Mimi Sijasoma andiko, mmeishia kwenye Kichwa Cha Habari.
Itoshe tu kusema , Mh Pascal , Kwa Sasa wee ni Pro Chawa unayetumia Kalamu yako kuwatia watanzania kwenye Reli .
Bandari ni suala Dogo?. Suala Dogo ambalo ndio Linaloilisha Bajeti ya Nchi.
Hapana, hata Kama Mama amekurejeshea kile ulichokipoteza Kwa miaka Ile ya Hayati, uchawa umezidi, sio Bora ukae kimya?.
Ati unagusia Uhuru wa watu, Kwa sababumliwaaminisha watanzania kua JPM anabana uhuru wa watu ,Sasa Mama kaurejesha uhuru wa watu??? Kwamba watu wako huru kuongea ? ... WATANZANIA SIO WAJINGA, UHURU ULIKUWEPO.
Kuhusu Katiba Mpya, hili la Bandari pia Wataalam wa sheria , waweka wazi kua Lina chembechembe za Katiba, kwakua tumelipazia sauti , tutaendelea kulipazia sauti .
WATANZANIA TUENDELEE KUPAZA SAUTI ,TAASISI MBALIMBALI, VIONGOZI W DINI, ENDELEENI KUPAZA SAUTI, BANDARI IMEUZWA, TANZANIA IMEUZWA !!.