,pia new friends.
Katika facebook kuna watu wa aina nyingi ila katika research yangu nimegundua hivi,kuna watu wako tanzania na ambao wako njee ya tanzania,kama bara la ulaya na America,canada n.k
kwa nini watu ambao wako tanzania hawapendi kuwatumia comments katika picha zao watu walioko njee ya Tanzania kama Nchi mabara wanayoishi hapo niliyoyataja ?
Pia unapokutana na mtu ambaye kwa muda mrefu sana hamujaonana kama utakumbana nae facebook hata kama mtu huyo sio mtu wako wa karibu akishajua tu upo ulaya or outside ya tanzania anakuwa karibu na wewe,pia kwa time ya mwanzo tu kukuona anakuuliza maisha badala ya kukuuliza hali yako,jinsi mulivyopoteana,au mulivyomisiana, na mengine ukitoa ya maisha ?
Katika facebook kuna watu wa aina nyingi ila katika research yangu nimegundua hivi,kuna watu wako tanzania na ambao wako njee ya tanzania,kama bara la ulaya na America,canada n.k
kwa nini watu ambao wako tanzania hawapendi kuwatumia comments katika picha zao watu walioko njee ya Tanzania kama Nchi mabara wanayoishi hapo niliyoyataja ?
Pia unapokutana na mtu ambaye kwa muda mrefu sana hamujaonana kama utakumbana nae facebook hata kama mtu huyo sio mtu wako wa karibu akishajua tu upo ulaya or outside ya tanzania anakuwa karibu na wewe,pia kwa time ya mwanzo tu kukuona anakuuliza maisha badala ya kukuuliza hali yako,jinsi mulivyopoteana,au mulivyomisiana, na mengine ukitoa ya maisha ?