Watanzania ni wanafiki hasa kuhusu Sakata la BSS

Watanzania ni wanafiki hasa kuhusu Sakata la BSS

Watanzania wengi wanatatizo lakuwa wanafiki na wasio na shukrani hata kidogo, nimeona wengi wakiiponda BSS na wengine kwenda mbali zaidi kuitukana na kutoa lugha chafu juu yao Cha ajabu mpaka washiriki wenyewe walioshiriki bss nao wameingia kwenye Huu mkumbo.

Pamoja na BSS kutuumiwa kula hela ya washiriki lakini pia tusisahau bss wanamchango mkubwa Sana kwa Hawa washiriki wasio na shukrani hata kidogo hiv leo hii bila bss Nani angemfahamu kayumba au hamisi,Nimeangalia interview ya hamisi imenisikitisha Sana ametumia lugha chafu kuisema BSS.

Washiriki wengi walikuwa wanafanyiwa audition wakiwa hata kupaka make up walikuwa hawajui na wengine walikuja ikiwemo hamisi na mavazi ya ajabu ajabu wakafundishwa kuvaa wakawa wanatrainiwa vocal pamoja na kuimba na bendi ili watu hawaoni na washiriki wenyewe hawaoni zaidi ya kutoa lugha chafu.

walikuwa pia wanakaa kwenye hotel za nyota 5 Kama kambi na Zina gharama kubwa Sana kweli tunashindwa hata kuliona hili kweli?

Hao washiriki wanaoisema vibaya BSS mbona hatuoni juhudi zao katika mziki? Kazi yao Ni kutupia zigo lote kwa BSS bila hata wao wenyewe kujiangalia.kuna wasanii wengi hawajapata hata bahati ya kupata platform kubwa ya kuonekana ya BSS lakini wametoboa kwenye mziki wao wameshindwa vipi kutoboa?

NB: Ni kweli BSS wanakula hela lakini hiyo haimaanishi tusione uzuri wao waliofanya kwenye hii tansia ya mziki.
Kayumba ana talent haimaanishi kwamba bila bss usingemjua ..cha msingi Rita arudishe hela ya mshindi wa bss
 
Watanzania wengi wanatatizo lakuwa wanafiki na wasio na shukrani hata kidogo, nimeona wengi wakiiponda BSS na wengine kwenda mbali zaidi kuitukana na kutoa lugha chafu juu yao Cha ajabu mpaka washiriki wenyewe walioshiriki bss nao wameingia kwenye Huu mkumbo.

Pamoja na BSS kutuumiwa kula hela ya washiriki lakini pia tusisahau bss wanamchango mkubwa Sana kwa Hawa washiriki wasio na shukrani hata kidogo hiv leo hii bila bss Nani angemfahamu kayumba au hamisi,Nimeangalia interview ya hamisi imenisikitisha Sana ametumia lugha chafu kuisema BSS.

Washiriki wengi walikuwa wanafanyiwa audition wakiwa hata kupaka make up walikuwa hawajui na wengine walikuja ikiwemo hamisi na mavazi ya ajabu ajabu wakafundishwa kuvaa wakawa wanatrainiwa vocal pamoja na kuimba na bendi ili watu hawaoni na washiriki wenyewe hawaoni zaidi ya kutoa lugha chafu.

walikuwa pia wanakaa kwenye hotel za nyota 5 Kama kambi na Zina gharama kubwa Sana kweli tunashindwa hata kuliona hili kweli?

Hao washiriki wanaoisema vibaya BSS mbona hatuoni juhudi zao katika mziki? Kazi yao Ni kutupia zigo lote kwa BSS bila hata wao wenyewe kujiangalia.kuna wasanii wengi hawajapata hata bahati ya kupata platform kubwa ya kuonekana ya BSS lakini wametoboa kwenye mziki wao wameshindwa vipi kutoboa?

NB: Ni kweli BSS wanakula hela lakini hiyo haimaanishi tusione uzuri wao waliofanya kwenye hii tansia ya mziki.
Mimi bro Master J nimekupata kwa nguvu ya tano aisee...
 
Watanzania wengi wanatatizo lakuwa wanafiki na wasio na shukrani hata kidogo, nimeona wengi wakiiponda BSS na wengine kwenda mbali zaidi kuitukana na kutoa lugha chafu juu yao Cha ajabu mpaka washiriki wenyewe walioshiriki bss nao wameingia kwenye Huu mkumbo.

Pamoja na BSS kutuumiwa kula hela ya washiriki lakini pia tusisahau bss wanamchango mkubwa Sana kwa Hawa washiriki wasio na shukrani hata kidogo hiv leo hii bila bss Nani angemfahamu kayumba au hamisi,Nimeangalia interview ya hamisi imenisikitisha Sana ametumia lugha chafu kuisema BSS.

Washiriki wengi walikuwa wanafanyiwa audition wakiwa hata kupaka make up walikuwa hawajui na wengine walikuja ikiwemo hamisi na mavazi ya ajabu ajabu wakafundishwa kuvaa wakawa wanatrainiwa vocal pamoja na kuimba na bendi ili watu hawaoni na washiriki wenyewe hawaoni zaidi ya kutoa lugha chafu.

walikuwa pia wanakaa kwenye hotel za nyota 5 Kama kambi na Zina gharama kubwa Sana kweli tunashindwa hata kuliona hili kweli?

Hao washiriki wanaoisema vibaya BSS mbona hatuoni juhudi zao katika mziki? Kazi yao Ni kutupia zigo lote kwa BSS bila hata wao wenyewe kujiangalia.kuna wasanii wengi hawajapata hata bahati ya kupata platform kubwa ya kuonekana ya BSS lakini wametoboa kwenye mziki wao wameshindwa vipi kutoboa?

NB: Ni kweli BSS wanakula hela lakini hiyo haimaanishi tusione uzuri wao waliofanya kwenye hii tansia ya mziki.
Unasema Wafanyakazi wa TRA waendelee kuiba hela za Watanzania kwa kuwa wanafanya kazi kubwa ya kukusanya kodi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila shindano mshind lazima alipwe kulingana na makubaliano huenda hata io m50 pia haimtosh msanii
Watanzania wengi wanatatizo lakuwa wanafiki na wasio na shukrani hata kidogo, nimeona wengi wakiiponda BSS na wengine kwenda mbali zaidi kuitukana na kutoa lugha chafu juu yao Cha ajabu mpaka washiriki wenyewe walioshiriki bss nao wameingia kwenye Huu mkumbo.

Pamoja na BSS kutuumiwa kula hela ya washiriki lakini pia tusisahau bss wanamchango mkubwa Sana kwa Hawa washiriki wasio na shukrani hata kidogo hiv leo hii bila bss Nani angemfahamu kayumba au hamisi,Nimeangalia interview ya hamisi imenisikitisha Sana ametumia lugha chafu kuisema BSS.

Washiriki wengi walikuwa wanafanyiwa audition wakiwa hata kupaka make up walikuwa hawajui na wengine walikuja ikiwemo hamisi na mavazi ya ajabu ajabu wakafundishwa kuvaa wakawa wanatrainiwa vocal pamoja na kuimba na bendi ili watu hawaoni na washiriki wenyewe hawaoni zaidi ya kutoa lugha chafu.

walikuwa pia wanakaa kwenye hotel za nyota 5 Kama kambi na Zina gharama kubwa Sana kweli tunashindwa hata kuliona hili kweli?

Hao washiriki wanaoisema vibaya BSS mbona hatuoni juhudi zao katika mziki? Kazi yao Ni kutupia zigo lote kwa BSS bila hata wao wenyewe kujiangalia.kuna wasanii wengi hawajapata hata bahati ya kupata platform kubwa ya kuonekana ya BSS lakini wametoboa kwenye mziki wao wameshindwa vipi kutoboa?

NB: Ni kweli BSS wanakula hela lakini hiyo haimaanishi tusione uzuri wao waliofanya kwenye hii tansia ya mziki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani yeye huyo Madam hajanufaika na kuendesha hilo shindano, kwani umaarufu alio nao umetokana na nini?

Wewe ni sawa na umefuatwa na binti akilalamika kuwa Baba yake Mlezi amekuwa anambaka mara kwa mara, nawe ukaanza kumnanga Mlalamikaji kwamba hana shukurani kwa kuwa ametolewa kijijini kwenye dhiki, analishwa vizuri, ananunuliwa nguo, anasomeshwa hivyo amvumilie Baba yake Mlezi.

Ukifanya mazuri utapongezwa na ukifanya madudu utashukiwa tu hamna namna.
 
Lakini na wao kwanini wasituambie ukweli kwamba washindi hawajalipwa?.
Kweli nia yao nzuri ya kusaidia vipaji.
Lakini wasipowalipa tutaona ni matapeli tu.
KUMSAIDIA MTU ISIWE SABABU YA KUMNYANYASA.


"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
BSS ina wadhamini ambao wanacover cost zote za mashindano, inatoa zawadi kwa mshindi na inawalipa kina madam Ritha na majudge wenzie kwahiyo hoja ya kuwa wamefaidika kukaa hotelini na vitu kama hivyo haina mashiko. Yote hayo ni sehemu ya mashindano. Kama mashindano yasingekuwa na zawadi basi wafadhili wasingetoa fungu la zawadi.

Wasanii wanapopata platform, madam Ritha anapata content. Bila wasanii kusingekuwa na content, thus kusingekuwa na wadhamini(pesa). Alichokosea madam Ritha ni kula hata kile ambacho hakikuwa chake. Kwa ufupi ni kwamba anadhulumu washiriki na kujiongezea kwenye bakuli yake and it's not fair.
 
BSS ina wadhamini ambao wanacover cost zote za mashindano, inatoa zawadi kwa mshindi na inawalipa kina madam Ritha na majudge wenzie kwahiyo hoja ya kuwa wamefaidika kukaa hotelini na vitu kama hivyo haina mashiko. Yote hayo ni sehemu ya mashindano. Kama mashindano yasingekuwa na zawadi basi wafadhili wasingetoa fungu la zawadi.

Wasanii wanapopata platform, madam Ritha anapata content. Bila wasanii kusingekuwa na content, thus kusingekuwa na wadhamini(pesa). Alichokosea madam Ritha ni kula hata kile ambacho hakikuwa chake. Kwa ufupi ni kwamba anadhulumu washiriki na kujiongezea kwenye bakuli yake and it's not fair.
Asante sana kwa ujumbe makini kabisa, na hapa ndipo wanapoyumba wakati kiuhalisia mdhamini alitoa hadi zawadi ya mshindi ili akabidhiwe chake ila sasa Madam kasepa nayo...kama sio utapeli ni nini? mshindi apewe chake full stop.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wengi wanatatizo lakuwa wanafiki na wasio na shukrani hata kidogo, nimeona wengi wakiiponda BSS na wengine kwenda mbali zaidi kuitukana na kutoa lugha chafu juu yao Cha ajabu mpaka washiriki wenyewe walioshiriki bss nao wameingia kwenye Huu mkumbo.

Pamoja na BSS kutuumiwa kula hela ya washiriki lakini pia tusisahau bss wanamchango mkubwa Sana kwa Hawa washiriki wasio na shukrani hata kidogo hiv leo hii bila bss Nani angemfahamu kayumba au hamisi,Nimeangalia interview ya hamisi imenisikitisha Sana ametumia lugha chafu kuisema BSS.

Washiriki wengi walikuwa wanafanyiwa audition wakiwa hata kupaka make up walikuwa hawajui na wengine walikuja ikiwemo hamisi na mavazi ya ajabu ajabu wakafundishwa kuvaa wakawa wanatrainiwa vocal pamoja na kuimba na bendi ili watu hawaoni na washiriki wenyewe hawaoni zaidi ya kutoa lugha chafu.

walikuwa pia wanakaa kwenye hotel za nyota 5 Kama kambi na Zina gharama kubwa Sana kweli tunashindwa hata kuliona hili kweli?

Hao washiriki wanaoisema vibaya BSS mbona hatuoni juhudi zao katika mziki? Kazi yao Ni kutupia zigo lote kwa BSS bila hata wao wenyewe kujiangalia.kuna wasanii wengi hawajapata hata bahati ya kupata platform kubwa ya kuonekana ya BSS lakini wametoboa kwenye mziki wao wameshindwa vipi kutoboa?

NB: Ni kweli BSS wanakula hela lakini hiyo haimaanishi tusione uzuri wao waliofanya kwenye hii tansia ya mziki.
Ghalama wanayotumia kuirejesha no ngumu. Hivyo mambo ya lawama yapungue.
 
Wamlipe pesa yake 20m lkn hiyo 30m kulingana na mkataba wa shindano ni kwa ajili ya promotion. Haiwezekana kwa namna yoyote ile igeuke kuwa mali ya mshindi. Vigezo na masharti ya kuingia kwenye mashindano lazima vizingatiwe.
 
Mkuu, kwenye thread yako hata haueleweki unacholalamikia ni kipi, unasema eti walikuwa wanakaa kwenye hotel ya nyota tano kwa hiyo nini? Hiyo ni sehemu ya mchakato. Ni sawa mtu aje aseme kuwa 'wewe unasema elimu haijakusaidia wakati umeenda kusoma UDOM, chuo chenye majengo bora', je huo ubora wa majengo una manufaa gani ya moja kwa moja katika matumizi ya elimu yangu?. Hiyo ilikuwa ni sehemu ya mchakato na ilikuwa ni lazima wafanue hivyo. Na hao hawakuwa wanakaa hapo bure kwa sababu kuna kitu walnatoa in exchage ambacho ni vipaji vyao, wewe mbona hukwrnda huko kwenye hizo hotel? Ni kwa sababu huna kitu cha kutoa ili ukae kwenye hizo hotel. Kinachoangaliwa ni kuwa lile ni shindano na lengo la shindano linaeleweka., apatikane mshindi na mambo yaende kadiri ya makubaliano.
BSS sio kubwa kiasi cha mtu ukipita pale utapata jina mafanikio kirahisi. Kupata jina na kutangazwa kuwa umeshinda 50m ilhali umepewa sofa ni mzigo mkubwa kwa washiriki na kufanya wasemwe vibaya kuwa wametumia pesa kwa anasa kumbe waliambulia kumbatio tu.
BSS waache janjajanja, walipe pesa.
Acha kupoteza muda wako bure kulielewesha tahira mkuu
 
Wamlipe pesa yake 20m lkn hiyo 30m kulingana na mkataba wa shindano ni kwa ajili ya promotion. Haiwezekana kwa namna yoyote ile igeuke kuwa mali ya mshindi. Vigezo na masharti ya kuingia kwenye mashindano lazima vizingatiwe.
Sio kwamba kwa ajili ya promoshen tu na hiyo promoshen ionekane mzee,hv promotion ya 30m kweli jaman,daah madam utapeli umemuumbua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom